Determinantor Platinum Member Joined Mar 17, 2008 Posts 59,045 Reaction score 94,974 Jun 1, 2024 #41 Hahahahahahaha Ila Tanzania buana
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 Jun 1, 2024 #42 Mashabiki wa ndondi mnafanywa misukule.
kaa chini JF-Expert Member Joined Jun 4, 2022 Posts 1,935 Reaction score 4,048 Jun 1, 2024 #43 Huu ni uhuni na wizi wa waziwazi kabisa
mkale JF-Expert Member Joined Sep 21, 2011 Posts 1,618 Reaction score 1,753 Jun 1, 2024 #44 pesa kubwa sana inawekezwa kuinua ndondi ila wazembe wachache wanakwamisha huu mchongo.
BUSH BIN LADEN JF-Expert Member Joined Mar 16, 2019 Posts 8,447 Reaction score 19,425 Jun 1, 2024 #45 Watu wanamchomea dawa ya mbu Mwakinyo
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jun 1, 2024 #46 Inasikitisha sana... Cc: Mahondaw
evangelical JF-Expert Member Joined Nov 21, 2011 Posts 5,035 Reaction score 8,218 Jun 2, 2024 #47 Limefanyia baada ya kushindikana juzi. Hongera Mwakinyo kwa ushindi
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Jun 2, 2024 #48 Naona wilder kachezea tena kutoka kwa mchina zhang Hance Mtanashati Ova