Wangapi wamekufa, shusha data, usisahau source ya dataHapa afrika mashariki TZ ni kama china ukishindana nayo unakufa njaa acha wajifunze in a hard way
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangapi wamekufa, shusha data, usisahau source ya dataHapa afrika mashariki TZ ni kama china ukishindana nayo unakufa njaa acha wajifunze in a hard way
comrade wewe ni dereva wa magari ya mizigo?
Weka data, mambo ya asilimia kubwa bila namba ni ya Kinjekitile era.Asilimia kubwa ya wafanyabiashara wao hawataki kuitumia hiyo njia ndg.
Kama hawatoi bure hizo hela mnapokea za nini halafu mnakuja kulalamika huku eti mabeberu wanawashika shika makalio wakati mkiwa private mnawaruhusu hadi wanaingiza vidole.Wewe ukiitwa mjinga utakataa ?
Kuna kitu Mabeberu yanatoa bure?
Nyie chadema sasa hivi tumeshawajua vizuri .Migomo ya madereva wa Tanzania upanfe Wa Kenya,Zambia ,Rwanda kote CCM tu ndio tumesimama na madereva kutetea madai ya madereva wetu nyie wala !!! kazi yenu kubweka tu kama mibwege ohhh Rwanda wako sahihi ,ohhh kenya wako sahihi ,ohhh Zambia wako sahihi ohhh Uganda sahihi ujinga mtupu lichama hata halijui wajibu wake kuwa wajibu namba Moja ni kwa wapiga kura watanzania hata kama ulipata kura mbiliRwanda kama sasa wanataka kurudi Mombasa hakuna wa kuwazuia
Kama hawatoi bure hizo hela mnapokea za nini halafu mnakuja kulalamika huku eti mabeberu wanawashika shika makalio wakati mkiwa private mnawaruhusu hadi wanaingiza vidole.
Sawa wako upande wa Tanzania, sasa si warudishe mizigo walikoitoa? Wanang'ang'ania nini hapo mpakani kama hawasubiri kutongozwa?
Siongelei wanyama naongelea watuNinyi mteteeni Selemani Nchambi mwenye maslahi ya kumaliza wanyamapori wetu
Trust me hakuna Dereva anaipenda ccm madereva ndio wako msitari wa mbele kwenye kukumbana na rushwa ya serikali ya ccm kama Matrfiki na maafsa wa ummaNyie chadema sasa hivi tumeshawajua vizuri .Migomo ya madereva wa Tanzania upanfe Wa Kenya,Zambia ,Rwanda kote CCM tu ndio tumesimama na madereva kutetea madai ya madereva wetu nyie wala !!! kazi yenu kubweka tu kama mibwege ohhh Rwanda wako sahihi ,ohhh kenya wako sahihi ,ohhh Zambia wako sahihi ohhh Uganda sahihi ujinga mtupu lichama hata halijui wajibu wake kuwa wajibu namba Moja ni kwa wapiga kura watanzania hata kama ulipata kura mbili
Uko sahihi mfano mdogo Lake oil ana mamia ya magari yenye namba za usajili Wa Rwanda na ana mamia yenye usajil Wa namba za TanzaniaAmbacho hukijui,wafanyabiashara wengi wa maroli wa Rwanda wanachangia na wa Tanzania na magari mengi ya kinyarwanda yana usajili wa Tanzania.Na ndivyo pia kwa gari za kitanzania.
Sasa kama Rwanda kuzuri mbona madereva wanakugomea kuwa kubayaDereva akiwa Rwanda hatoi rushwa hata senti moja ila akiwa Tanzania Matrafiki kazi yao ni kubakia watu overspeeding kwa kujificha juu ya miti
Unyanyasaji waliokuwa wakikumbana nao wasoma meters kule Soweto ulileta ubunifu wa meter za LUKU.Madereva wetu wametaabika vya kutosha
Hata mie nashangaa maana kule kwao nako kuna masikini na hadi ombaomba wapo ila et wao wanakuja kutoa misaada ya kujenga barabara afrika et bure kabisa!Wewe ukiitwa mjinga utakataa ?
Kuna kitu Mabeberu yanatoa bure?
Hii ni sintofahamu kwa sababu ya korona na ni ya muda mfupi tuSasa kama Rwanda kuzuri mbona madereva wanakugomea kuwa kubaya
Kawaida ungetarajia wangegoma Tanzania kuwa hawaendeshi sababu rushwa Kali!!! Mbona wanaigomea Rwanda unayoisifia kuwa nzuri hawana neno na unakokuita kubaya Tanzania sana maneno na kwako unapopaita pazuri Rwanda!!!!! Hushangai?
Spot on mkuu tatizo la mataga wa ccm huwa hawaangalii mambo kwa angle tofautiThey may win this battle but surelly drivers will lose this war.
CCM tuko na madereva wetu chadema kaeni mbali they will never loose this war we are united together with our drivers Nyie mibwege ya chadema endeleeni ni mi lock down koko yenuThey may win this battle but surelly drivers will lose this war.
Watanzania hawataki kabisa kuwa challenged ndio maana ni moja ya LDC.
Ila Madereva wetu nao wanatakiwa wafikirie mbali maana Rwanda wakimaliza kujenda Dry port yao Kenya wanaweza kulazimisha mizigo yote kupitia bandari ya MSA
Halafu mizigo ikipungua Transpoters wanaanza kuwapunguza kazini