Pamoja na Eid, ndugu Waislam Tusisahau Corona Ingalipo

Pamoja na Eid, ndugu Waislam Tusisahau Corona Ingalipo

Mleta mada kama ungetoa tahadhari kama hizi kipindi kile cha kampeni ili watu wazingatie kujikinga na corona na kuacha kushindana kwa kujazana kwenye mikutano ya kampeni ya Lissu na Magufuli basi hata Mungu angekubariki na sasa watu wangekuelewa unachosema ni nini, lakini kama kipindi kile ilikuwa unajibu kuwa kumtoa Dikteta kwanza halafu ndio yanafuatia mengine basi nadhani waislamu nao sasa watajibu kwanza Allah halafu mengine yanafuatia.
 
Kitaalamu tunasema wizara ya afya imeptwa

FB_IMG_1620825409151.jpg
 
Back
Top Bottom