Pamoja na kuwa na vivutio vichache, bado tumezoa tuzo nyingi

Pamoja na kuwa na vivutio vichache, bado tumezoa tuzo nyingi

Kama ulienda shule, hii picha hapaa chini itakuelimisha kitu, nyie pamoja na liichi lote hilo ambalo ukubwa wake itabidi uunganishe Kenya, Uganda, Rwanda ili kuifikia, halafu nchi yote ina rotuba, na ina vivutio bora zaidi ya nchi zote Afrika lakini bado maskini wa kutupwa, mnaorodheshwa kama LDC, kwa kifupi maskini hoi.
Suluhisho ni kujituma, mtuige sisi wenye kainchi kadogo kenye eneo ndogo sana yenye rotuba lakini ndio vinara ukanda wote huu ukiunganisha Afrika Mashariki na Afrika ya Kati na bado tunachana mbuga na kutanua, kama umechukia tema la sivyo meza.

kenya-land-use-planning-and-the-need-for-gis-in-county-spatial-planning-mathenge-mwehe-12-638.jpg



Ungesema sasa kama lengo lako lilikuwa ni kulinganisha Kenya na Tanzania, na siyo kuanza kuzunguka huku na kule kama mtoto mdogo anayetafuta huruma.
Hit the point na kuwa muwazi ndivyo watu matured wanavyojadili na siyo kuanza kuzunguka na kuita Kenya kanchi wakati Kenya ni moja kati ya nchi kubwa Afrika!

Hivyo kama lengo lilikuwa ni ligi yenu ya kitoto ya TZ vs Kenya ungesema hivyo lkn siyo kusema sijui Kenya kanchi kadogo mara hakuna vivutio vya Utalii, wkt vyote ni uongo, Kenya ni moja kati ya nchi kubwa Afrika, ni moja kati ya nchi zinazoongoza kwa vivutio viingi vya utalii Afrika, hata ni moja kati ya nchi ambayo ardhi yake ina rutuba nzuri sana , Rift valley inapasua kati kati ya Kenya!

Na Rift valley ni most fertile place in Afrika!


Hivyo next time nenda moja kwa moja kule unakotaka kwenda kwamba unataka ligi lkn siyo kuongea ujinga!
 
Ungesema sasa kama lengo lako lilikuwa ni kulinganisha Kenya na Tanzania, na siyo kuanza kuzunguka huku na kule kama mtoto mdogo anayetafuta huruma.
Hit the point na kuwa muwazi ndivyo watu matured wanavyojadili na siyo kuanza kuzunguka na kuita Kenya kanchi wakati Kenya ni moja kati ya nchi kubwa Afrika!

Hivyo kama lengo lilikuwa ni ligi yenu ya kitoto ya TZ vs Kenya ungesema hivyo lkn siyo kusema sijui Kenya kanchi kadogo mara hakuna vivutio vya Utalii, wkt vyote ni uongo, Kenya ni moja kati ya nchi kubwa Afrika, ni moja kati ya nchi zinazoongoza kwa vivutio viingi vya utalii Afrika, hata ni moja kati ya nchi ambayo ardhi yake ina rutuba nzuri sana , Rift valley inapasua kati kati ya Kenya!

Na Rift valley ni most fertile place in Afrika!


Hivyo next time nenda moja kwa moja kule unakotaka kwenda kwamba unataka ligi lkn siyo kuongea ujinga!

Hehehe imekugusa penyewe, utaendelea kuona haka kainchi kadogo kakiwaongoza kwa kila kitu siku kwa siku.
 
