Pamoja na kuhangaika kuimbia CHADEMA, Ney wa Mitego hajawahi kualikwa katika mkutano mkuu wa CHADEMA

Pamoja na kuhangaika kuimbia CHADEMA, Ney wa Mitego hajawahi kualikwa katika mkutano mkuu wa CHADEMA

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Fadhila mfadhili mbuzi.

Huyu jamaa angekuwa moja kati ya wasanii mabilionea, kaingizwa chaka akaingia CHADEMA.

Yuko karibu kufilisika, na CHADEMA hawamualiki katika mikutano yao walau apate chochote
 
Fadhila mfadhili Music.

Huyu jamaa angekuwa moja kati ya wasanii mabilionea, kaingizwa chaka akaingia CHADEMA.

Yuko karibu kufilisika, na CHADEMA hawamualiki katika mikutano yao walau apate chocho

Fadhila mfadhili Music.

Huyu jamaa angekuwa moja kati ya wasanii mabilionea, kaingizwa chaka akaingia CHADEMA.

Yuko karibu kufilisika, na CHADEMA hawamualiki katika mikutano yao walau apate chochote
Dust bin post.
 
1732987754560.jpg
 
Hili Roma mkatoliki, amelielezea vizuri sana, ni kweli CDM ama kwa kukusudia au kwa kujisahau huwa hawana utaratibu wa kuwasupport wasanii wao wanaowatumia kwenye kampeni.


446EC039-D6EC-43C4-8291-414D3D6D5EBE.jpeg
6E306F6D-9330-45C3-82B5-404CFE1AB045.jpeg
34A305BB-70AD-4255-84A1-7676CAE2A150.jpeg
42B1EB1C-1D75-4016-A8E0-BC206DBF3578.jpeg
DA9FB80A-1F18-4015-A7AA-4E1F2EE5C5F6.jpeg
 
Fadhila mfadhili Music.

Huyu jamaa angekuwa moja kati ya wasanii mabilionea, kaingizwa chaka akaingia CHADEMA.

Yuko karibu kufilisika, na CHADEMA hawamualiki katika mikutano yao walau apate chochote


..mnawapumbaza sana wasanii.
 
Unapoamua kusupport upinzani unakuwa umeamua kubeba machungu yanayoambatana na maamuzi yako hayo.
Upinzani hawana serikali, hawana bank kuu, hawana tra, hawana uchumi wa kumwaga minoti kama wafanyavyo CCM so tunakosea sana kutaka kuwalinganisha CHADEMA na Chama kilichoshika utamu.
 
Back
Top Bottom