Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Wakuu inaumiza, inakoroga na kukata maini kabisa. Fikiria kwanza vyoo vya umma vinavyoshughulikiwa kila baada ya dakika 6. Masizi, michanga, matope na chembechembe za vinyesi zinayotapaa pale ambapo zoezi la kuflash likitumi nguvu zaidi.
Anakuja mlemavu anatembelea mikono na miguu anaingia. Anajisaidia anatoka, yani wewe tu na uzima wako unatembea na miguu iliyovaa viatu muda mwingine unasita kabisa kutumia choo kile. Mlemavu ndo anasaga magoti,mikono na makalio yanaburuta pale.
Soma Pia: Kwanini vyoo vya umma vinatengwa kwa jinsia ya wanaume(ME) na wanawake(KE)?
Leo nimepishana na mlemavu choo cha umma kariakoo nusu nilie. Yani hali ile wakuu sio njema kabisa. Ina mana teknolojia imeshindwa kuwatafutia suluhu hawa watu kwenye vyoo vya umma?
Kalaga baho
Anakuja mlemavu anatembelea mikono na miguu anaingia. Anajisaidia anatoka, yani wewe tu na uzima wako unatembea na miguu iliyovaa viatu muda mwingine unasita kabisa kutumia choo kile. Mlemavu ndo anasaga magoti,mikono na makalio yanaburuta pale.
Soma Pia: Kwanini vyoo vya umma vinatengwa kwa jinsia ya wanaume(ME) na wanawake(KE)?
Leo nimepishana na mlemavu choo cha umma kariakoo nusu nilie. Yani hali ile wakuu sio njema kabisa. Ina mana teknolojia imeshindwa kuwatafutia suluhu hawa watu kwenye vyoo vya umma?
Kalaga baho