OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
MJ ni bora lakini kwa Bob ana mengi ya kujifunza.Una matatizo ya akili...
unasema Michael Jackson amejulikana alipokufa au wewe ndio umemjua alipokufa?
Unamfahamu mwanamuziki bora wa karne (20) ... karne ambayo Bob alikuwepo na sio Bob mpaka the beatles, elvis presley na wengineo..
kama humjui mwnamuziki bora wa karne ni Michael Joseph Jackson
Bob alifariki mapema sana ..kama angekuwepo na MJ angekuwepo unadhani nani angekuwa God of music?
Jibu ni Bob Nesta Marley..
Sent using Jamii Forums mobile app