Pamoja na Maandamano Kenya, Muswada wa Fedha wapitishwa na wabunge

Pamoja na Maandamano Kenya, Muswada wa Fedha wapitishwa na wabunge

Nilikuambia kwa Wakenya haijaisha hadi iishe. Haya Rais kagoma kutia saini.

SHETANI NA WATU WAKE MMEKALIA MSUMARI.
Kugoma kutoa Saini ni tactic tu. Hatimae atasaini. Waandamanaji madai yao sio agome Bali Muswada uanze upya
 
Ukiwa kiongozi wa nchi na ukisikiliza kelele za wananchi na kufanya maamuzi kwa shinikizo la wananchi wewe utakuwa sio kiongozi.

Kiongozi anatakiwa kuwa na maono na msimamo wa kusimamia maono yake hata kama hayawapendezi wananchi.
 
Ukiwa kiongozi wa nchi na ukisikiliza kelele za wananchi na kufanya maamuzi kwa shinikizo la wananchi wewe utakuwa sio kiongozi.

Kiongozi anatakiwa kuwa na maono na msimamo wa kusimamia maono yake hata kama hayawapendezi wananchi.
Sasa anawatumikia watu gani? Wakati alichanguliwa na wananchi ili awe mtumishi wao. Nyie ndo wale wanachaguliwa kuwatumikia wananchi alafu mnabadilika kuwatumikia Familia yako.
 
Sasa anawatumikia watu gani? Wakati alichanguliwa na wananchi ili awe mtumishi wao. Nyie ndo wale wanachaguliwa kuwatumikia wananchi alafu mnabadilika kuwatumikia Familia yako.
Kuwa kiongozi maana yake wewe ndiwe unayeongoza njia. Ikiwa walioko nyuma yako watakupigia kelele ubadili njia kila unapochagua njia ya kupita na wewe unawasikiliza basi hufai kuwa kiongozi.
 
Halafu kuna watu wanaibeza Tanzania yetu kuwa eti watu hawaandamani.

Sasa hao mabwege wa nchi jirani wameamdamana na finance bill imepita. Daaadaaadeki
Sasa wewe hapo umefurahishwa na nini?...watu wanapigania haki yao kutokana na hali ngumu ya maisha wewe unawaona mabwege?..... Acha dharau😀😀
 
Muswada unakua Sheria automatically baada ya siku 14 hata usiposainiwa
 
Ukiwa kiongozi wa nchi na ukisikiliza kelele za wananchi na kufanya maamuzi kwa shinikizo la wananchi wewe utakuwa sio kiongozi.

Kiongozi anatakiwa kuwa na maono na msimamo wa kusimamia maono yake hata kama hayawapendezi wananchi.
Mungu huwa ana mpa kiongozi maono yanayo wapendeza wananchi anaowaongoza .

Kama wananchi hawapendezwi na maono ya kiongozi wao , inatakiwa huyo kiongozi ajitafakari , ajirekebishe na akishindwa kujirekebisha basi ajiuzulu .
 
Mungu huwa ana mpa kiongozi maono yanayo wapendeza wananchi anaowaongoza .

Kama wananchi hawapendezwi na maono ya kiongozi wao , inatakiwa huyo kiongozi ajitafakari , ajirekebishe na akishindwa kujirekebisha basi ajiuzulu .
Wananchi walimpa mamlaka Ruto, Sasa wameenda kuchukua wampe Mkenya mwingine
 
Back
Top Bottom