Pambanua ndoto, maono na ulimwengu wa roho

t
thank you!!!,mfano mimi usiku wa kuamkia mwaka mpya nimeota nikimpelekea moto mfanya kazi mwenzangu wakati sijawahi kumtamani,,yaani nikiwa nimelala nikaona mlango wa chumbani mwangu unafunguliwa ghafla akaingia huyo mdada uchi kabisa,na mimi nikamkabili kwa shauku kubwa,,tukaanza kupelekeana motoile nataka kupiga bao la kichwa kama hamiss tambwe akatoweka ghafla,ina maana gani??? pia kipindi kama miezi minne nyuma niliota nampelekea moto jirani yangu mmakonde{huyu hatusalimiani kwani nilimkuta shambani kwangu akiroga saa 7 usiku],,,huyu nilmpelekea moto mpaka nikampiga harttrick!!!,,,naomba tafsriri chap kwa haraka!!
 
Asante sana ndugu yangu nimependa sana hii elimu yako Mwenyezi Mungu azidi kukupa ufahamu ili nasi tuzidi kufahamika
 
Ni salama zaidi kuingia Ulimwengu wa Roho Kwa kutumia Damu ya Yesu.

Njia nyingine ya kutumia meditation, uchawi nk nk ni abomination/ makufuru.


Meditation, ni sawa tu na Induism, wanatumia jicho la tatu, jicho la shetani, chongo ,jicho Moja.

Mtu wa nje ana macho mawili, mtu wa ndani pia ana macho mawili, hivyo ni muhimu kutumia macho mawili ya Roho Kwa msaada wa Roho mtakatifu.

Okoka, mkabidhi Yesu maisha Yako, utaona zaidi ya wote sababu Mungu Yu zaidi ya uchawi, hakipo kitachopangwa kuzimu juu Yako usikijue maana shetani hata kuzimu yenyewe hakuitengeza Bali Mungu alitengeza gerezani Hilo na kumweka humo. Hivyo hawezi kutuficha chochote Wana wa Mungu.

Ubarikiwe.
 
Nimeumia sana moyoni kuona maudhui yako yanatoa mtazamo wakubeza iman zawatu wengine nakujiona wewe unae amini kuhusu tukio la msalaba ndio bora mbele za mungu,nawengine niushetani, ukweli ungekua kalibu yangu ningekucharaza bakora KIBAO.
Hapa duniani Kuna pande mbili tu katika Imani,

1 Mungu. 2. Shetani.

Ikiwa unamwamini Mungu, utamwamini Yesu. Tofauti na hapo, unaangukia upande wa Shetani Kwa kujua au Kwa kutojua.

Nami sikuandika haya kufurahisha wengine wenye Imani tofauti na Mungu.

Mimi ni askari niliye vitani.

Karibu.
 
Amen
 
Duuh...kuna ndoto za ulimwengu wa giza zinaniandama sana alafu sijazitaftia solution bado.
 
Duuh...kuna ndoto za ulimwengu wa giza zinaniandama sana alafu sijazitaftia solution bado.
Elezea ndoto hizo hapa, utapata ufumbuzi Kwa msaada wa Roho mtakatifu.
 
Utaniwia radhi, kwa kuwa nimemsoma bingwa wa elimu ya Nafs aitwae Imam Al-Ghazali, kazi yako naiona kuwa ipo too shallow.

Nakushauri tafuta vitabu vya Imam Ghazali utaelewa kwa undani zaidi kuhusu roho, nafsi na mengineyo mengi yanayohusiana.

Ana-maandiko mengi sana kuhusu hayo na kila moja ni "masterpiece", uzuri ni kuwa kwa sasa vimetafsiriwa Kingereza.

Huu, fata link, ni mfano wa kazi yake mojawapo:

 
Roho mtakatifu ndiye mwalimu wa walimu, huyo mwanadamu Hana lolote kumzidi mwalimu wangu.
 
Nashauri watu wasisome kitabu ulichoweka hapo Ili kuepuka kurushiwa majini nje nje!!
 
Barikiwa sana mkuu Rabbon hakika nimekuelewa.
 
Kama mimi kuna ndoto nimeota juzi haijanitoka kichwani. Niliota nimeketi kwenye kiti cha heshima cha juu kabisa, naposema juu namaanisha juu haswa, huku chini yangu wakiwa wameketi kaka yangu, ndugu jamaa pamoja na watu wengine.Ila kile kiti kama vile hakikuwekwa vizuri maana hakikuwa na nafasi ya kuegemea vizuri kwa nyuma, na sehemu ya kukalia ilikuwa ndogo kidogo na jinsi kilivyo juu sana nikawa naogopa kuanguka.

Ndoto hii itakuwa na maana gani?



Rabbon
 
Elezea ndoto hizo hapa, utapata ufumbuzi Kwa msaada wa Roho mtakatifu.
Ok,
Brother kama hutajali niachie mawasiliano yako ya simu hapa nitakutafta nikusimulie na kama ni mwongozo wa toba utanipa.

Nimepitia masaibu mengi sana/hadi sasa napitia kwa mambo tu ya kijinga ambayo sina ya kumlaumu zaidi ya mimi mwenyewe.

Kuna jamaa mmoja aliposti uzi wa kiroho humu ndani, nikasoma nikafarijika, nikasema ngioja nimwombe jamaa mawasiliano yako naweza kupata msaada zaidi wa kiroho maana nitamfungukia vitu ambavyo huenda hapa sitoweza kufunguka yote kutokana na privacy.

Lakini nilivyo m-pm mshikaji akanitukana na kunambia mimi ni scam, nikaamua kupotezea tu nikamwambia asante brother nitapata tu msaada wa kiroho kwingine kama kweli Mungu ananipenda na anania ya kuniponya kwenye njia niliyoko sasahivi basi atafanya hivo kwa wakati.

Leo nimeona uzi wako nikabaki najisikitikia tu na mandoto yangu ya kutisha tisha alafu siya elewi tafsiri zake zaidi moja tu inahusiana na nyoka ndiyo niliielewa elewa kidogo japo bado sikujua nifanye nini nikakaa ivo ivo mpaka leo.

Lakini kama hutojali, naomba mawasiliano yako ya simu, nitafunguka kila kitu, vingine ni vya aibu sana hata naogopa kusema hapa labda nibadili ID
 
Mim nimekipenda hiki kitabu. Kama unacho ni vyema nikakipata maana nimesoma intro tu.

Cha msingi, imani na kuheshim imani ya kila mtu.

Mungu ni mwema kwa kila jambo katika jina la Baba, mwana na roho mtakatifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…