Pre GE2025 Pamoja na UCCM wangu, CHADEMA wana hoja ya kitaifa waachwe waseme kupitia maandamano

Pre GE2025 Pamoja na UCCM wangu, CHADEMA wana hoja ya kitaifa waachwe waseme kupitia maandamano

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
Hizi ni hesabu za kijinga sana kuwazuia CHADEMA kuandamana. Kwanza watazuia nini? Ni nchi ipi duniani watu hawaandamani?

WanaCCM wenzangu tutambue kuwa kama Kuna jambo CHADEMA ya Mbowe imefanikiwa ni kukubalika katika jumuiya za Kimataifa. Tutakosea sana kuzuia maandamano yake tena kwa kutumia vyombo vya Ulinzi na Usalama. Image yake duniani itatuletea shida sana.

Tumuige Uhuru Kenyatta ambaye Rails Odinga alipohamasisha maandamano nchi nzima kuelekea Kasarani, alichofanya ni kuwapa Ulinzi. Hakuna hata mende mmoja aliyekufa ama kudhurika. Tukikubali siasa za demokrasia basi tukubali na gharama yake. Tuache kuwatisha mara ohho aandamane na familia yake. Mliona wapi? Tuache woga wa Bure .

Kwani kumsikiliza kunaathiri nini? USA, Israeli, Urusi, Ufaransa nk. Watu wanaanndamana na demokrasia yao yote. Iwe sembuze Bongo? Mimi nitaandamana kumuunga mkono.
 
CCM waoga sana. Waoga kama yule jirami yetu aliyeogopa mpinzani msichana mpaka akamfunga wakati ni Jenerali na msichana ni mfanya biashara tu wa kawaida.
 
Hizi ni hesabu za kijinga sana kuwazuia Chadema kuandamana. Kwanza watazuia nini? Ni nchi ipi duniani watu hawaandamani?

WanaCCM wenzangu tutambue kuwa kama Kuna jambo Chadema ya Mbowe imefanikiwa ni kukubalika katika jumuiya za Kimataifa. Tutakosea sana kuzuia maandamano yake tena kwa kutumia vyombo vya Ulinzi na Usalama. Image yake duniani itatuletea shida sana.

Tumuige Uhuru Kenyatta ambaye Rails Odinga alipohamasisha maandamano nchi nzima kuelekea Kasarani, alichofanya ni kuwapa Ulinzi. Hakuna hata mende mmoja aliyekufa ama kudhurika. Tukikubali siasa za demokrasia basi tukubali na gharama yake. Tuache kuwatisha mara ohho aandamane na familia yake. Mliona wapi? Tuache woga wa Bure .

Kwani kumsikiliza kunaathiri nini? USA, Israeli, Urusi, Ufaransa nk. Watu wanaanndamana na demokrasia yao yote. Iwe sembuze Bongo? Mimi nitaandamana kumuunga mkono.
Mkuu sema wewe. Tukisema sisi wanatuita Nyumbu.

Hofu ya ccm nina ijua.

Haina ushawishi kwa Wananchi. Wanahofu maandamano wanawe kukata kamba.

Ukweli ni Kuwa ukitoa Uhuru Chadema waandamane kwa amani unaweza ukashangaa hata wanajeshi na polisi nao wakaandamana nao.
 
Hizi ni hesabu za kijinga sana kuwazuia CHADEMA kuandamana. Kwanza watazuia nini? Ni nchi ipi duniani watu hawaandamani?

WanaCCM wenzangu tutambue kuwa kama Kuna jambo CHADEMA ya Mbowe imefanikiwa ni kukubalika katika jumuiya za Kimataifa. Tutakosea sana kuzuia maandamano yake tena kwa kutumia vyombo vya Ulinzi na Usalama. Image yake duniani itatuletea shida sana.

Tumuige Uhuru Kenyatta ambaye Rails Odinga alipohamasisha maandamano nchi nzima kuelekea Kasarani, alichofanya ni kuwapa Ulinzi. Hakuna hata mende mmoja aliyekufa ama kudhurika. Tukikubali siasa za demokrasia basi tukubali na gharama yake. Tuache kuwatisha mara ohho aandamane na familia yake. Mliona wapi? Tuache woga wa Bure .

Kwani kumsikiliza kunaathiri nini? USA, Israeli, Urusi, Ufaransa nk. Watu wanaanndamana na demokrasia yao yote. Iwe sembuze Bongo? Mimi nitaandamana kumuunga mkono.
Lengo lao la kuzuia ni kuficha maovu yao yasisemwe na umma ukasikia kwahiyo wana hofu kubwa juu ya hilo.
 
Back
Top Bottom