Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Baada ya pambano la jana kati ya Fadhili Majiha na Bongani Mahlangu kumalizika kwa utata baada ya pambano kuchezwa kwa raundi 10 tofauti na raundi 12 kama mabondia walivyosaini.
Kikawaida mapambano ya mikanda ya WBC huchezwa kwa raundi 10 isipokuwa kwa mikanda ya WBC Silver na WBC gold belt ambayo huchezwa mpaka raundi 12.
Mimi ninavyooona huo mkanda ubaki wazi (Vacant) na itangazwe mandatory fight haraka iwezekanavyo ili pambano lirudiwe tena .
Kinyume na hapo hawakumtendea haki hata kidogo Proffesor Mahlangu Bongani kwa kuwa ngumi ni mchezo wa mahesabu na hatujui Proffesor alipanga nini kwenye raundi zilizobaki maana Proffesor ni mtu wa kubadilika badilika kila raundi ,mara acheze kama orthodox mara southpaw nk.
Kikawaida mapambano ya mikanda ya WBC huchezwa kwa raundi 10 isipokuwa kwa mikanda ya WBC Silver na WBC gold belt ambayo huchezwa mpaka raundi 12.
Mimi ninavyooona huo mkanda ubaki wazi (Vacant) na itangazwe mandatory fight haraka iwezekanavyo ili pambano lirudiwe tena .
Kinyume na hapo hawakumtendea haki hata kidogo Proffesor Mahlangu Bongani kwa kuwa ngumi ni mchezo wa mahesabu na hatujui Proffesor alipanga nini kwenye raundi zilizobaki maana Proffesor ni mtu wa kubadilika badilika kila raundi ,mara acheze kama orthodox mara southpaw nk.