Pamoja na mziki wao kuwa tofauti je kati ya Michael Jackson na Bob Marley nani alikubalika zaidi ulimwenguni

MJ ni bora lakini kwa Bob ana mengi ya kujifunza.

Bob alifariki mapema sana ..kama angekuwepo na MJ angekuwepo unadhani nani angekuwa God of music?

Jibu ni Bob Nesta Marley..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MJ ni bora lakini kwa Bob ana mengi ya kujifunza.

Bob alifariki mapema sana ..kama angekuwepo na MJ angekuwepo unadhani nani angekuwa God of music?

Jibu ni Bob Nesta Marley..

Sent using Jamii Forums mobile app
Michael Jackson alipofikisha miaka 36 sawa na aliyofika BOB wakati amefariki alikuwa ameshaweka rekodi ambazo mpaka leo hazijavunjwa na kiumbe chochote kile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Michael daaah nahisi nizaidi kidogo ya Bob
Kuna ushabiki na kuna uelewa.
Tukija kwenye ushabiki Bob anafahamika mpaka vijijini kabisa,tena nenda ndani ndani huko akatokea muuliza kijana au mzee WHO THE BOB,atakujibu na kwenye upande wa uwelewa,MICHAEL anafahamika kwa makundi hayo,lakini nina hakika ukienda hukohuko ulipofanya field ya Bob tarajia kupata watu wachache sana wanaomfahau JACKSON

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hivi kuna mamilioni ya Rastas Duniani influenced by Bob Marley, lakini wanaume wachache tu wanaojichubua kama Michael Jackson
 
Binafsi yangu bob ni zaidi, kwasababu aliimba mziki ambao ni ngumu kutoka ila akatoka, ingawa kina jim cliff walitangulia lakini unapozungumzia reggae unamzungumzia bob marley, aliuweka mziki wa reggae katika ramani ya muziki, isitoshe alitoka kwenye kakisiwa ambako kama angeimba mziki tofauti na raggse ingemuwia vigumu kutoka, wacko jacko nampa heshima yake hasa kwenye kudance na sauti, but legendary ni legendary tuu bob ni legendary kuliko michael
 

Ila usisahau kama wazungu walimuwekea bob vikwazo kwahyo usitegemee kama angeweza kuuza nakala nyingi duniani au kupata tuzo za gramy au za tecno wereva
 

Michael alikuwa anaimba pop na sio soul music
 


Stop this nonsense, kuna wanamuziki kibao wameuza copy nyingi kwa muda mfupi zaidi ya The Wailers, sasa kwa tafsiri unayokuja nayo ni kwamba Justin Bieber ni zaidi ya Bob Marley, au sio?
 
Kwa maudhui, revolutionary na heshima kwa hadhira hapo ni Bob Nesta Marley.

Kwa kuburudisha ni Wako Jacko hakuna ubishi.

Atakayepingana na hili lazima uje na data na hoja shawishi.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Umeongea kiume. Big Up

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa maudhui, revolutionary na heshima kwa hadhira hapo ni Bob Nesta Marley.

Kwa kuburudisha ni Wako Jacko hakuna ubishi.

Atakayepingana na hili lazima uje na data na hoja shawishi.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Umemaliza kila kitu mkuu nakuunga mkono kwa comment yako poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…