Kikokotoo
Member
- Apr 28, 2017
- 36
- 42
Wakuu Kwema? Nimeona ni vema tuelezane yafuatayo kwa upole tu;
1. Kupeleka watoto Shule Wakati uchumi umeshayumba kwa sasa ni kujiumiza..Mpeleke Mtoto Shule utakayoweza kulipa..Pambana na Hali yako
2.Kuendelea kutumia usafiri Wakati hela ya Mafuta imeshakuwa adimu ni kujiumiza..Tumia usafiri wa jumuiya /Mwendokasi. .Pambana na Hali yako
3. Kupanga nyumba nzima Wakati Huna Familia kubwa na kodi zimekuwa shida ni kujiumiza. .Pambana na Hali yako
4.Kuwa na mchepuko Wakati Huna uwezo wa kumhudumia ni kutafuta stress na kujiumiza kiuchumi..Pambana na Hali yako
5.Kuwa na Wadogo zako ambao hawana kazi Mjini Wakati huu Wakati uchumi umeshuka Ni kujiumiza. .Warudishe Kijijini Tu! Pambana na Hali yako
Nawasilisha Wadau !
Kikokotoo!
1. Kupeleka watoto Shule Wakati uchumi umeshayumba kwa sasa ni kujiumiza..Mpeleke Mtoto Shule utakayoweza kulipa..Pambana na Hali yako
2.Kuendelea kutumia usafiri Wakati hela ya Mafuta imeshakuwa adimu ni kujiumiza..Tumia usafiri wa jumuiya /Mwendokasi. .Pambana na Hali yako
3. Kupanga nyumba nzima Wakati Huna Familia kubwa na kodi zimekuwa shida ni kujiumiza. .Pambana na Hali yako
4.Kuwa na mchepuko Wakati Huna uwezo wa kumhudumia ni kutafuta stress na kujiumiza kiuchumi..Pambana na Hali yako
5.Kuwa na Wadogo zako ambao hawana kazi Mjini Wakati huu Wakati uchumi umeshuka Ni kujiumiza. .Warudishe Kijijini Tu! Pambana na Hali yako
Nawasilisha Wadau !
Kikokotoo!