Pamoja na makubaliano ya awali, ngoma bado nzito! Madereva wa Tanzania wamegoma kupeleka mizigo Rwanda

Pamoja na makubaliano ya awali, ngoma bado nzito! Madereva wa Tanzania wamegoma kupeleka mizigo Rwanda

Hata Sina kinyongo

Senior Member
Joined
May 16, 2020
Posts
118
Reaction score
280
Hali ya ubabe inaendelea mpaka wa Rwanda na Tanzania huku madereva wa Tanzania wakigomea kuingia Rwanda kwa sababu ya kunyanyapaliwa.

Pamoja na jitihada za kuwabembeleza zinazofanywa na maafisa wa Rwanda kwa kuwaahidi hali itakuwa tofauti na awali lakini bado madereva wamesimamia kile wanachokitaka,hawataki escort wakiwa huko Rwanda.

Kwa ujumla hali hasa kwa upande wa Rwanda inaelezwa kuwa ni mbaya kwa baadhi ya mahitaji km chakula vimeanza kuadimika katika maeneo mbalimbali.

Ni matumaini yetu pande zote mbili zitaelewana na kufikia muafaka kwa maslahi ya pande zote mbili.
 
ILA SISI WAAFRICA NIMEGUNDUA NI WATU TUSIOJIELEWA KISA TUU MIPAKA ILIYOCHORWA NA MZUNGU TUNASHIDWA KUELEWANA WAKATI KABLA YA MZUNGU KUCHORA MIPAKA TULIKUWA TUNAINGILIANA NA KUTEMBELEANA

ONA SASA KINACHOENDELEA KATI YA TIZIII NA RWANDIZZZZ
 
Ila Madereva wetu nao wanatakiwa wafikirie mbali maana Rwanda wakimaliza kujenda Dry port yao Kenya wanaweza kulazimisha mizigo yote kupitia bandari ya MSA

Halafu mizigo ikipungua Transpoters wanaanza kuwapunguza kazini
 
Hali ya ubabe inaendelea mpaka wa Rwanda na Tanzania huku madereva wa Tanzania wakigomea kuingia Rwanda kwa sababu ya kunyanyapaliwa.


Pamoja na jitihada za kuwabembeleza zinazofanywa na maafisa wa Rwanda kwa kuwaahidi hali itakuwa tofauti na awali lakini bado madereva wamesimamia kile wanachokitaka,hawataki escort wakiwa huko Rwanda.


Kwa ujumla hali hasa kwa upande wa Rwanda inaelezwa kuwa ni mbaya kwa baadhi ya mahitaji km chakula vimeanza kuadimika katika maeneo mbalimbali.


Ni matumaini yetu pande zote mbili zitaelewana na kufikia muafaka kwa maslahi ya pande zote mbili.
Hii jumuiya ya Afrika mashariki kuna wakati huwa siielewi kabisa!
 
Hali ya ubabe inaendelea mpaka wa Rwanda na Tanzania huku madereva wa Tanzania wakigomea kuingia Rwanda kwa sababu ya kunyanyapaliwa.


Pamoja na jitihada za kuwabembeleza zinazofanywa na maafisa wa Rwanda kwa kuwaahidi hali itakuwa tofauti na awali lakini bado madereva wamesimamia kile wanachokitaka,hawataki escort wakiwa huko Rwanda.


Kwa ujumla hali hasa kwa upande wa Rwanda inaelezwa kuwa ni mbaya kwa baadhi ya mahitaji km chakula vimeanza kuadimika katika maeneo mbalimbali.


Ni matumaini yetu pande zote mbili zitaelewana na kufikia muafaka kwa maslahi ya pande zote mbili.
Wamegoma kuingia Rwanda walifuata nini sasa Mpakani ?
Si wasinge attemp hata kwenda Mpakani
Kama demu aliyeingia Gheto halafu anagoma kuchojoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali ya ubabe inaendelea mpaka wa Rwanda na Tanzania huku madereva wa Tanzania wakigomea kuingia Rwanda kwa sababu ya kunyanyapaliwa.


Pamoja na jitihada za kuwabembeleza zinazofanywa na maafisa wa Rwanda kwa kuwaahidi hali itakuwa tofauti na awali lakini bado madereva wamesimamia kile wanachokitaka,hawataki escort wakiwa huko Rwanda.


Kwa ujumla hali hasa kwa upande wa Rwanda inaelezwa kuwa ni mbaya kwa baadhi ya mahitaji km chakula vimeanza kuadimika katika maeneo mbalimbali.


Ni matumaini yetu pande zote mbili zitaelewana na kufikia muafaka kwa maslahi ya pande zote mbili.
Ila tunawanyanyasa nchi Jirani zetu pamoja na raia wetu. Mazao yatatuozea nchi kuwa Jirani ina maana zinasaidiana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo swala ni la mkuu wa mkoa wa Kibungo
Alichemka!

Pamoja naye alikuwepo mtu wao wa forodha,Rpc wa Mkoa wa mashariki (Kibungo) na maafisa wengi.


Mda huu wanaendelea kupaboresha hapa Kiyanzi karibu na boarder ili iwe dry Port.
 
Kagame ataua raia wake kwa kuwaiga Mabeberu

Eti lockdown
Mabeberu ndio wanaosaidia baneti ya serikali kwa zaidi ya 45%.

Mabeberu kupitia global fund ndio wanafadhili ARV unazotumia, dawa mseto za malaria, ukoma, kipindipindu.
Global Fund to grant Tanzania 600 mln USD for fighting malaria, TB and AIDS - Xinhua | English.news.cn

Mabeberu wanajenga barabara. Mabeberu ndio wanajenga Dar metropolitan city bapo wanatandaza lami mitaa yote ya Dar.
Dar es Salaam Metropolitan Development Project

Mabeberu ndio wanafadhili mafunzo ya wataalam muhimbili.
 
Alichemka!

Pamoja naye alikuwepo mtu wao wa forodha,Rpc wa Mkoa wa mashariki (Kibungo) na maafisa wengi.


Mda huu wanaendelea kupaboresha hapa Kiyanzi karibu na boarder ili iwe dry Port.
Sasa kama wanajenga dry port hapo Kiyanzi Wasafirishaji watu watakuwa wanaishia hapo labda kwa wale wa mizigo ya Bukavu na Goma

Hapo ndipo Maajenti wetu watashusha bei sana kwani hapo Kiyanzi ni sawa na Boda tu
 
Hali ya ubabe inaendelea mpaka wa Rwanda na Tanzania huku madereva wa Tanzania wakigomea kuingia Rwanda kwa sababu ya kunyanyapaliwa.


Pamoja na jitihada za kuwabembeleza zinazofanywa na maafisa wa Rwanda kwa kuwaahidi hali itakuwa tofauti na awali lakini bado madereva wamesimamia kile wanachokitaka,hawataki escort wakiwa huko Rwanda.


Kwa ujumla hali hasa kwa upande wa Rwanda inaelezwa kuwa ni mbaya kwa baadhi ya mahitaji km chakula vimeanza kuadimika katika maeneo mbalimbali.


Ni matumaini yetu pande zote mbili zitaelewana na kufikia muafaka kwa maslahi ya pande zote mbili.
Walikua wanapima kina cha maji ,wameona kirefu ,na bado mpaka waite mma!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom