Pamoja na ufisadi wake wote, Chenge is one of the best brains kwenye Bunge full of ignorants

Pamoja na ufisadi wake wote, Chenge is one of the best brains kwenye Bunge full of ignorants

ignorance ni kutojua ukielimishwa na kuelimishika, ignorance inakutoka. stupid ni mjinga!, kumuelimisha ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa!.
Pasco

Kama hiyo ndo maan yako ya neno stupid basi ulimaanisha foolish. Foolish siyo stupid, ndo maana nikasema unacheza na lugha tu!
 
Kama anaweza kupendekeza ni adhabu gani apewe baaada ya kuchota mabilioni ya hela za ufisadi ni wazi tumelogwa...!

attachment.php
 
Pasco hpo umepotea,the guy is good for nothing, cz alifundishwa kutenda haki, na yeye anafanya the other way round. Hizo sio akili ni matope
 
Wanabodi,

Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali, kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda maneno makali kama haya, yatasaidia, to change for the better!.

We are ignorants, na wabunge wetu ni ignorants!.

Mnyonge Mnyongeni, haki yake mpeni, Mhe, Andrew Change, ni one of the best legal draftsmen we have kwenye Bunge letu, ila kufuati wengi wa wabunge wetu ni ignorants, wazo alilopendekeza jana, kuhusu drafting ya azimio la bunge, kumepelekea kikao muhimu sana cha bunge kuvunjika kwa ujinga tuu wa wabunge wetu!.

Naomba kukiri wazi, wazo la kuandika thread hii, limekuwa inspired na post ya Nguruvi3

Mkuu Nguruvi3,

Naomba kuanza kwa kudeclare my interest, Pasco wa jf ni ignorant, na anajijua ni ignorant, ndio maana ana comment ignorance kwenye public ya jf ili kila mtu ajue Pasco ni ignorant!.

Tanzania tuna ignorants, wengi, wengine wanajijua ni ignorants ila wanaamua kunyamaza bila kucoment ili hiyo ignorance yao, isijulikane, wengine ni ignorants ila hawajajijua kuwa ni ignorants, na kwa vile wako kimya, one can not tell na wenyewe hawajijui!, ila wengine ni iginorants, hawajijui kuwa ni ignorants, hivyo wanapofanya vitendo vya ignorance kama jana pale bungeni, wakitoka nje wanapongezana kwa ushujaa wa ignorance ile!, hawa wanahitaji kusaidiwa kujulishwa they are ignorants!, ili angalau sasa watumie brain zao to think kabla ya kusema na kutenda na sio kutumia feelings.

Watanzania tuna problem ya Ignorance!, ambayo hata wabunge wetu wetu ni ignorants tuu!, sasa huyu Chenge pamoja na ma ufisadi yake yote, ni mmoja wa watu sensible mule bungeni!, pendekezo lake la phrasing azimio lile was the best!. Chenge sio tuu ni mwanasheria wa Havard, bali kwenye sheria kuna maeneo mengi sana ya specialization inayohitaji kipaji fulani on top of being just a lawyer, moja ya enero gumu kabisa ni legal drafting!, ndio maana tulipota uhuru, sheria zetu zote tulicopy and paster "para materiale" (neno kwa neno) kutoka India, simpy because hatuna legal drafting people mule bungeni!, tukubali tukatae, Andrew Chenge is the best!, ametoa pendekezo ambalo ndio the best, lakini kwa vile bunge letu limejaa ma ignorants, ma ignorants hawa wakakataa pendekezo la Change, simply because Chenge ni fisadi, na pendekezo lake limeungwa mkono na Mwenyekiti wa PAC, Mhe. Zitto Kabwe!.

Kiukweli kilichofanywa jana na wale ma ignorants kule bungeni, ni display ya ignorance at the top level!, na kwa vile sisi Watanzania pia ni ignorants, tunashangilia ile ignorance!.

Naomba Chenge ahukumiwe kwa ugfisadi wake, which has nothing to do with uwezo wake wa the best legal drafting!.
Kila siku tunasisitiza humu, mnyonge, mnyongeni!, haki yake mpeni!.

Kuhusu Watanzania na Ignorance, nimeizungumzia hapa.

Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!.

Nasisitiza nimesema we are ignorants, sijasema we are stupid!.

