Pamoja na kuwa Uko Single....


Aisee leo Maty umeamua kuwa mama wa busara.
Hii sredi umeitendea haki sana.
Thanks

Swali la kizushi: We unalala na mto au na limjamaa lenye miguu mitatu?
 
Which means umefall in love na yeye lol!!!!!!!!

Hahaa we dogo acha kuchakachua thread, hizi biashara za kupendana kwenye keyboard halafu mkikutana anaanza kujiuliza kumbe kitu chenyewe hiki anakukimbia umsikii tena hata sitaki. Ishanitokea mara 7 tumepiemiana huku wakiniona niko kama yule anaetafuta mchumba wa cheusi mangala wananikimbia. Humu wababa wabaguzi sana:closed_2: and :focus:
 
 

Hapo kwenye red mpenzi jiulize are married people completely happy? jibu ulipatalo ni 50 50 kwa single na couple

Kwenye blue unajua watu huwa hawaachani moja kwa moja. Kama unaona huwezi tafuta mwingine basi siku ukimmisi ukimwambia tu ofcourse na yeye atakua amekumiss pia mnadu the nidful then kila mtu anachukua time yake sio kubananana na kuuziana tu. Kama anaringa kama ulivyosema gari ikimis mafuta yakikosekana mwenge yatapatikana tegeta.

Kwa kumalizia soma signature yangu halafu subiri, ukimiss kidogo halafu unashindwa jizuia unafanya kama hapo juu. Utaishi kwa raha kuliko maelezo acha maisha yaende kama mungu alivyokupangia and remember no condition is permanent
 
Aisee leo Maty umeamua kuwa mama wa busara.
Hii sredi umeitendea haki sana.
Thanks

Swali la kizushi: We unalala na mto au na limjamaa lenye miguu mitatu?

Hahahaaa nalala na mto babu yangu kipenzi. Lijamaa lenye miguu mitatu linafanya kazi Arusha mimi Bukoba tukimisiana tunatafutana au mbadala wake unachukua nafasi, Nikupe siri, mwenzio nikianza kuhisi mpweke basi natafuta babu na crew yake tunachuda raha nikitoka hapo nafsi bariiiiiiiiiiiiiiiidi thanks jf
 

Hivi kinachotia upweke ni kuikosa baiolojia kwa karibu au kukosa mtu wa kuongea na kumkumbatia wakati mmelala? Hivi ukilala na kale katukuu kangu si bado unapata kajoto na kampani ya kutosha? Hapa nadhani mjukuu mtiifu alikuwa anamaanisha kuwa single bila baioloji pembeni.
 
Kwahiyo tuwapige talaka wake zetu ili woooooooote tuishi single but happy?

Mimi wa kwangu asinipige talaka, I cant imagine my life without HIM. awepo tu; kugombana, kununiana, kufurahishana...... vyote ni part of life.
 
Single (with celibacy)?;
Single (but a free lancer)?;
Single (but committed, attached)?;
Single (detached,widowed etc)?; or
'Married single'?
:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:
 

Na hii ikitokea umeimisi kati kati ya usiku mnene utapata habari yake (muangalie muwakilishi wa yule dada kwenye jarida muda aliopost) utaanza kujiona una kasoro kila mahali, ukiwa hujaimisi wala kila kitu unaona kiko sawa tu tena unaona afadhali ya kubaki single.
 

Aisee Maty,

Ntakuunganisha WikiLeaks asee!..unajua kufanya uchunguzi yakinifu.

Kwahiyo mjukuu wangu alikuwa anaimisi baiolojia akaona isiwe tabu ngoja nirushe thread. Kweli angekuwa nayo muda huo angekuwa kashalala saa nyiiiiiiiiiiiiiingi.

Babu ameelewa sasa!
 
Hahaha hommie mmecocludi kipi ni kipi nichague? Single unhappy or married unhappy?
 
Hahaha hommie mmecocludi kipi ni kipi nichague? Single unhappy or married unhappy?

Pamoja na kuwa Singo, Kimey is hapi
Haitaji Songombingo, zile za kina hepi
Usalule na mipingo, merriage itoke wapi
Komaa hommie komaa, maisha ya ndoa balaa
 
Jamani Maty,

Mbona ni wakarimu sana tena kwa wote......! sasa kama hao wote uliwajaribu wakaingia mitini, si ungenijaribu na mimi kule kwenye tangazo sasa?
 
Pamoja na kuwa Singo, Kimey is hapi
Haitaji Songombingo, zile za kina hepi
Usalule na mipingo, merriage itoke wapi
Komaa hommie komaa, maisha ya ndoa balaa
Hahaha home boy hapa nna creti lako la ndovu za kopo! Dah mistari ina vina hata babu hapa lazima akubali lol! Ni mimi tu nimebaki nisojua ngonjera lol!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…