Pamoja na makubaliano ya awali, ngoma bado nzito! Madereva wa Tanzania wamegoma kupeleka mizigo Rwanda

Pamoja na makubaliano ya awali, ngoma bado nzito! Madereva wa Tanzania wamegoma kupeleka mizigo Rwanda

Mie Sina ubaya na wao kuweka tight measure kuhusiana na corona , infact wanafanya hivyo kwa maslahi yao zaidi , Ila wakati huo huo sisi tuna fursa Kama taifa ya kuigeuza hii changamoto itufae , mizigo ishushwe tu boda ili waendelee kupata supply whilst na sisi hatupotezi

Sent
 
Road toll je?, Mana hapo ndio kunadetermine unafuu wa safari, huzioni gari za Kenya kwenda songea tena. Sababu road toll kwenda na kurudi namanga Ni karibu dola 700 ,

Sent
Gari za Kenya zinalipa road toll ndani ya kenya?
 
Mkuu nature Ndio inaamua kwasaasa, Mabeberu yanatengeneza tatizo ili yaje yatatue kwa faida kubwa
Hii ni Kwasababu wenzetu wametudidimiza miaka mingi hawataki tupige hatua

Wanajua mtu mweusi akijitambua Ndio itakuwa anguko lao
Ndo maana nimekuuliza kama ni mkopo huwa tunalipa ? Kama serikali inaingia gharama, ni zipi hizo ambazo ni kubwa kuliko misaada tunayopewa? Na kwa, nini kama tunaishia kulipa zaidi, tunakubali misaada hiyo?
 
ILA SISI WAAFRICA NIMEGUNDUA NI WATU TUSIOJIELEWA KISA TUU MIPAKA ILIYOCHORWA NA MZUNGU TUNASHIDWA KUELEWANA WAKATI KABLA YA MZUNGU KUCHORA MIPAKA TULIKUWA TUNAINGILIANA NA KUTEMBELEANA

ONA SASA KINACHOENDELEA KATI YA TIZIII NA RWANDIZZZZ
....kuingiliana!!!no mi sijawahi kuingiliana na mtu aiss

"corona ipo tuchukue tahadhari"
 
Ila Madereva wetu nao wanatakiwa wafikirie mbali maana Rwanda wakimaliza kujenda Dry port yao Kenya wanaweza kulazimisha mizigo yote kupitia bandari ya MSA

Halafu mizigo ikipungua Transpoters wanaanza kuwapunguza kazini
Transporters watahamishia ofisi mombasa

"corona ipo tuchukue tahadhari"
 
Hii nchi imekaa sehemu nzuri sana.
Tanzania kama maji usipoyaoga utayanywa.
Ila Madereva wetu nao wanatakiwa wafikirie mbali maana Rwanda wakimaliza kujenda Dry port yao Kenya wanaweza kulazimisha mizigo yote kupitia bandari ya MSA

Halafu mizigo ikipungua Transpoters wanaanza kuwapunguza kazini
Screenshot_20200518-091632.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gari za Kenya zinalipa road toll ndani ya kenya?
Road toll huwezi kulipa Kama upo nchini mwako , road toll hulipwa kwa gari ngeni tu, Cha ajabu nchi zote Africa kipimo Cha road toll ni umbali utakao tembea , Rwanda pekee ana flat rate kutembea kwetu
Kwa gari ya Kenya kutoka namanga kuja dar na kurudi Ni wastani wa dola 250, na hizo Ni km 700 kuja 700 kurudi


Sent
 
Mkuu nature Ndio inaamua kwasaasa, Mabeberu yanatengeneza tatizo ili yaje yatatue kwa faida kubwa
Hii ni Kwasababu wenzetu wametudidimiza miaka mingi hawataki tupige hatua

Wanajua mtu mweusi akijitambua Ndio itakuwa anguko lao
Samahani lakini hujajibu swali
 
Mimi nilikuwa dereva na nimefanya kazi Kenya kuna magari ni hatari na hivi wanaona Kagame anafungua dry port watu wanaenda benki halafu wanashusha mamia ya magari ya mizigo
Acha kropoka propaganda kila kona humo weee tu?? Punguza ujuaji na vitu vya msingi wanavyojadiri wanaume.

Sent using ubishi.com
 
Ila Madereva wetu nao wanatakiwa wafikirie mbali maana Rwanda wakimaliza kujenda Dry port yao Kenya wanaweza kulazimisha mizigo yote kupitia bandari ya MSA

Halafu mizigo ikipungua Transpoters wanaanza kuwapunguza kazini
Sawa, ila vipi bidhaa za vyakula au wataagiza navyo?
 
Kama dry port imesogezwa karibu na malaba hata kwa gari za rwanda gharama zinapungua sana kwa maana Treni inatoa mizigo msa hadi hapo kwenye dryport
Treni kutoa mzigo Mombasa kuja naivasha sio free ride mkuu, Kuna costs , na zinaenda kwa mwenye mzigo, plus delays road toll kutoka dry port Hadi malaba haitapungua dola 100 Mana pana wastani wa km 350, kutakuwa na road toll nyingine kutoka malaba Hadi boader ya Rwanda .
Route hii Kwanza itawagaharimu muda , kitu kingine Mombasa port sio port rahisi in terms ya goods clearance .kulinganisha na dar port

Sent
 
Road toll huwezi kulipa Kama upo nchini mwako , road toll hulipwa kwa gari ngeni tu, Cha ajabu nchi zote Africa kipimo Cha road toll ni umbali utakao tembea , Rwanda pekee ana flat rate kutembea kwetu
Kwa gari ya Kenya kutoka namanga kuja dar na kurudi Ni wastani wa dola 250, na hizo Ni km 700 kuja 700 kurudi


Sent
Nimekuuliza hivyo huku nikiwa najua kuna local road toll na toll for foreign vehicles

Dry port ya kagame huko Kenya ni lazima keshaongea na uhuru na wakenya wanajua hilo litawaogezea kipato na pia ajira za madereva wao zitaongezeka
Na hio ni wake up call kwa Tanzania
 
Treni kutoa mzigo Mombasa kuja naivasha sio free ride mkuu, Kuna costs , na zinaenda kwa mwenye mzigo, plus delays road toll kutoka dry port Hadi malaba haitapungua dola 100 Mana pana wastani wa km 350, kutakuwa na road toll nyingine kutoka malaba Hadi boader ya Rwanda .
Route hii Kwanza itawagaharimu muda , kitu kingine Mombasa port sio port rahisi in terms ya goods clearance .kulinganisha na dar port

Sent
Kwa hiyo unafikiri Kagame ni mjinga?
 
Nimekuuliza hivyo huku nikiwa najua kuna local road toll na toll for foreign vehicles

Dry port ya kagame huko Kenya ni lazima keshaongea na uhuru na wakenya wanajua hilo litawaogezea kipato na pia ajira za madereva wao zitaongezeka
Na hio ni wake up call kwa Tanzania
Hakuna compromise kweye road toll mkuu, popote duniani. Kwanza road toll inakusanywa na mamlaka tofauti kabisa , kwa Kenya Ni kenha kwetu Ni Tanroad ,
Sidhani Kama kagame amejenga dry port yake huko naivasha , hilo linaweza kuleta mgogoro wa kimaslahi Kama Taifa ,
So far najua atatumia naivasha dry port

Sent
 
Back
Top Bottom