Pambanua ndoto, maono na ulimwengu wa roho

You are too shallow.

Hakuna ujumbe wa "roho mtakatifu hapo".
Tunapishana katika kufunuliwa mambo na Roho wa Mungu. Wala tusijisifu ma tukubali kujifunza hata ktk mbegu inavyoota hadi kuzaa. Vitabu vyq Ghazaal ni ufunuo mzuri
 
Andiko Safi na mujarabu lakini hapo pa damu ya yesu siungi mkono hoja.Nitatumia mbinu zangu za kijadi kufikia malengo Ila hongera kwa bandiko maridhawa.
 
Wewe ni mzaliwa wa kwanza?
 
PM hazifunguki Kwa sababu maalum Hasa yangu,

Wasiliana na mtumishi anaitwa Prophet Edmund mystic 0754091738, pia ingia U-Tube, Huduma ya Kristo kupitia Mwalimu Jackob Steven utakuta pia contact na Utaratibu wa kuwasiliana na msaada zaidi.

Ubarikiwe.
 
Andiko Safi na mujarabu lakini hapo pa damu ya yesu siungi mkono hoja.Nitatumia mbinu zangu za kijadi kufikia malengo Ila hongera kwa bandiko maridhawa.
Sahau yote ila usisahau Jina la YESU, hata Ukiwa ndotoni unashambuliwa, wewe ita tu Yessuuuuu!!

Utaona atakavyotokea kukusaidia Kwa haraka usotegemea.

Ubarikiwe πŸ™
 
Barikiwa kijana wa Yesu πŸ™
 
Tunapishana katika kufunuliwa mambo na Roho wa Mungu. Wala tusijisifu ma tukubali kujifunza hata ktk mbegu inavyoota hadi kuzaa. Vitabu vyq Ghazaal ni ufunuo mzuri
Roho wa Mwenyezi mungu hawezi kuwa na tofauti za kukufunulia na mwingine.
Biblia imeji contradict sana, kuna mwengine anasema miaka hii, mwengine miaka tofauti. Sasa huyo roho gani anaejicontradict?

Haiwezekani. Mwenyezi Mungu akatuma ujumbe wake kupitia "roho mtakatifu" ukawa na "contradictions".
 
Hapana, nina kaka na dada zangu
Familia Moja inaweza kuwa na wazaliwa wa kwanza watatu ,mfano,

Familia ambayo Ina mtoto wa kwanza ni WA kike, wa pili wa kiume wa tatu ni WA kiume wa nne wa kike.

1. Hapo Kuna mzaliwa wa kwanza kuzanilwa, wa kike,

2. Kuna mzaliwa wa kwanza wa watoto wa kiume huyo wa pili.

3. Kuna mzaliwa wa kwanza wa AHADI, aliyechaguliwa na Mungu, Mfano wa Yakobo na Essay unakaa vizuri hapo.

Sasa wewe ndoto ULIZOOTA ni kama tu aliyoota Yusuph.

Inawezekana, Mungu amekuchagua uwe mzaliwa wa kwanza wa AHADI kwenye familia yenu Ili upitishe YALIYO ya Mungu kupitia wewe na uzao wako Ili Mungu atukuzwe katika family na ukoo.

Sasa KITI kutoimarika vizuri, ni wewe kutotambua au kutojibidiisha kutimiza majukumu hayo.

Anyway, chukua time ongea na Mungu kupitia maombi akufafanulie na kukupa maelekezo zaidi juu ya nini Cha kufanya.

Ubarikiwe πŸ™
 

YESU ASIMAME NAWE MILELE
 
Niweke kambi kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…