Kama ulienda shule, hii picha hapaa chini itakuelimisha kitu, nyie pamoja na liichi lote hilo ambalo ukubwa wake itabidi uunganishe Kenya, Uganda, Rwanda ili kuifikia, halafu nchi yote ina rotuba, na ina vivutio bora zaidi ya nchi zote Afrika lakini bado maskini wa kutupwa, mnaorodheshwa kama LDC, kwa kifupi maskini hoi.
Suluhisho ni kujituma, mtuige sisi wenye kainchi kadogo kenye eneo ndogo sana yenye rotuba lakini ndio vinara ukanda wote huu ukiunganisha Afrika Mashariki na Afrika ya Kati na bado tunachana mbuga na kutanua, kama umechukia tema la sivyo meza.

kenya-land-use-planning-and-the-need-for-gis-in-county-spatial-planning-mathenge-mwehe-12-638.jpg
Uganda ni ndogo na haina vivutio vingi, kwanini imewazidi kimapato katika hutalii?,
 
Hii inatokana na desturi yetu ya kujituma, kwamba raslimali chache lakini nchi ya watu wa kujituma. Kainchi kadogo, zaidi ya nusu yake kame tupu, karibia iwe jangwa halafu vivutio vya kitalii vichache lakini tumezoa tuzo muhimu zote.

Ina maana tungekua na vivutio zaidi, uchumi wetu ungekua unaendeshwa na pato la utalii.
Hongera timu Kenya.
------------------------------------------------------------------------

Kenya has again been voted as the world’s leading safari destination by the World Travel Awards.

Kenya scooped the prestigious award during a grand ceremony that took place at JW Marriott Phu Quoc Emerald Bay Hotel in Vietnam on December 10.

It is the fourth time that Kenya has won the global accolade. Kenya bagged the award last year, in 2015and 2013.

Kenya overcame fierce competition from other African safari destinations such as South Africa, Botswana, Namibia, Tanzania, Zambia, Uganda and Zimbabwe.

Top landing beach destination

Apart from the global win, this year, Kenya also scooped the Africa’s leading beach destination award, the Africa’s leading national park award and the Africa’s leading tourist board award from the World Travel Awards.

A message from the World Travel Awards read in part: “It is with great pleasure that we announce the world winners of the 24th World Travel Awards 2017.”

Thanda Island from Tanzania scooped the world’s leading exclusive private island award while Four Seasons Safari Lodge, Serengeti, also from Tanzania, won the world’s leading safari lodge award.

Legend Golf and Safari Resort from South Africa won the world’s leading safari resort award while Villa iZulu @ Thanda Safari, also from South Africa, bagged the world’s leading luxury private villa award.

Shambala Private Reserve from South Africa scooped the world’s leading private game reserve award.

The World Travel Awards are widely regarded as the Oscars of the travel industry.

Most prestigious awards

The organisation is the travel industry’s most prestigious awards programme, rewarding leaders in the tourism, airline, hotel and hospitality sectors around the world.

The body supports, promotes and develops the global travel and tourism industry by identifying and rewarding excellence and inspiring practitioners to continually raise the standards of their products and services.

The votes come from qualified executives working within travel and tourism and the consumer travel buyer.

On Wednesday, Kenya Tourism Board (KTB) chairman Jimi Kariuki termed the global award win as a great honour to Kenya’s safari offering.

He said Kenya deserved the win since it has best safari hotspots such the world famous Maasai Mara National Reserve, Amboseli National Park, Lake Nakuru National Park as well as the Tsavo East and West National Parks.

READ: Top places to visit in Kenya

Wildebeest migration

“The annual wildebeest migration spectacle in the Mara, abundant wildlife in our parks, which include the Big Five, makes Kenya stand above the rest in the safari world,” Mr Kariuki said.

He added that KTB would capitalise on the global award to aggressively market the country in both traditional and emerging markets for Kenya to attract many wildlife enthusiasts.

Kenya Tourism Federation (KTF) chairman Mohamed Hersi said Kenya was indisputable the best safari destination in the world.

“We are delighted that our country scooped the coveted global award. We must take advantage of the win to woo more safari seekers for tourism to recover,” he said.

READ: Where wealthy Kenyans spend cash

The KTB boss said there was need for Kenya to protect its flora and fauna for it to maintain its global safari appeal.

“Illegal poaching of wildlife must be brought to an end for the country to attract more wild life lovers.

"The wildlife are a great heritage, which we must conserve for sustainable tourism development,” he added.

