Pambano la Mwakinyo dhidi ya Patric Allotey halijafanyika. Yadaiwa msimamizi wa mashindano hajafika, hapokei simu, anatafutiwa dola

Pambano la Mwakinyo dhidi ya Patric Allotey halijafanyika. Yadaiwa msimamizi wa mashindano hajafika, hapokei simu, anatafutiwa dola

gearbox

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2024
Posts
563
Reaction score
1,768

Msimamizi wa pambano la hassan mwakinyo dhidi ya Patrick Allotey hajalipwa dola zake, hajafika kwenye pambano na hapokei simu, pambano limeshindikana kuchezwa kuchezwa kwa kuwania mkanda wa wbo Afrika.

Promoters, matchmakers na bodi ya ngumi ilibidi wawe mstari wa mbele kukamilisha malipo hayo, ajabu ni kwamba TPBRC walitoaje kibali kwa hali hii ?

Ikumbukwe Pambano lililopita Mwakinyo aligoma kupanda aliwaangizia hasara promoters, kwa sasa kinachoendelea wanamkomoa !!

Pia soma:
 
Hassan Mwakinyo shtuka kaka hao jamaa mpango wao nikukupoteza kwenye ulimwengu wa ngumi na ni wewe ndie uliewaanza kwa kuwingizia hasara ulipogoma kupanda pambano lililopita, wameapa kukupoteza.

Haingii akilini kwamba sababu ilishindikana kumlipa SAMIR CAPTAN kwapambano kubwa kama hilo kina Twaha, Ibrah class, Kidunda huwa wanapijana na haijawai kutokea jambo kama hilo

Halafu kibaya zaid wanakupa Mike uongee ili kukuchonganisha na mashabiki, hizo ni mbinu zakukupoteza kwenye game nakushauri hamia South Africa au ata apo Kenya ukaendeleze ndoto zako, achana na siasa za bongo utapotea
 
Mwakinyo alijifanya kuzinguana na taasisi,sasa wanamfanyia hujuma kila pambano
Ndicho kinachoendelea

Promoters, matchmakers na bodi ya ngumi ilibidi wawe mstari wa mbele kusimamia malipo ya huyo msimamizi kama wanavyofanya kwa kina Twaha, Katompa, n.k. wamemfanya maksudi kwa Mwakinyo kumfitinisha na mashabiki zake.

Waziri wa michezo aingilie kati hapa, Bodi ya ngumi walitoaje kibali wakati wanajua malipo ya msimamizi yalikuwa na kasoro, Ni wao wenyewe wametengeneza hayo mazingira
 
Ndicho kinachoendelea

Promoters, matchmakers na bodi ya ngumi ilibidi wawe mstari wa mbele kusimamia malipo, ajabu ni kwamba TPBRC walijua kabisa taratibu za malipo hazijakamilika ila wakatoa kibali, Ni kwamba walifanya maksudi kabisa iwe hivyo.
Pambano lililopita alipogoma aliwaangizia hasara promoters na sasa wanamkomoa,hivi Azam wenye haki ya matangazo hawawezi hata kuwashitaki?nani alikuwa anaandaa pambano na malipo ya matangazo yote?Azam kabla hili pambano kuna pambano la Mwakinyo hawakuhangaika kulirusha wala kutangaza wakarusha ya kina Ibra Classic, pambano za Mwakinyo zimekuwa za utata mtu hata lile la kule uingereza baadaya ya kuja na kiatu inateleza...Mwakinyo mambo yanaanza kumwendea vibaya
 
Hassan mwakinyo shtuka kaka hao jamaa mpango wao nikukupoteza kwenye ulimwengu wa ngumi haingii akilini kwamba sababu ilishindikana kumlipa SAMIR CAPTAN kwapambano kubwa kama hilo kina Twaha, Ibrah class, Kidunda huwa wanapijana na haijawai kutokea jambo kama hilo

alafu kibaya zaid wanakupa Mike uongee ili kukuchonganisha na mashabiki, hizo ni mbinu zakukupoteza kwenye game nakushauri hamia South Africa au ata apo Kenya ukaendeleze ndoto zako, achana na siasa za bongo utapotea
Watanga utawajua kwa taarabu babu zama za taarabu zimeisha kiongozi ngumi mchezo wa wazi hauna magumashi why kila siku ni yeye huoni kama yeye ndo mzinguaji kwanikupoteza pambano kwa kupigwa kuna ubaya gani mzee kupigwa Tyson fury juzi na kakubali sembuse yeye mtoto mdogo sana tena kwenye ngumi kama anataka mipasho aende kwenye taarabu
 
Pambano lililopita alipogoma aliwaangizia hasara promoters na sasa wanamkomoa,hivi Azam wenye haki ya matangazo hawawezi hata kuwashitaki?nani alikuwa anaandaa pambano na malipo ya matangazo yote?Azam kabla hili pambano kuna pambano la Mwakinyo hawakuhangaika kulirusha wala kutangaza wakarusha ya kina Ibra Classic, pambano za Mwakinyo zimekuwa za utata mtu hata lile la kule uingereza baadaya ya kuja na kiatu inateleza...Mwakinyo mambo yanaanza kumwendea vibaya
Mwakinyo kashajiharibia bongo, labda ahame nchi, Mapromota wameapa kumpoteza na chanzo ni yeye mwenyewe alipowaingizia promoters hasara aligoma kupanda ulingoni.

Kuanzia siku hio wakaanza ku deal nae, mwanzoni walimsagia kunguni mpaka akafunfiwa asipigane mwaka mzima lakini alifunguliwa kwa huruma ya serikali, Promoters wamejipanga upya wamekuja na hii ya leo wamevuruga malipo ya msimamizi
 
Mwakinyo kashajiharibia bongo, labda ahame nchi, Mapromota wameapa kumpoteza na chanzo ni yeye mwenyewe alipowaingizia promoters hasara aligoma kupanda ulingoni.

Kuanzia siku hio wakaanza ku deal nae, mwanzoni walimsagia kunguni mpaka akafunfiwa asipigane mwaka mzima lakini alifunguliwa kwa huruma ya serikali, Promoters wamejipanga upya wamekuja na hii ya leo wamevuruga malipo ya msimamizi
Yeye analeta siasa kwenye ngumi kwa kuwasikiliza wanasiasa kama anataka fighting za ndani za mchongo afanye ila kama anataka professional boxing achane na siasa boxing bila promoter hutoboi labda ufikie ngazi kama yakina Mayweather
 
Yeye analeta siasa kwenye ngumi kwa kuwasikiliza wanasiasa kama anataka fighting za ndani za mchongo afanye ila kama anataka professional boxing achane na siasa boxing bila promoter hutoboi labda ufikie ngazi kama yakina Mayweathe
 
Mara kiatu kimembana, Mara sijui kabadilishiwa bondia, Mara refarii hajalipwa...

Kwa ufupi mwakinyo ni mbabaishaji tu, hapo hakuna bondia yeye huangalia mapambano mepesi, yani anataka mpinzani dhaifu ndio apande ulingoni.

Nadhani ni muda muafaka sasa Mwakinyo aachane na ndondi sababu haziwezi, bondia wa kweli haogopi mpinzani wake.

Box haitaki mdomo bali huitaji matendo, huyu Mwakinyo amejitapa sana kuwa yeye is the best sasa likija pambano anaogopa ukweli utajulikana kuwa yeye sio lolote
 
Hassan Mwakinyo shtuka kaka hao jamaa mpango wao nikukupoteza kwenye ulimwengu wa ngumi na ni wewe ndie uliewaanza kwa kuwingizia hasara ulipogoma kupanda pambano lililopita, wameapa kukupoteza.

Haingii akilini kwamba sababu ilishindikana kumlipa SAMIR CAPTAN kwapambano kubwa kama hilo kina Twaha, Ibrah class, Kidunda huwa wanapijana na haijawai kutokea jambo kama hilo

Halafu kibaya zaid wanakupa Mike uongee ili kukuchonganisha na mashabiki, hizo ni mbinu zakukupoteza kwenye game nakushauri hamia South Africa au ata apo Kenya ukaendeleze ndoto zako, achana na siasa za bongo utapotea
Huyo Mwakinyo unayemwambia siasa za bongo zitampoteza ni kiazi namba moja asiyejielewa. Anachangia asilimia za kutosha kwa yote haya kutokea.
 
Hassan Mwakinyo shtuka kaka hao jamaa mpango wao nikukupoteza kwenye ulimwengu wa ngumi na ni wewe ndie uliewaanza kwa kuwingizia hasara ulipogoma kupanda pambano lililopita, wameapa kukupoteza.

Haingii akilini kwamba sababu ilishindikana kumlipa SAMIR CAPTAN kwapambano kubwa kama hilo kina Twaha, Ibrah class, Kidunda huwa wanapijana na haijawai kutokea jambo kama hilo

Halafu kibaya zaid wanakupa Mike uongee ili kukuchonganisha na mashabiki, hizo ni mbinu zakukupoteza kwenye game nakushauri hamia South Africa au ata apo Kenya ukaendeleze ndoto zako, achana na siasa za bongo utapotea
Mwakinyo 🤣🤣🤣🤣
 
Hassan Mwakinyo shtuka kaka hao jamaa mpango wao nikukupoteza kwenye ulimwengu wa ngumi na ni wewe ndie uliewaanza kwa kuwingizia hasara ulipogoma kupanda pambano lililopita, wameapa kukupoteza.

Haingii akilini kwamba sababu ilishindikana kumlipa SAMIR CAPTAN kwapambano kubwa kama hilo kina Twaha, Ibrah class, Kidunda huwa wanapijana na haijawai kutokea jambo kama hilo

Halafu kibaya zaid wanakupa Mike uongee ili kukuchonganisha na mashabiki, hizo ni mbinu zakukupoteza kwenye game nakushauri hamia South Africa au ata apo Kenya ukaendeleze ndoto zako, achana na siasa za bongo utapotea
Uko sahihi.
 
Back
Top Bottom