Elections 2010 Pamoja na kuukwaa ubunge, Mustafa Akunaay bado katibu TATO...........

Elections 2010 Pamoja na kuukwaa ubunge, Mustafa Akunaay bado katibu TATO...........

https://www.jamiiforums.com/members/rutashubanyuma.htmlJamaa mtoa hoja umechemka kinoma navyo fahamu mimi TATO Akonay anainterest katika utalii kama kumiliki Tour operator Company, na kazi hii sio full tiome job, mbona humsemi Rage ambaye hata marafiki wa Simba wanaimezea mate au unataka upewe hiyo nafasi wewe ni mwanasheria?

Kweli maskini akipata ****** hulia mbwata
 
Ninashindwa kuelewa hivi mtu mmoja ataweza kujirundikia kazi kibao wakati kuna watanzania wengi wapo vijiweni.......................Mustafa Akunaay ni Mbunge kupitia Chadema wa Jimbo la Mbulu lakini bado ni kibosile wa TATO...............yaani kweli old habits die hard...................

Kimsingi mimi naweza kusema kam a hakuta kuwa na conflict of interest sioni kama kuna tatizo. Maana hata hiyo nafasi ya ukatibu TATO huwezi kujua ina nafasi yake ya uwakilishi.

Vipi hapa??????

Mama Rwakatare aache kanisa awe Mbunge kabisa??

Lowasa ajitoe kwenye umiliki wa makampuni yote aliyonayo ili a-concentrate kwenye uwakilishi bungeni?

Sophia Simba aache umwenyekiti UWT awe mbunge tu???

Orodha inaendelea...............
 
Kimsingi mimi naweza kusema kam a hakuta kuwa na conflict of interest sioni kama kuna tatizo. Maana hata hiyo nafasi ya ukatibu TATO huwezi kujua ina nafasi yake ya uwakilishi.

Vipi hapa??????

Mama Rwakatare aache kanisa awe Mbunge kabisa??

Lowasa ajitoe kwenye umiliki wa makampuni yote aliyonayo ili a-concentrate kwenye uwakilishi bungeni?

Sophia Simba aache umwenyekiti UWT awe mbunge tu???

Orodha inaendelea...............

kikwete aache uenyekiti wa ccm
 
Back
Top Bottom