Kenya voted world's top safari destination, again
Hehe, KTB imechukua tuzo la best tourism board for 5 consecutive years!!!!! kila mwaka tunazindua mbinu mpya za kuvutia wageni, hizi nchi nyengine kama kina Uganda, Tz wangepatwa na majanga kama vile Kenya imepitia, utalii wao ungekua ulikufa kabisa, yanii kukwepa mabomu ya alshabaab, siasa mbaya, maandamano, tena bado tuna mda wa ku convince watalii waje Kenya, muingereza akihofia kuja, tunapeleka marketing yetu india, mfaransa akisema ni muoga, tunapeleka campaign yetu kwa Mchina, muamerika akisema kwe, tunapeleka KTB uarabuni......

sahii vile kumeanza kutulia sasa watalii wapya na wale wa traditional markets wote watajazana, kuanzia Decembeer hii kwenda mbele tutaanza kuvunja rekodi za mapato na watalii, watch this space!!!


From Seychelles to Kenya, magical destinations that offer visa on arrival
untitled-11.jpg
 
Hehe, KTB imechukua tuzo la best tourism board for 5 consecutive years!!!!! kila mwaka tunazindua mbinu mpya za kuvutia wageni, hizi nchi nyengine kama kina Uganda, Tz wangepatwa na majanga kama vile Kenya imepitia, utalii wao ungekua ulikufa kabisa, yanii kukwepa mabomu ya alshabaab, siasa mbaya, maandamano, tena bado tuna mda wa ku convince watalii waje Kenya, muingereza akihofia kuja, tunapeleka marketing yetu india, mfaransa akisema ni muoga, tunapeleka campaign yetu kwa Mchina, muamerika akisema kwe, tunapeleka KTB uarabuni......

sahii vile kumeanza kutulia sasa watalii wapya na wale wa traditional markets wote watajazana, kuanzia Decembeer hii kwenda mbele tutaanza kuvunja rekodi za mapato na watalii, watch this space!!!


From Seychelles to Kenya, magical destinations that offer visa on arrival
untitled-11.jpg

Hizi ni jitihada za kipekee, kuwaleta watalii kipindi cha msukosuko inahitaji akili kubwa.
 
Hizi ni jitihada za kipekee, kuwaleta watalii kipindi cha msukosuko inahitaji akili kubwa.
Hongereni wakenya... Mnachanja mbuga na mnajitambua.. Natamani kuishi kenya nchi inayoongoza kwa uchumi east Africa, democracy pana, elimu kubwa, utalii lukkuki, watu mnajivunia nchi yenu I wish niwe mkenya...
 
Hongereni wakenya... Mnachanja mbuga na mnajitambua.. Natamani kuishi kenya nchi inayoongoza kwa uchumi east Africa, democracy pana, elimu kubwa, utalii lukkuki, watu mnajivunia nchi yenu I wish niwe mkenya...
Jombaa unatania au? Kama hutanii vipi kuna mrembo flani hapa toto la kidigo jirani yangu ana mihemko ya ajab. Nimejizuia sana kuingia mtegoni wife asije akaliamsha bure kwa ajili ya papuchi ya mwendokasi. Karibu Kenya.
 
Hongereni wakenya... Mnachanja mbuga na mnajitambua.. Natamani kuishi kenya nchi inayoongoza kwa uchumi east Africa, democracy pana, elimu kubwa, utalii lukkuki, watu mnajivunia nchi yenu I wish niwe mkenya...

Hehehe!! Asante, njoo maana huku unaingia tu kwa kutumia kitambulisho chako cha nchi yako, unapiga biashara zako baina ya kwenu Tanzania na Kenya.
 
Jombaa unatania au? Kama hutanii vipi kuna mrembo flani hapa toto la kidigo jirani yangu ana mihemko ya ajab. Shida yangu kuu sitaki nijieke mtegoni wife aliamshe. Karibu Kenya.
Kwahiyo unataka unipe na mchumba kabisa jamaa yangu.... Mi nafurahi sana mlivyo jiwekeza kwenye utafiti wa kilimo na mifugo... Mnaweza kutuuzia sisi mburula wa tz ata vifaranga vya kuku 6,450 mko vizuri wa kenya..

