Pamoja na gharama za maisha kuwa juu Bei ya mafuta yaongezeka kwa sh.149 kwa lita. Ruzuku ina faida gani?

Pamoja na gharama za maisha kuwa juu Bei ya mafuta yaongezeka kwa sh.149 kwa lita. Ruzuku ina faida gani?

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Hawa Ewura naona wanamkakati wananchi tutembee kwa miguu katika shughuli zetu za kila siku.

Pamoja na gharama za maisha kuwa juu bado bei ya mafuta imepanda kwa Tshs. 149 kwa lita.

Mafuta ni bidhaa muhimu sana katika uchumi wa nchi hivyo kama yakipanda bei basi ni mara moja tu madhara yake huonekana katika mambo mengi ikiwemo gharama za usafiri bei za bidhaa na vyakula nakadhalika.

Hapo nyuma tuliwahi elezwa kwamba serikali inatia ruzuku ya bilioni mia ili kunusuru bei ya mafuta.

Pamoja na jitihada hiyo bado bei inazidi kupanda na gharama za maisha nazo zitaendelea kuwa juu.

Serikali ituambie inampango gani katika jambo hili kwani historia inatufundisha kwamba kwa hapa Tanzania bei ikishapanda kushuka ni majaliwa tena.
 

Attachments

Madelu jana kasaini mkopo wa trilioni ngapi sijui kutoka WB, nafikiri wanaendeshwa na beberu......nakupa mkopo lakini pandisha bei ya mafuta, yaani beberu anatoa mkopo halafu anavuna immediately kupitia premium kwenye bei ya mafuta.

Matokeo yake hizo trilioni za mkopo zitayeyuka bila matokeo yoyote chanya maana mtaambiwa zilipelekwa kujenga madarasa mapya 500 na wananchi watazidi kusota kwa maisha magumu.

Hiki ni kipindi hatari sana kwa ubinadamu baada ya waabudu shetani (globalists, illuminats) kujipanga kwa ajili ya kuwafanya binadamu kuwa watumwa kwa lengo la kuwashurutisha wamwabudu ibilisi, ni wakati ambao watu wanahitaji kumkiri na kumtegemea Mungu Mwenyezi awatetee na kuwaokoa na kipindi hiki cha dhiki kuu.

Kwa wale wasomaji tafuteni kitabu kinaitwa 'Behold a pale horse' cha Milton William Cooper msome namna haya mambo yanavyoratibiwa kwa ustadi mkubwa.​
 
Vijana wako busy na siasa za majukwani za oya oya na kusifia democrasia ya kupambana na marehemu huku maisha yao yakiendelea kuwa duni na Taifa likizidi kuwa ombaomba na taratibu linaingia kwenye kumi na nane za Wazungu.
 
Hii ni mipango madhubuti ya Nchemba kulipa madeni yake bila kupiga hodi kwenye milango ya watanzania

Ni upuuzi saana
 
Hawa Ewura naona wanamkakati wananchi tutembee kwa miguu katika shughuli zetu za kila siku.

Pamoja na gharama za maisha kuwa juu bado bei ya mafuta imepanda kwa Tshs. 149 kwa lita.

Mafuta ni bidhaa muhimu sana katika uchumi wa nchi hivyo kama yakipanda bei basi ni mara moja tu madhara yake huonekana katika mambo mengi ikiwemo gharama za usafiri bei za bidhaa na vyakula nakadhalika.

Hapo nyuma tuliwahi elezwa kwamba serikali inatia ruzuku ya bilioni mia ili kunusuru bei ya mafuta.

Pamoja na jitihada hiyo bado bei inazidi kupanda na gharama za maisha nazo zitaendelea kuwa juu.

Serikali ituambie inampango gani katika jambo hili kwani historia inatufundisha kwamba kwa hapa Tanzania bei ikishapanda kushuka ni majaliwa tena.
Usitegemee bei ya mafuta, vifurushi nk. kushuka sababu ni biashara zinazomilikiwa na mafisadi papa wa CCM
 
Hawa Ewura naona wanamkakati wananchi tutembee kwa miguu katika shughuli zetu za kila siku.

Pamoja na gharama za maisha kuwa juu bado bei ya mafuta imepanda kwa Tshs. 149 kwa lita.

Mafuta ni bidhaa muhimu sana katika uchumi wa nchi hivyo kama yakipanda bei basi ni mara moja tu madhara yake huonekana katika mambo mengi ikiwemo gharama za usafiri bei za bidhaa na vyakula nakadhalika.

Hapo nyuma tuliwahi elezwa kwamba serikali inatia ruzuku ya bilioni mia ili kunusuru bei ya mafuta.

Pamoja na jitihada hiyo bado bei inazidi kupanda na gharama za maisha nazo zitaendelea kuwa juu.

Serikali ituambie inampango gani katika jambo hili kwani historia inatufundisha kwamba kwa hapa Tanzania bei ikishapanda kushuka ni majaliwa tena.
HAKUNA CHA RUZUKU TUNADANGANYANA
 
Ruzuku ni porojo tu.

Yakishuka bei kwenye soko la dunia ndiyo wanatoka kwenye mashimo yao na ngonjera za ruzuku.

Wangekuwa serious wangehakikisha bei ya mafuta inakuwa stable nchini licha ya kuwepo fluctuations kwenye soko la dunia ndiyo uhalisia wa ruzuku ugeonekana.

Ruzuku ndiyo ipande na kushuka siyo mafuta.
 
Ruzuku ni porojo tu.

Yakishuka bei kwenye soko la dunia ndiyo wanatoka kwenye mashimo yao na ngonjera za ruzuku.

Wangekuwa serious wangehakikisha bei ya mafuta inakuwa stable nchini licha ya kuwepo fluctuations kwenye soko la dunia ndiyo uhalisia wa ruzuku ugeonekana.

Ruzuku ndiyo ipande na kushuka siyo mafuta.
Aliyetuambia kuwa kuna Ruzuku alitudanganya sio??
 
Back
Top Bottom