Pamoja na kuwa Chato itatangazwa mkoa kwenye kilele cha mbio za Mwenge Oktoba 14, ukweli ni kuwa CCM haiyaenzi mema ya hayati Magufuli

Pamoja na kuwa Chato itatangazwa mkoa kwenye kilele cha mbio za Mwenge Oktoba 14, ukweli ni kuwa CCM haiyaenzi mema ya hayati Magufuli

USIHOFE,,CHATO HAITATANGAZWA KUWA MKOA KWANI SAMIA NA KIKWETEW HAWAPENDI ..NDO MAANA WAZIRI MKUU BUNGENI ALISEMA WAMEAMAUA KUTOONGEZA MAENEO YA KIUTAWALA HADI SENSA IFANYIKE,


Kuna masuala kadha wa kadha ambayo yameibuka na kukatisha tamaa wananchi wa kawaida. Tozo ambazo kiuhalisia ni makandamizo kwa wananchi wa kawaida. Wamachinga kuondolewa kimabavu kwenye miji mikubwa na mafisadi kuavhiwa huru kana kwamba hawakuliibia taifa. Haya ni baadhi ya mambo ambayo yanaonyesha kuwa Ccm haienzi yale hayati JPM aliyasimamia.

Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa Chato itatangazwa kuwa mkoa. Na hii sio justification kuwa Ccm ya awamu ya sita inamuenzi hayati JPM. Hii ni danganya toto na siasa za kinafiki . Maana Ccm hii chini ya rais Samia haisimamii yale ambayo hayati JPM aliyasimamia.
View attachment 1953542
 
Unaweza ukawa unaheshimiwa midomoni mwa watu na sio mioyoni mwa watu.
 
Kuna masuala kadha wa kadha ambayo yameibuka na kukatisha tamaa wananchi wa kawaida. Tozo ambazo kiuhalisia ni makandamizo kwa wananchi wa kawaida. Wamachinga kuondolewa kimabavu kwenye miji mikubwa na mafisadi kuavhiwa huru kana kwamba hawakuliibia taifa. Haya ni baadhi ya mambo ambayo yanaonyesha kuwa Ccm haienzi yale hayati JPM aliyasimamia.

Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa Chato itatangazwa kuwa mkoa. Na hii sio justification kuwa Ccm ya awamu ya sita inamuenzi hayati JPM. Hii ni danganya toto na siasa za kinafiki . Maana Ccm hii chini ya rais Samia haisimamii yale ambayo hayati JPM aliyasimamia.
View attachment 1953542
Dikteta Hana zuri la kumuenzi,
 
USIHOFE,,CHATO HAITATANGAZWA KUWA MKOA KWANI SAMIA NA KIKWETEW HAWAPENDI ..NDO MAANA WAZIRI MKUU BUNGENI ALISEMA WAMEAMAUA KUTOONGEZA MAENEO YA KIUTAWALA HADI SENSA IFANYIKE,
Wasukuma humu JF na misukule ya dikteta, kutwa mnamtukana Samia, halafu yeye atakuwa mjinga kiasi gani aruhusu chato iwe mkoa
 
Wasukuma humu JF na misukule ya dikteta, kutwa mnamtukana Samia, halafu yeye atakuwa mjinga kiasi gani aruhusu chato iwe mkoa
IE SIYO MSUKUMA NA NIKO NDANI YA SYSTEM,, NIMEMUJIBU KILICHOPO..JE HIVI ENEO KUWA MKOA KIGEZO NIKUWA MJI UWE UMEENDELEA SANA AU NI VIGENZO GANI KWANI NAONA UNASEMA ENEAO HALINA VIGEZO
 
Kuna masuala kadha wa kadha ambayo yameibuka na kukatisha tamaa wananchi wa kawaida. Tozo ambazo kiuhalisia ni makandamizo kwa wananchi wa kawaida. Wamachinga kuondolewa kimabavu kwenye miji mikubwa na mafisadi kuavhiwa huru kana kwamba hawakuliibia taifa. Haya ni baadhi ya mambo ambayo yanaonyesha kuwa Ccm haienzi yale hayati JPM aliyasimamia.

Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa Chato itatangazwa kuwa mkoa. Na hii sio justification kuwa Ccm ya awamu ya sita inamuenzi hayati JPM. Hii ni danganya toto na siasa za kinafiki . Maana Ccm hii chini ya rais Samia haisimamii yale ambayo hayati JPM aliyasimamia.
View attachment 1953542
Na hao hapo chini waliochuchumaa/piga magoti ni wanachato wemyewe. si eti?
 
Chato haifai kuwa mkoa
Ni kuangalia vigezo tu jombaa. Kama havitoshi Mama alisema watashauriwa wavikidhi. Mfano ukubwa wa eneo, unamega huku na pale tosha! Ukiishafanya hivyo, na idadi ya watu inaingia mulemule. Vyanzo vya mapato vipo. Vinaweza kuongezwa ikibidi. Kinachobaki hapo ni maamuzi ya wenye mamlaka. Kwisha!!!
 
