LGE2024 Pambalu: Vijana wamesoma mpaka vyuo vikuu lakini ajira zao ni bodaboda na betting

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kazi ya serikali ni kuweka maZingira wezeshi kwa watu wake mfano serikali iapaswa kuwa na sera ya viwanda ,kilimo sekta hiZi MBILI zikitiliwa makazot zinauwezo wa kusajiri idadi kubwa ya watu kwa wakati mmoja lnk serikali yetu inaanaZisha sera lkn hajawezamkuleta tija yoyote mfano kilikuwa sera ya kilimo kwanza wakati wa jkiliishia wapi,pia kilikuwa na sera viwanda nayoimeishiwa wapi kwahiyo utaona kuwa Kuna uhusiano mkubwa kati kati yamserikali na ukosefu wa ajira kwa vijana
 
. ...kubahatisha 'betting'
Kama ni kweli basi Loan Board inatakiwa kuunganisha na mifumo ya betting ili akibeti 1000 ikatwe mia ya loanboard hivyo betting iwe 1100. Na alipata akatwe asilimia 15 ya mikopo wake uliobaki!!!
====
Hii ni kama tumekubali kuwa hii ni ajira Rasmi!!!
Naandika haya lakini nimekasirika!!!
 
Unafikiri amboa hawana hela au maskin hawapambani unajidanganya sana
 
Betting
Muziki
Visungura/double kiki
Fegi
Pool table
Mpir
Madem
 
Sasa kama watu hawataki kuwapa vijana NSSF yao mapema wajitafutie miradi ya kufanya kwanini wasibet ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…