Pamoja na mziki wao kuwa tofauti je kati ya Michael Jackson na Bob Marley nani alikubalika zaidi ulimwenguni

Halafu alikufa mapema sana pengine angezidi kuvuma.
 
ni kosa la jinai kumlinganisha BOB MARLEY NA MWANAMZIKI YOYOTE YULE tangu dunia iumbwe hatakuja kutokea mtu maarufu kama huyo BOB hata uende wapi kila mtu anamjua ila michael jackson hapana kwanza amejulikana saana alipokufa hebu fikiria BOB amefariki mwaka 1981 akiwa na miaka 36 tuu yaani miaka 38 iliyopita angalia legacy alioacha mana ni kosa la jinai kabisa kumlinganisha bob na michael jackson

NOTE:
NI KOSA LA JINAI KUMLINGANISHA BOB MARLEY NA MWANAMZIKI YOYOTE YULE NA HUKUMU YAKE NI KUNYONGWA HADI KUFA PLEASE PUT SOME RESPECT ON HIS NAME
 

Una matatizo ya akili...

unasema Michael Jackson amejulikana alipokufa au wewe ndio umemjua alipokufa?


Unamfahamu mwanamuziki bora wa karne (20) ... karne ambayo Bob alikuwepo na sio Bob mpaka the beatles, elvis presley na wengineo..

kama humjui mwnamuziki bora wa karne ni Michael Joseph Jackson
 
okay nina matatizo ya akili
 
Michael alimuoa mtoto wa presley ili apate mashairi ya nguli huyo!
Literally alikuwa ameishiwa.

Bob alikuwa na bado anazidiwa na Peter Tosh pekee!
"Legalize marijuana" dunia nzima inaitikia
Hahahahaah
 
Huwez kulinganisha miziki ya pop na reggae ni aina ya miziki tofauti mlinganishe reggae kwa reggae au pop kwa pop kisha ndo useme nan zaid
 
Bob ni maarufu sawa ila kusema Michael Jackson kawa maarufu saana alipokufa huenda humfahama MJ we jamaa, kuitwa mfalme wa Pop siyo jambo jepesi, Michael enzi zake show zake bob sidhani kama angefikia.
 
Nasema hiviiiii Michael Jackson ndiye mtu maarufu kuwahi kutokea ndani ya karne 21

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Michael alimuoa mtoto wa presley ili apate mashairi ya nguli huyo!
Literally alikuwa ameishiwa.

Bob alikuwa na bado anazidiwa na Peter Tosh pekee!
"Legalize marijuana" dunia nzima inaitikia
Hahahahaah
Wewe jamaa hebu mtake radhi MJ kidogo tafadhali .... hapa unamuongelea huyu mtu mwenye ushawishi kuliko watu wote wa karne 21 ujue ... umesema mj alimuoa mtoto wa Presley ili apate mashairi ya nguli huyo !?( Haha hiki ni kichekesho cha mwaka aise). Kwa hiyo nyimbo kama I'll be there .beat it " bellie Jean.rock with you na don't stop till u get it enough ...zote aliandikiwa na Presley ... kama jibu ni hapana ..mbona kwakupitia vibao hivyo tayari Michael alishakuwa famous wa kutisha Sana

Hebu chukua hii faida kidogo

Hebu tazama hiyo clip halafu useme wingi wa watu wa idadi hiyo umeshauona kwa msanii gani mwingine akiwa anafanya show zaidi ya Mj !!?View attachment VID-20190104-WA0015.mp4

Sent using Jamii Forums mobile app
 
If one asks you, who is MJ?

The responses would be Michael Jackson and Michael Jordan.

But when one asks you who is Bob, you only have one response.
Uwongo ... kati ya hao wawili .. Michael Jackson ndiye anayefahamika sana kwa kutumia kifupi cha jina lake .. ambacho ni MJ

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Michael alimuoa mtoto wa presley ili apate mashairi ya nguli huyo!
Literally alikuwa ameishiwa.

Bob alikuwa na bado anazidiwa na Peter Tosh pekee!
"Legalize marijuana" dunia nzima inaitikia
Hahahahaah
Hahaha...

Hamna kitu unajua we jamaa..

MICHAEL JOSEPH JACKSON alishavunja rekodi za dunia kuanzia za elvis na the beatles akiwa hata hajaoa...

Hebu fikiria album iliyouza zaidi Dunani ya "Thriller" imetoka 1982 Michael akiwa na miaka 25 tuuu...

Sio elvis wala mshenzi yeyote ambaye anakaria Mauzo ya Thriller....


N.B

MICHAEL JACKSON huwa halinganishwi ma mtu mmoja mmoja...

ILI upate wa kumlinganisha ma Michael Jackson inabidi utafute kikundi cha watu kama "The Beatles" na bendi nyinginezo la sivyoo utakuwa unashindanisha uzito wa kisoda na tembo maana hawatamfikia katika kila kitu kimuziki kuanzia mauzo, umaruufu au kujaz shows.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Michael Analundika wehu wenzie, Peter Tosh ni world legislature! An economist, A doctor.
Kasikize "Holocaust nuclear war" utajaribu kunielewa.
 
Michael Analundika wehu wenzie, Peter Tosh ni world legislature! An economist, A doctor.
Kasikize "Holocaust nuclear war" utajaribu kunielewa.
hivyo ndivyo vigezo vya kuwa msanii bora ?
 
BOB MARLEY ana influence nchi za dunia ya tatu peke yake.., kutokana na background yake kukulia nchi maskini kama Jamaica..

Michael jackson ndiye msanii anayeongoza kwa kutoa msaada duniani, mpaka anafariki alikuwa ameshatoa zaidi bilioni 600 za kitanzania (Tanzania ikiwa mnufaika)kama msaada, na tangia amefariki mpaka sasa baadhi ya fedha zake zinaenda kwenye mifuko ya kijamii ikiwa jumla yale imefika zaidi ya trilioni moja za kibongo.

Huyo Bob Marley wenu amechangia shilingi ngapi kwenye charity maana mnatumia kigezo cha kuimba dhidi ya ukoloni sijui kupinga ubaguzi mnasahau kuna watu wanachangia mabilioni hadi matrilioni sisi tulio duniani ya tatu tupate dawa na chakula.

Ukiacha kutoa msaada tuu, Michael Jackson ana nyimbo nyingi sana zinazopinga ubaguzi, unyanyasaji pamoja na kutunza mazingira na zote ni worldwide hits zimepigwa kuanzia Us, germany, Japan,Australia, Bongo,Brazil, France na kwingineko sio za kusikilizwa dunia ya tatu peke yake(nyimbo za Bob)...... nyimbo kama earth song, they dont care about us, cry,heal the world, we are the world na nyinginezo zinamtofautisha k abisa na wasanii wengine wote.........
 
MJ ni habari nyingine kbs na wamarekani hawapati mwanamuziki kama MJ miaka itapita
 
Nyimbo za Bob Marley zimeingia katika orodha ya urithi wa kimataifa UNICEF wanalinda nyimbo zake.
Michael Jackson hakuna kitu
 
Legend wa reggae na legend wa Pop unawalinganisha vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…