Pambano la Mwakinyo dhidi ya Patric Allotey halijafanyika. Yadaiwa msimamizi wa mashindano hajafika, hapokei simu, anatafutiwa dola

Pambano la Mwakinyo dhidi ya Patric Allotey halijafanyika. Yadaiwa msimamizi wa mashindano hajafika, hapokei simu, anatafutiwa dola

Babu kama papai lenyewe linapelekwa Kwa kubinywa binywa na kutobolewa Kwa vijiti vipi thamani na umadhubuti wake utakuwaje?
 
Ndicho kinachoendelea

Promoters, matchmakers na bodi ya ngumi ilibidi wawe mstari wa mbele kusimamia malipo ya huyo msimamizi kama wanavyofanya kwa kina Twaha, Katompa, n.k. wamemfanya maksudi kwa Mwakinyo kumfitinisha na mashabiki zake.

Waziri wa michezo aingilie kati hapa, Bodi ya ngumi walitoaje kibali wakati wanajua malipo ya msimamizi yalikuwa na kasoro, Ni wao wenyewe wametengeneza hayo mazingira
bodi ya ngumi ilitangaza kufuta pambano siku nyingi tu ndugu.mm nachojiuliza ilikuaje wao wameendelea na ratiba? kwangu haikua suprise nilitarajia haya kutokea
 
Hassan Mwakinyo shtuka kaka hao jamaa mpango wao nikukupoteza kwenye ulimwengu wa ngumi na ni wewe ndie uliewaanza kwa kuwingizia hasara ulipogoma kupanda pambano lililopita, wameapa kukupoteza.

Haingii akilini kwamba sababu ilishindikana kumlipa SAMIR CAPTAN kwapambano kubwa kama hilo kina Twaha, Ibrah class, Kidunda huwa wanapijana na haijawai kutokea jambo kama hilo

Halafu kibaya zaid wanakupa Mike uongee ili kukuchonganisha na mashabiki, hizo ni mbinu zakukupoteza kwenye game nakushauri hamia South Africa au ata apo Kenya ukaendeleze ndoto zako, achana na siasa za bongo utapotea

Huyu ni kijana wa ccm lakini mbona anafanyiwa abrakadabra
 
bodi ya ngumi ilitangaza kufuta pambano siku nyingi tu ndugu.mm nachojiuliza ilikuaje wao wameendelea na ratiba? kwangu haikua suprise nilitarajia haya kutokea
hii mimi nilikuwa sijui.......
 
Nchi hii ukiwa na msimamo, ulie nyoooka, usiependa kukwepesha mambo/ukweli, unae jali kazi Yako ama kile unachokifanya..! Basi tegemea kuhujumiwa sanaaa! Tegemea kufanyiwa ushenzi ushenzi kama anaofanyiwa mwakinyo daily.

Mwakinyo kinachomponza ni misimamo yake na kuonekana anaijali kazi yake basiiiiiii.
 
bodi ya ngumi ilitangaza kufuta pambano siku nyingi tu ndugu.mm nachojiuliza ilikuaje wao wameendelea na ratiba? kwangu haikua suprise nilitarajia haya kutokea
Hata mimi nakumbuka kuona tangazo la pambano kufutwa

1717219830154.png
 
Ndio maana mchumia tumbo na mwenzake walipigana round 10 ku by time basi na ndio imekuwa main card😂😂😂mchumia tumbo kawaburudisha
 
Hassan Mwakinyo shtuka kaka hao jamaa mpango wao nikukupoteza kwenye ulimwengu wa ngumi na ni wewe ndie uliewaanza kwa kuwingizia hasara ulipogoma kupanda pambano lililopita, wameapa kukupoteza.

Haingii akilini kwamba sababu ilishindikana kumlipa SAMIR CAPTAN kwapambano kubwa kama hilo kina Twaha, Ibrah class, Kidunda huwa wanapijana na haijawai kutokea jambo kama hilo

Halafu kibaya zaid wanakupa Mike uongee ili kukuchonganisha na mashabiki, hizo ni mbinu zakukupoteza kwenye game nakushauri hamia South Africa au ata apo Kenya ukaendeleze ndoto zako, achana na siasa za bongo utapotea
Wewe ndo Abubakar wa Fb. Comment ndo hii hii
 
Nchi hii ukiwa na msimamo, ulie nyoooka, usiependa kukwepesha mambo/ukweli, unae jali kazi Yako ama kile unachokifanya..! Basi tegemea kuhujumiwa sanaaa! Tegemea kufanyiwa ushenzi ushenzi kama anaofanyiwa mwakinyo daily.

Mwakinyo kinachomponza ni misimamo yake na kuonekana anaijali kazi yake basiiiiiii.
Anajali kazi gani huyo janja janja mtu anayejali kazi anaweza sahau viatu vyake tatizo ashasahau wap katoka ajikuta Star na wakati mapromoter ndo waliomtoa analeta zalau hadi kwa ndugu zake kaka yake ngoja aone hao wanasiasa kama watamsaidia
 
Najiuliza
Hizi hujuma ambazo wengi wanaona kama kumkomoa Mwakinyo zina athari zozote kwa tasnia na hadhi ya boxing ya Tanzania kwa jumuiya ya kimataifa?

Watanzania wengi ni walozi
 
bodi ya ngumi ilitangaza kufuta pambano siku nyingi tu ndugu.mm nachojiuliza ilikuaje wao wameendelea na ratiba? kwangu haikua suprise nilitarajia haya kutokea
Aaah ina maana taarifa hata azam hawakua nayo?
 
Najiuliza
Hizi hujuma ambazo wengi wanaona kama kumkomoa Mwakinyo zina athari zozote kwa tasnia na hadhi ya boxing ya Tanzania kwa jumuiya ya kimataifa?

Watanzania wengi ni walozi
Athari ipo
Kwanza kuna baadhi ya mabondia toka nje wanalalamika wakipigaba Tanzania hawashindi hata kama points zinastahili

Pili haya matatizo ya kushindwa kuandaa pambano kwa uweledi huku fighting kadhaa hasa za mwakinyo zikiwa tata
 
Back
Top Bottom