Pasco
Wezi wana akili sana.Angalia pickpocket anavyokuchomolea,angalia mwizi anapokufanyia timimg akaingia ndani akaiba na kesho yake asubuhi unakuta mlango wazi.
Wezi wana akili sana na wangeitumia darasani ni maprofesa wakubwa!!!!
 
Wanabodi,

Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali, kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda maneno makali kama haya, yatasaidia, to change for the better!.

We are ignorants, na wabunge wetu ni ignorants!.

Mnyonge Mnyongeni, haki yake mpeni, Mhe, Andrew Change, ni one of the best legal draftsmen we have kwenye Bunge letu, ila kufuati wengi wa wabunge wetu ni ignorants, wazo alilopendekeza jana, kuhusu drafting ya azimio la bunge, kumepelekea kikao muhimu sana cha bunge kuvunjika kwa ujinga tuu wa wabunge wetu!.

Naomba kukiri wazi, wazo la kuandika thread hii, limekuwa inspired na post ya Nguruvi3

Mkuu Nguruvi3,

Naomba kuanza kwa kudeclare my interest, Pasco wa jf ni ignorant, na anajijua ni ignorant, ndio maana ana comment ignorance kwenye public ya jf ili kila mtu ajue Pasco ni ignorant!.

Tanzania tuna ignorants, wengi, wengine wanajijua ni ignorants ila wanaamua kunyamaza bila kucoment ili hiyo ignorance yao, isijulikane, wengine ni ignorants ila hawajajijua kuwa ni ignorants, na kwa vile wako kimya, one can not tell na wenyewe hawajijui!, ila wengine ni iginorants, hawajijui kuwa ni ignorants, hivyo wanapofanya vitendo vya ignorance kama jana pale bungeni, wakitoka nje wanapongezana kwa ushujaa wa ignorance ile!, hawa wanahitaji kusaidiwa kujulishwa they are ignorants!, ili angalau sasa watumie brain zao to think kabla ya kusema na kutenda na sio kutumia feelings.

Watanzania tuna problem ya Ignorance!, ambayo hata wabunge wetu wetu ni ignorants tuu!, sasa huyu Chenge pamoja na ma ufisadi yake yote, ni mmoja wa watu sensible mule bungeni!, pendekezo lake la phrasing azimio lile was the best!. Chenge sio tuu ni mwanasheria wa Havard, bali kwenye sheria kuna maeneo mengi sana ya specialization inayohitaji kipaji fulani on top of being just a lawyer, moja ya enero gumu kabisa ni legal drafting!, ndio maana tulipota uhuru, sheria zetu zote tulicopy and paster "para materiale" (neno kwa neno) kutoka India, simpy because hatuna legal drafting people mule bungeni!, tukubali tukatae, Andrew Chenge is the best!, ametoa pendekezo ambalo ndio the best, lakini kwa vile bunge letu limejaa ma ignorants, ma ignorants hawa wakakataa pendekezo la Change, simply because Chenge ni fisadi, na pendekezo lake limeungwa mkono na Mwenyekiti wa PAC, Mhe. Zitto Kabwe!.

Kiukweli kilichofanywa jana na wale ma ignorants kule bungeni, ni display ya ignorance at the top level!, na kwa vile sisi Watanzania pia ni ignorants, tunashangilia ile ignorance!.

Naomba Chenge ahukumiwe kwa ugfisadi wake, which has nothing to do with uwezo wake wa the best legal drafting!.
Kila siku tunasisitiza humu, mnyonge, mnyongeni!, haki yake mpeni!.

Kuhusu Watanzania na Ignorance, nimeizungumzia hapa.

Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!.

Nasisitiza nimesema we are ignorants, sijasema we are stupid!.

Pasco

Pendekezo la Chenge lilkataliwa na spika usitake kudanganya watu kila mtu aliona.
 
Mkuu Pasco
Katika uzi 'original' nilifafanua hivi
Mkuu Pasco
Kuwa na elimu ni jambo moja, kutumia elimuni jambo jingine
Hakuna anayehoji usomi wa Chenge.

Tunahojimoral authority ya Chenge


Pengine kwa kutumia elimu yake ya kuandika uliyosema, Chenge amekuwa kiungo kizuri sana cha madili.Kwa mfano, hili laEscrow amepiga 1.6B Zaidi ya mtu mwingine.

