Pamoja na Kushinda Bado Simba Kiwango Kipo Chini

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Namungo hawakuwa makini kwenye lile shambulio lililozaa goli la kwanza laiti kama wangefaulu kuzuia shambulio lile la mapema saa hizi tungekua tunaongea mengine

Tukumbuke Aishi ameokoa mipira ya hatari kati ya miwili au mitatu ambayo ilikua ikielekea langoni mwa simba..lakini bahati haikua kwao Namungo...lkn kwa mchezo ule hata Simba angepigwa tu

Sasa leo mtaani kelele zimekua nyingi sana...wamesahau siku 50 hivi zilizopita watu walifurahia na kushangilia draw wiki nzima hapa,ki ukweli bado kiwango kidogo sana simba...eti leo wanamsifia sakho wakati juzi tu walikua na mpango wa kumfukuza

Tusiongee sana tukutane kwenye FA na NBC Premier League.
 
1.Kwani Manula si mchezaji wa Simba?
2.Umehesabu pia mipira aliyozuia kipa wa Namungo?
3.Unajua msemo wa, "mpira ni mchezo wa makosa"?
4.Namungo walishindwa kuzuia mashambulizi ya timu yenye kiwango dhaifu, je sasa hao Namungo wao kiwango chao kilikuaje?
5.Hutaki mashabiki wa Simba washangilie ushindi wa timu yao?
6.Tatizo ni Simba au Azam?
Acha kujificha kwenye shamba la karanga.
 
Na huwezi kufungwa kama hujafanya makosa kwenye kuzuia
Na siku zote mpinzani anakulazimisha ufanye makosa ili akufunge
 
Hapo sasa!anajificha kwa shamba la Katanga![emoji2][emoji2][emoji2]
 
Ingawa mimi sio Simba ila worldwide the Mark of Champions is Winning even when Playing Badly....
Exactly kabisa
Popote ulipo kunywa mirinda ya baridi kabisaaa nitalipa Mimi, Ila tafadhali chupa usirud mayo home

Kwa reference mwanzilishi wa Uzi aeende akaangalie Bayern Munich na Chelsea Ile final UEFA ndo utajua hata ukiwa na kiwango kibovu kiasi gani au kiwango kikubwa kiasi gani!, Ukishafungwa umefungwa na wewe ni loser kama loser wengine tu
 
Kwab hyo hoja yako ni nini?maana wote tunajua mpira ni mchezo wq makosa..utaadhibiwa kulingana na makosa uliyofanya na utakuwa save kwa ku clear makosa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu unateseka ukiwa kitongoji gani hapa Daslamu. Au bado uko zenji unasubiri utolewe ule mwiko.
 
Bado sana ukilinganisha na Nani Bongo hapa? Anyway, unaonekana unaongea ukiwa umepaniki kwa kuchomolewa mwiko Jana. Kubali tu kuwa yanga ni bendi ya wanamuziki kutoka Kongo.
 
Sawa kilio chako kimesikika,usiwe na wasiwasi makali yataongezwa.
 
Shamba la karanga? 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…