VILLAIN
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 429
- 252
hawa ni wazee wa fitina tupu, kuna mgari wao wa matangazo ya live, walipewa na wachina, wakalizindua kwa mbwembwe, kuwa kusini wa Afrika ndio gari pekee la aina hiyo, cha ajabu wakionyesha mechi live ni aibu huo uwanja utadhania jua limepatwa!! nusu ni giza nusu mwanga!! halafu hata watangazaji wake wapo kama hawana furaha hivi!! kama vile bora liende, mi huwa napenda kuangalia tv za kenya bwana, mdada tabasamu la kutosha, nguo za kisasa, mtoto mrembo, anatangaza akiwa ame relax, sasa hawa wa tbc utadhani wanajeshi wamepindua nchi sasa ndio wanatoa briefing!!hee kumbe mmama anatangaza news bulletin!!
Mkuu umeua kabisa