Huyo cheka kwanza kamati za ufundi nyingi, ndio maana maboksa wetu wakienda nje wanakutana na visago heavy... Unakumbuka alivyobebwa lile pambano lake na lililo fanyika hapa bongo!?!?Kuna kipindi alikuwa anafanya mazoezi kwa kusukuma tairi la trekta msimchukulie huyo gobachori poa anaweza kuwa fundi kweli au cheka wetu kaisha jichokea
Huku wanaingia kwny ndondi watupore mitaani kama yule marehemu
Mtanzania unapigwaje K.O na mitun?!
Ww umewahi kuckia bondia mhindi anatisha kwa kupiga watu kwny ngumi za kimataifa?!Ha ha ha unawadharau...
Cheka ana pigwa na mhindi!!!!
Hii ni aibu, hao wahindi huwa wana pigana huku wana imba!!
Hana maana huyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sijamuona akiimba...
Ww umewahi kuckia bondia mhindi anatisha kwa kupiga watu kwny ngumi za kimataifa?!
Mwingereza huyoAmir Iqbal Khan is a British professional boxer. He is a former unified light-welterweight world champion, having held the WBA title from 2009 to 2012, and the IBF title in 2011
Namsikia tu japo sijawahi kushuhudia pambano lake...
πππ ulimcheki yule babu ana mandevu aliyekaa lock up muda bila kula? Au nimemfananisha...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hukuskia pale ana mpiga cheka huku ana sema kuch kuch hotae[emoji441] [emoji444]
Mwingereza huyo
Yaah! watu walishangilia huku wanaona aibuHuyo cheka kwanza kamati za ufundi nyingi, ndio maana maboksa wetu wakienda nje wanakutana na visago heavy... Unakumbuka alivyobebwa lile pambano lake na lililo fanyika hapa bongo!?!?
Huyo kazaliwa na kukulia england huyu aliyempiga cheka anaishi calcuta miaka yake yoteZaidi ya huyo sijasikia mwingine aliyewika
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hatimae cheka apigwa na govinder
Cheka alipigwa balaa siku ile na ushindi akapewa... Ndondi za TZ miyeyusho sana.Yaah! watu walishangilia huku wanaona aibu
Upo mchezo wa kukosoa na kuponda pasipo kutoa njia mbadala huu tukiufuatilia kimkakati tutafika mbali katika medani za kimataifa.Ukiangalia pambano la cheka unaweza kujiuliza hvi sisi tunaweza nini in International Arenas? Bora tujikite tu kwenye Viwanda