Vile vile nnavyo taka kufuga kuku nashauriwa et nifuge kuku wa kenya... Wakenya mnajina sana hapa Tanzania...
 
Hehehe!! Asante, njoo maana huku unaingia tu kwa kutumia kitambulisho chako cha nchi yako, unapiga biashara zako baina ya kwenu Tanzania na Kenya.
Vp hamnaga ukatili jamaa yangu.... Maana nyie akili nyingi hamchelewi kuniuwa... Mna roho ngumu sanaa
 
kinundu Hukusikia alivosema Uhunye? Ukipata mwanamke wa kikenya mmpendane, mkishafunga ndoa basi Kenya una ruksa kuishi, kufanya biashara, kumiliki ardhi milele na milele amina. Afu wenzako Kina Munishi na Gado wapo huku pia,so no worries man.
 
Vp hamnaga ukatili jamaa yangu.... Maana nyie akili nyingi hamchelewi kuniuwa... Mna roho ngumu sanaa

Ukatili uko maeneo yote na nchi zote, ukija usizingue, ubaki njia kuu hayatakutokea, lakini ukileta vya kuleta lazima uchinjiwe baharini. Kwa kifupi usimtongoze mke wa mtu, usiibe fanya yako kwa bidii bila uzembe na utulie. Ndivyo ilivyo kila unapokwenda kwenye nchi za watu na hata pia ukiwa hapo Bongo nina uhakika huwa unazingatia kubaki njia kuu, maana na huko pia niliona watu wanaokotwa baharini wamefungwa kwa kamba.

Mimi nikijaga Bongo huwa napiga misele na kushugulika na kazi zangu, kwanza hata siasa huwa nakaa mbali nazo, hutoniskia nikitaja CCM au Chadema maana naujua muziki wake, jamaa huwa wana hisia kali kali.

Kwa kifupi ukijua jinsi ya kubaki njia kuu, unaweza kuishi hata Somalia kwa mabomu na usiguswe na mtu yeyote. Wapo Watanzania wanapiga biashara huku balaa sio mchezo, kwanza Wachagga wa Kilimanjaro, ikifika mwezi huu wa Krisimasi wanaanza kusafiri kwa maelfu kwenda kwao Moshi.
 
Hii sio kawaida maana ulikua ushindani mkali uliohusu mataifa kama South Africa, Botswana, Namibia, Tanzania, Zambia, Uganda na Zimbabwe.
Yaani tungekua na nusu ya vivutio mlivyo navyo, hii Afrika ingetutambua.

hizo ni wishful thinking. mbona north Africa ukiondoa Misri hawana vivutio lkn they are among the best tourists destinations.
 
Kwahiyo unataka unipe na mchumba kabisa jamaa yangu.... Mi nafurahi sana mlivyo jiwekeza kwenye utafiti wa kilimo na mifugo... Mnaweza kutuuzia sisi mburula wa tz ata vifaranga vya kuku 6,450 mko vizuri wa kenya..

Vile vile nnavyo taka kufuga kuku nashauriwa et nifuge kuku wa kenya... Wakenya mnajina sana hapa Tanzania...
Usiseme sisi mburula, sema wewe mburula. Pumbavu
 
Hii inatokana na desturi yetu ya kujituma, kwamba raslimali chache lakini nchi ya watu wa kujituma. Kainchi kadogo, zaidi ya nusu yake kame tupu, karibia iwe jangwa halafu vivutio vya kitalii vichache lakini tumezoa tuzo muhimu zote.

Ina maana tungekua na vivutio zaidi, uchumi wetu ungekua unaendeshwa na pato la utalii.
Hongera timu Kenya.
------------------------------------------------------------------------

Kenya has again been voted as the world’s leading safari destination by the World Travel Awards.

