Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,705
- 4,703
Leo Bunge limeahirishwa. Michango tumeiona kwa ubora tofauti. Hapa Ndani ya JF kuna watu wanashawishi watu fulani waende majimboni kuchukuwa nafasi za Ubunge.
Niliwaona Ukerewe wakiwaomba maprofesa, nawaona leo wana Karagwe wakimuita Profesa.
Ombi langu ni kwamba isiwe ni lazima kila jimbo liwe na mbunge. Yaonekana kuna wakati watu wa ubora wa chini sana wanachaguliwa kushika nafasi za ubunge kiasi cha kushindwa kuwasaidia wananchi. Ndani ya Bunge, inakuwa ni mchanganyiko wa viwango tofauti!
Inapoonekana jimbo halikupata mtu wa kiwango kinachokubalika, isiwe lazima kuweaka mtu yeyote. Nasema tena isiwe lazima kila jimbo kuwa na mbunge.
Niliwaona Ukerewe wakiwaomba maprofesa, nawaona leo wana Karagwe wakimuita Profesa.
Ombi langu ni kwamba isiwe ni lazima kila jimbo liwe na mbunge. Yaonekana kuna wakati watu wa ubora wa chini sana wanachaguliwa kushika nafasi za ubunge kiasi cha kushindwa kuwasaidia wananchi. Ndani ya Bunge, inakuwa ni mchanganyiko wa viwango tofauti!
Inapoonekana jimbo halikupata mtu wa kiwango kinachokubalika, isiwe lazima kuweaka mtu yeyote. Nasema tena isiwe lazima kila jimbo kuwa na mbunge.