Rais wa ngumi na Azam wamemsitiri mfaumeMapambano ya Jana mengi Sana yalikuwa ya hovyo kabisa, Kama sikosei mawili ndio yalikuwa mapambano ile yalobaki ni walevi tu.
Pambano la Mfaume Mfaume na Pialali, Kama lilipoishia ingekuwa wanahesabu point Mfaume alipigika.
Na nadhani Mfaume aligundua Kuna kudharirika pale, akatumia mbinu za medani