Pamoja na mengine; TFF itunge sheria ya utoaji zawadi kwa wachezaji wa stars; Lengo la zawadi yoyote ipitie kwanza uongozi wa timu husika

Pamoja na mengine; TFF itunge sheria ya utoaji zawadi kwa wachezaji wa stars; Lengo la zawadi yoyote ipitie kwanza uongozi wa timu husika

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Kuna baadhi ya wanasiasa ama kwa kujua au kwa kutaka kwao sifa kauli zao zimekuwa zinaigawa taifa stars na wananchi kwa ujumla.

Ni wakati sasa TFF iweke kanuni kuzuia wanasiasa kutoa zawadi au kauli pasipo kibali cha uongozi wa timu husika!

Lengo kuu ni kondoa kauli na zawadi zenye mkanganyiko pia kuondoa wanasiasa wanaotoa ahadi hewa kwa wachezaji
 
Kuna baadhi ya wanasiasa ama kwa kujua au kwa kutaka kwao sifa kauli zao zimeuwa zinaigawa taifa stars na wananchi kwa ujumla.

Ni wakati sasa TFF iweke kanuni kuzuia wanasiasa kutoa zawadi au kauli pasipo kibali cha uongozi wa timu husika!

Lengo kuu ni kondoa kauli na zawadi zenye mkanganyiko pia kuondoa wanasiasa wanaotoa ahadi hewa kwa wachezaji
Soma tena hichi ulichoandika alafu ukikielewa utusaidie na sisi tuelewe
 
Zawadi za aina hiyo hata zamani zilikuwepo! Tofauti na sasa ni moja tu, wafadhili wa zamani walikuwa wakizitoa pasipo na kiki ya aina yoyote ile. Walimkabidhi mhusika kimya kimya na pasipo kuonekana/kutangazwa sanaaa! kwenye vyombo vya habari.
 
Zawadi za aina hiyo hata zamani zilikuwepo! Tofauti na sasa ni moja tu, wafadhili wa zamani walikuwa wakizitoa pasipo na kiki ya aina yoyote ile. Walimkabidhi mhusika kimya kimya na pasipo kuonekana/kutangazwa sanaaa! kwenye vyombo vya habari.
Hata zamani kulikuwa hakuna sheria ya makosa ya kimtandao "cyber"
Kwahiyo Tubadilike kuringana na teknolojia, Kauli zinavunja au kuhamasisha! zitolewe kwa utaratibu mzuri
 
Kuna baadhi ya wanasiasa ama kwa kujua au kwa kutaka kwao sifa kauli zao zimekuwa zinaigawa taifa stars na wananchi kwa ujumla.

Ni wakati sasa TFF iweke kanuni kuzuia wanasiasa kutoa zawadi au kauli pasipo kibali cha uongozi wa timu husika!

Lengo kuu ni kondoa kauli na zawadi zenye mkanganyiko pia kuondoa wanasiasa wanaotoa ahadi hewa kwa wachezaji
ha haaaaaaaa...
 
Hivi Msuva na Samatta wamepewa kiasi gani kwa kufunga magoli yetu mawili! ..najua kuna na mabeki waliozuia jamaa wasitupige gili nyingi, nao wameambulia nini!
 
Hivi Msuva na Samatta wamepewa kiasi gani kwa kufunga magoli yetu mawili! ..najua kuna na mabeki waliozuia jamaa wasitupige gili nyingi, nao wameambulia nini!
wanaonekana hawajafanya kazi
 
naunga mkono hoja kuna watu wameanza kushabikia mpira ukubwani ndio maana wanavunja hadi sheria za michezo wanatoka jukwaani na kwenda kukaa kwenye benchi la wachezaji
 
Watanzania tupunguze kulalamika sometimes inaboa wewe mtoa Mada umetoa shilingi ngapi kwa kila mchezaji, yeye kutoa pesa yake mfukoni wewe ndo unampangia matumizi du!
 
Watanzania tupunguze kulalamika sometimes inaboa wewe mtoa Mada umetoa shilingi ngapi kwa kila mchezaji, yeye kutoa pesa yake mfukoni wewe ndo unampangia matumizi du!
Unajuaje kama ile ni hela yake ya mfukoni
 
Watanzania tupunguze kulalamika sometimes inaboa wewe mtoa Mada umetoa shilingi ngapi kwa kila mchezaji, yeye kutoa pesa yake mfukoni wewe ndo unampangia matumizi du!
Amelalamika au ametoa tahadhari, wale wachezaji ni binadamu wanaweza wakashuka morali kuona ka wao hawajafanya chochote isipokua huyo mmoja
 
Amelalamika au ametoa tahadhari, wale wachezaji ni binadamu wanaweza wakashuka morali kuona ka wao hawajafanya chochote isipokua huyo mmoja
Kwa sababu na wewe umeliona hilo chukua million 10 nenda kawagawie 600k kila mmoja ili wasife moyo, jitoe kwa hili
 
Back
Top Bottom