Kwamba chato itoke kuwa halmashauri ya wilaya mpaka iwe mkoa.
Kama wanataka chato iwe mkoa basi wabadili jina la mkoa wa geita uiitwe mkoa wa chato na makao makuu yake yahamishiwe chato. Over
 
Chato haijatimiza vigezo vya kuwa mkoa!

Inaweza kuwa Manispaa.
Ilishatimiza na itakuwa jiji la chato.
Pia Butiama na Lupaso zitagazwe kuwa mikoa siku hiyo hiyo ili tuwaenzi wote bila unafiki kwa pamoja
 
Yaani Chato Chato kila siku, hamjasahau tu mtu wenu hayupo? Hiyo hadhi ya wilaya inatosha kabisa! Fedha za kuendesha mkoa zipelekwe kwenye maendeleo ya mambo mengine,

Hii nchi kuna maeneo hawana shule, hawana hospitali hawana barabara, yaa ni umaskini wa kutupa, mbona kelele za chato kila siku!

Kama kuna potential ipo chato basi chato itajiendesha yenyewe na itakuwa kuwa hata jiji lakini siyo kwa upendeleo maalumu wa kodi za wananchi!!
Chato ina hadhi ya tarafa mkuu
 
Kuna masuala kadha wa kadha ambayo yameibuka na kukatisha tamaa wananchi wa kawaida. Tozo ambazo kiuhalisia ni makandamizo kwa wananchi wa kawaida. Wamachinga kuondolewa kimabavu kwenye miji mikubwa na mafisadi kuavhiwa huru kana kwamba hawakuliibia taifa. Haya ni baadhi ya mambo ambayo yanaonyesha kuwa Ccm haienzi yale hayati JPM aliyasimamia.

Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa Chato itatangazwa kuwa mkoa. Na hii sio justification kuwa Ccm ya awamu ya sita inamuenzi hayati JPM. Hii ni danganya toto na siasa za kinafiki . Maana Ccm hii chini ya rais Samia haisimamii yale ambayo hayati JPM aliyasimamia.
View attachment 1953542
CCM IPO kabla ya awamu ya 5.....

Changamoto za nchi zipo kila awamu......

Hayati Mkapa aliibinafsisha benki ya NBC kipindi Cha uhai wa hayati baba wa taifa......


#NchiKwanza
#SiempreCCM
 
Magufuli akifufuka leo na akaona jinsi nchi inavyoendeshwa. Halafu akawekewa mbele ya Samia Na Mbowe ili achague yupi Gaidi na yupi sio Gaidi. Nina uhakika kwa 1000% atasema Samia ni Gaidi na akamatwe mara moja.
Nchi ilikuwepo kabla ya hayati JPM na itaendelea kuwepo hata baada ya mh.Rais SSH.....

#SiempreJMT
 
Kuna masuala kadha wa kadha ambayo yameibuka na kukatisha tamaa wananchi wa kawaida. Tozo ambazo kiuhalisia ni makandamizo kwa wananchi wa kawaida. Wamachinga kuondolewa kimabavu kwenye miji mikubwa na mafisadi kuavhiwa huru kana kwamba hawakuliibia taifa. Haya ni baadhi ya mambo ambayo yanaonyesha kuwa Ccm haienzi yale hayati JPM aliyasimamia.

Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa Chato itatangazwa kuwa mkoa. Na hii sio justification kuwa Ccm ya awamu ya sita inamuenzi hayati JPM. Hii ni danganya toto na siasa za kinafiki . Maana Ccm hii chini ya rais Samia haisimamii yale ambayo hayati JPM aliyasimamia.
View attachment 1953542
Chato haiwezi kuwa mkoa, na isitoshe hakutakuwa na mabadiriko yoyote ya kiutawala mpaka sensa ya watu na makazi itakayofanyika mwakani.

Sukuma gang mtaendelea kuweweseka sana, kama mnadhani mkoa unakuja tu kiholela basi Chalinze na Bagamoyo pia watataka mikoa yao.
 
Chatto inapiganiwa kuwa Mkoa kwa kuwa imetimiza vigezo au kwa kuwa iliwahi kutoa Rais wa Jamhuri au kwa kuwa tunataka kutuliza fukuto la 'Watikrit' wa Kanda ya Ziwa?
 
Ni kuangalia vigezo tu jombaa. Kama havitoshi Mama alisema watashauriwa wavikidhi. Mfano ukubwa wa eneo, unamega huku na pale tosha! Ukiishafanya hivyo, na idadi ya watu inaingia mulemule. Vyanzo vya mapato vipo. Vinaweza kuongezwa ikibidi. Kinachobaki hapo ni maamuzi ya wenye mamlaka. Kwisha!!!
Mpaka sasa yalishafanyika
 
Back
Top Bottom