Nice alert hasa maeneo ya mikusanyiko.
Bakwata wanapenda sana msongamano
Haswa Ubwabwa ukiwa karibuBakwata wanapenda sana msongamano
Kenge huwa hana habari kuwa anapigwa ni hadi atoke damu masikioni,kirusi hatari cha India tayari kimeshatua nchini ila kama nchi hatuna habari na tupo busy kufanya mizahaa kama hii!👇View attachment 1783545
Kama Wacha mbuzi wetu sayansi ni kina Gwaji boy na kina msukuma. Madaktari wetu wateuliwa wapiga nyungu. Si ajabu kuwa chuo chetu ranked #1 nchini ni #2021 duniani.
Mpaka siku ikuue ndipo utaiacha hiyo coronaMabibi na mabwana hayawi hayawi hatimaye yamekuwa. Wengine leo na wengine kuanzia kesho. Yote kheri.
Pichani ni kutokea Kigali Rwanda, sherehe za Eid katikati ya Corona inawezekana!
View attachment 1783442
Kunawa nawa mikono, social distancing + kuvaa barakoa hadi pale tume ya mama itakapotoa tamko rasmi, mdogo mdogo maisha yanaweza kuendelea katika usalama.
Kazi na iendelee.
Mpaka siku ikuue ndipo utaiacha hiyo corona
Hujawatendea haki wale wa Mbagala leoMabibi na mabwana hayawi hayawi hatimaye yamekuwa. Wengine leo na wengine kuanzia kesho. Yote kheri.
Pichani ni kutokea Kigali Rwanda, sherehe za Eid katikati ya Corona inawezekana!
View attachment 1783442
Kunawa nawa mikono, social distancing + kuvaa barakoa hadi pale tume ya mama itakapotoa tamko rasmi, mdogo mdogo maisha yanaweza kuendelea katika usalama.
Kazi na iendelee.
Hujawatendea haki wale wa Mbagala leo
Dose hii hapa:Kwani tangu ilipomalizana na yule bwana aliyekuwa akisema kaifukuza kwa maombi, umesikia tena mambo ya nyungu?
Hii wizara imepata wasanii hasa kiukweli
Hii wizara imepata wasanii hasa kiukweli
Dose hii hapa:
Dose ni hii:-
1. Ivermectin 5mg 1x2 kwa siku 10;
2. Azithromycin 500mg 1x1 kwa siku 6;
3. Ped Zinc 1x1 kwa siku 10;
4. Junior Asprin 1x1 kwa siku 10;
5. Multi Vitamine 1x1 kwa siku 10;
6. Cetrizine 10mg 1x1 kwa siku 10;
7. Prednisolone 20mg 1x1 kwa siku 10; na
8. Amoxiclov 625mg 1x2 kwa siku 5.
Hutaki Acha ikuulie mbali. JPM hakuwa na Corona wewe Acha uzushi
India wameanza kutoa ivermectin kijanaVipi nyungu haimo humo?
Nita forward hii prescription kwa wabobezi. Mitaani huku hata kina gwaji boy nao wanatoa zao.
Tunaogopa kuwa guinea pigs wa madaktari kanjanja.
Kwani alikuwa mgonjwa huyu?
View attachment 1783658
Ogopa huyu jamaa:
View attachment 1783661
Hana simile!
India wameanza kutoa ivermectin kijana