XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,345
- 7,076
Habari wakuu
Kwanza niwape pole wanasimba wenzangu kwa kilicho tokea jana, itoshe tu kusema kwamba Raja wametuzidi mno, ni maji marefu sana kwetu hivyo kukaa na kuhuzunika haitosaidia wala kubadilisha msimamo wa kundi.
Pili niwape hope wana simba wenzangu kuwa chance ya sisi kutoboa makundi bado ni kubwa mno, tumebakiwa na mechi nne za makundi mkononi ambazo kimahesabu zinatosha sana kutupeleka robo fainali.
Kwanza kabisa tuna mechi mbili dhidi ya vipers yaani home & away pia mechi za marudiano dhidi ya Raja na Horoya. Jana hatukucheza vibaya bali quality kubwa ya Raja ili tuhukumu kama nilivyosema hapo awali, lakini kiwango kile kile tukihamisha dhidi ya vipers na Horoya simuoni yeyote anaye chomoka.
Kwanza mpaka sasa tufahamu kuwa raja ameshajitenga tuliobaki tunagombea nafasi ya pili, ambapo mpinzani wetu mkubwa ni Horoya kutokana na msimamo wa kundi ulivyo, Horoya mpaka sasa ana point nne na mechi nne mkononi ambapo atakutana na raja home and away pia marudiano na vipers na Simba.
Kwa namna yeyote ile Horoya hana quality ya kumfunga Raja labda akijitahidi sana anachukua sare nyumbani ila ni obvious kwamba atampiga vipers ambapo pia sio rahisi kutokana na uchezaji wao. Hivyo kama atamfunga vipers kwa alama zao nne ambazo tayari wamezivuna atafikisha alama Saba na endapo atapata angalau sare basi atafikisha alama 8, hawezi kuvuka hapo, ila binafsi namtazamia kwenye alama 7 sababu raja hawana utani.
Turudi sasa kwa mnyama simba, binafsi nitakuwa wa mwisho kuamini kama Horoya ataondoka na point kwa mkapa, hivyo ni obvious tutampiga, kama Horoya ameweza kupata sare pale st Mary's kitende dhidi ya vipers basi tunao uwezo wa kumpiga vipers pale pale kwao japo sio rahisi ila inawezekana, na akija kwa mkapa apasuke pia, mpaka hapo tutakuwa na alama 9 ambazo Horoya kwa moto ule wa raja hata aroge hawezi kufikisha.
Alafu mechi iliyobaki ya marudiano dhidi ya Raja Casablanca, tukafe nao huko huko watupige hata kumi, ila tutakuwa tumefuzu kwenda robo fainali Nyuma yao, hivyo wanasimba nafasi bado ipo tusikate tamaa, nguvu kubwa tuielekeze kwa vipers na Horoya..
Nguvu moja [emoji881]
Kwanza niwape pole wanasimba wenzangu kwa kilicho tokea jana, itoshe tu kusema kwamba Raja wametuzidi mno, ni maji marefu sana kwetu hivyo kukaa na kuhuzunika haitosaidia wala kubadilisha msimamo wa kundi.
Pili niwape hope wana simba wenzangu kuwa chance ya sisi kutoboa makundi bado ni kubwa mno, tumebakiwa na mechi nne za makundi mkononi ambazo kimahesabu zinatosha sana kutupeleka robo fainali.
Kwanza kabisa tuna mechi mbili dhidi ya vipers yaani home & away pia mechi za marudiano dhidi ya Raja na Horoya. Jana hatukucheza vibaya bali quality kubwa ya Raja ili tuhukumu kama nilivyosema hapo awali, lakini kiwango kile kile tukihamisha dhidi ya vipers na Horoya simuoni yeyote anaye chomoka.
Kwanza mpaka sasa tufahamu kuwa raja ameshajitenga tuliobaki tunagombea nafasi ya pili, ambapo mpinzani wetu mkubwa ni Horoya kutokana na msimamo wa kundi ulivyo, Horoya mpaka sasa ana point nne na mechi nne mkononi ambapo atakutana na raja home and away pia marudiano na vipers na Simba.
Kwa namna yeyote ile Horoya hana quality ya kumfunga Raja labda akijitahidi sana anachukua sare nyumbani ila ni obvious kwamba atampiga vipers ambapo pia sio rahisi kutokana na uchezaji wao. Hivyo kama atamfunga vipers kwa alama zao nne ambazo tayari wamezivuna atafikisha alama Saba na endapo atapata angalau sare basi atafikisha alama 8, hawezi kuvuka hapo, ila binafsi namtazamia kwenye alama 7 sababu raja hawana utani.
Turudi sasa kwa mnyama simba, binafsi nitakuwa wa mwisho kuamini kama Horoya ataondoka na point kwa mkapa, hivyo ni obvious tutampiga, kama Horoya ameweza kupata sare pale st Mary's kitende dhidi ya vipers basi tunao uwezo wa kumpiga vipers pale pale kwao japo sio rahisi ila inawezekana, na akija kwa mkapa apasuke pia, mpaka hapo tutakuwa na alama 9 ambazo Horoya kwa moto ule wa raja hata aroge hawezi kufikisha.
Alafu mechi iliyobaki ya marudiano dhidi ya Raja Casablanca, tukafe nao huko huko watupige hata kumi, ila tutakuwa tumefuzu kwenda robo fainali Nyuma yao, hivyo wanasimba nafasi bado ipo tusikate tamaa, nguvu kubwa tuielekeze kwa vipers na Horoya..
Nguvu moja [emoji881]