Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Japo haijulikani wala kupewa umuhimu na kila mwanadamu, waislam wana kalenda yao.
Waliamua kuwa na kalenda yao wakidukua Ukristo ulioanza kuhesabu tangu alipozaliwa Yesu.
Pamoja na yote hayo, kwanini waislam, kisheria, wanatumia kalenda ya Kikristo?
Je ni halali kwa mataifa yote kutumia kalenda hizi feki kana kwamba dunia ilianza walipoanza imani zao?
Sasa tuna AI.
Kwanini dunia isiwe na kalenda isiyofungamana na uongo huu wa wazi?
Waliamua kuwa na kalenda yao wakidukua Ukristo ulioanza kuhesabu tangu alipozaliwa Yesu.
Pamoja na yote hayo, kwanini waislam, kisheria, wanatumia kalenda ya Kikristo?
Je ni halali kwa mataifa yote kutumia kalenda hizi feki kana kwamba dunia ilianza walipoanza imani zao?
Sasa tuna AI.
Kwanini dunia isiwe na kalenda isiyofungamana na uongo huu wa wazi?