Kenya scooped the prestigious award during a grand ceremony that took place at JW Marriott Phu Quoc Emerald Bay Hotel in Vietnam on December 10.

It is the fourth time that Kenya has won the global accolade. Kenya bagged the award last year, in 2015and 2013.

Kenya overcame fierce competition from other African safari destinations such as South Africa, Botswana, Namibia, Tanzania, Zambia, Uganda and Zimbabwe.

Top landing beach destination

Apart from the global win, this year, Kenya also scooped the Africa’s leading beach destination award, the Africa’s leading national park award and the Africa’s leading tourist board award from the World Travel Awards.

A message from the World Travel Awards read in part: “It is with great pleasure that we announce the world winners of the 24th World Travel Awards 2017.”

Thanda Island from Tanzania scooped the world’s leading exclusive private island award while Four Seasons Safari Lodge, Serengeti, also from Tanzania, won the world’s leading safari lodge award.

Legend Golf and Safari Resort from South Africa won the world’s leading safari resort award while Villa iZulu @ Thanda Safari, also from South Africa, bagged the world’s leading luxury private villa award.

Shambala Private Reserve from South Africa scooped the world’s leading private game reserve award.

The World Travel Awards are widely regarded as the Oscars of the travel industry.

Most prestigious awards

The organisation is the travel industry’s most prestigious awards programme, rewarding leaders in the tourism, airline, hotel and hospitality sectors around the world.

The body supports, promotes and develops the global travel and tourism industry by identifying and rewarding excellence and inspiring practitioners to continually raise the standards of their products and services.

The votes come from qualified executives working within travel and tourism and the consumer travel buyer.

On Wednesday, Kenya Tourism Board (KTB) chairman Jimi Kariuki termed the global award win as a great honour to Kenya’s safari offering.

He said Kenya deserved the win since it has best safari hotspots such the world famous Maasai Mara National Reserve, Amboseli National Park, Lake Nakuru National Park as well as the Tsavo East and West National Parks.

READ: Top places to visit in Kenya

Wildebeest migration

“The annual wildebeest migration spectacle in the Mara, abundant wildlife in our parks, which include the Big Five, makes Kenya stand above the rest in the safari world,” Mr Kariuki said.

He added that KTB would capitalise on the global award to aggressively market the country in both traditional and emerging markets for Kenya to attract many wildlife enthusiasts.

Kenya Tourism Federation (KTF) chairman Mohamed Hersi said Kenya was indisputable the best safari destination in the world.

“We are delighted that our country scooped the coveted global award. We must take advantage of the win to woo more safari seekers for tourism to recover,” he said.

READ: Where wealthy Kenyans spend cash

The KTB boss said there was need for Kenya to protect its flora and fauna for it to maintain its global safari appeal.

“Illegal poaching of wildlife must be brought to an end for the country to attract more wild life lovers.

"The wildlife are a great heritage, which we must conserve for sustainable tourism development,” he added.

Kenya voted world's top safari destination, again
wakenya wanapiga kazi jamani mpende msipende.huku endeleeni na siasa.
 
December 22, 2017
Zanzibar, Tanzania

MELI KUBWA YA KITALII MV. BOUDICCA YATINGA ZANZIBAR

Meli kubwa ya utalii iendayo kwa jina la MV Boudicca yenye abiria 521 watakao teremka katika mji maarufu Afrika Mashariki kwa utalii wa meli aina za cruise liners imetia nanga katika bandari ya Zanzibar.

Kulikuwa na shamrashamra kubwa kama kawaida kuwakaribisha wageni hao bandarini katika kisiwa hiki maarufu kwa utalii wa kila namna kuanzia pwani yenye mchanga mweupe, mji mkongwe a.k.a Stone Town, Makumbusho/ Museum na kuonja vyakula vitamu vilivyokolewa kila aina ya viungo .

Karibuni wana JamiiForums popote ulimwenguni mpate kuona hali halisi ilivyokuwa kwa kutazama video clip fupi hapa chini:

Source: KTV TZ
 
Back
Top Bottom