Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wapenda starehe zipo mkuu,Mikoani hakuna kidimbwi
Kwa hiyo weupe ndio uzuri?Mkoani nikwawashamba, mda huu nipo element pisi ninazoziona siamin kama zinaenda toilet ni weupe peeeeeeh full of tattoo mpaka kule buza [emoji30]
Vya mikoani bado havifikii vya dar,,,, kula bia na jua la dar bia inateremka vizuriZipo mkuu,
lengo likiwa kulewa utalewa tilalila
lengo likiwa kula nyama utakula utasaza
lengo likiwa pisi, zipo kila kona
Mnajifariji tu.Vya mikoani bado havifikii vya dar,,,, kula bia na jua la dar bia inateremka vizuri
Mbona kama unaumia mie kufarijika blazaMnajifariji tu.
Hapana bloo kuwa na amani.Mbona kama unaumia mie kufarijika blaza