Pengine ni elimu yake ya sharia na uandishi ndiyo imetumika hadi watu wanaona wizi kama karama.


Chenge haonekani popote katika habarinzima. Lakini, Chenge amelamba 1.6B
Hayo ni matumizi ya elimu yake. Swali ni kuwa, hayo ni matumizi sahihi?

Labda kama tunataka kumfainisha Einsten au Kashkonikov na Chenge.

Kati yao yupo aliyetumia elimu yake kutengeneza nyuklia,kitu hatari sana.
Hata hivyo nyuklia inatumika kusaidia maisha ya mwanadamu,jambo zuri sana


Yupo aliyetengeneza AK47, silaha hatarisana.
Tunatumia AK47 kulinda nchi zetu, jambo zuri sana.


Labda utuambie, Chenge anapopiga mapigo yaBilioni, later on, yule masikini anapata nini kule kijijini Zaidi yak kulipa kodi kubwa na umeme wa juu?

Chenge ni mtuhumiwa mkubwa.
Ukubwa watuhuma zake ni historia yake ya kulitia taifa hasara.
Ana haki ya kuongea tena kwa kujitetea.


Chenge hana haki ya kutoa ushauri ni hatua gani zichukuliwe dhidi ya kundi alilolisaidia kuratibu shughuli ya uhalaifu.


@Pasco , Wachina wanaendelea kwasababu hawana mchezo.

Leo Chenge angeshabeba madini ya Zambia kiwango cha kutosha.

Tungekuwa tumefunga chapter tunajadili umasikini wa watu wetu
Ningeomba unitendee haki, kipande hiki nacho kipandishe hapo juu ulipoweka kingine. Kinyume chake utakuwa umenyofoa sehemu ya mjadala na kuufanya kama wote.

Unapochukua kipande kutoka uzi mmoja, unaanzisha mwingine ni kupoteza mtiririko wa mjadiliano na pengine kushawishi watu tofauti na ilivyo.

Ukishaweka kipande hapo juu, nitarudi kufafanua kuhusu ignorance yangu.
Hilo si tusi ni neno zuri tu, ningependa watu waone kwanini ni ignorant ili wajifunze kutokana na makosa yangu
.
 
Chenge ana akilo sana basi tu hajapewa uwaziri mkuu hope lowasa atamconsider
 
Pasco

Huna tofauti na Asumpta Mshana au Hawa Ghasia upstairs
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Pasco

Nadhani unakumbu kumbu wakati wa Rais Mkapa na Kikwete kulikuwa na mikataba mibovu. Moja ya mambo aliyosema Kikwete ni Tanzania kutokuwa na wataalam wa kupitia na kudurusu mikataba.

Alitoa ahadi ya kwenda kuwasomesha nchi Sweden.
Ukiwa mwandishi unapaswa kulikumbuka hilo vema pengine kuliko sisi ignorant

Pili, wakati hayo yakisemwa Chenge amekuwa mwanasheria mkuu wa serikali.
Mikataba yote mibovu iliyopelekea vijisenti ilikuwa na mkono wa Chenge.

Sasa kama ni ‘best legal draftsman'' kwa mujibu wako, huo u-best ni katika kutuandikia upuuzi unaolitia taifa hasara?

Tatu, hatuna tatizo na Chenge kutumia uwezo wake kujipatia kipato.
Swali ni kuwa, uwezo huo ameutumia kwa manufaa ya taifa pia katika nafasi alizopewa kama kiongozi? Kumbuka anapokuwa mtumishi wa umma ni tofauti na mfanyabiashara.

Nne, tumekuuliza katika matumizi ya elimu yake, mwananchi wa kawaida amenufaika vipi na elimu yake ya Havard ikiwa kila aliposimama ni hasara kwa mlipa kodi?

Rais Obama alikuwa na General Mcrystal aliyesadia sana vita ya Iraq.
Gen anaheshimika na yupo katika 5 star kule US.

Mcrystal alinukuliwa na gazeti moja akimkashifu Obama.
Bila kujali uwezo wake katika medani za vita, Obama alituma ndege na Mccrytal akapoteza kazi katika kipindi cha masaa 36 tangu kashfa iibuliwe kikamilifu

Hivi huoni tuna sababu za kuiga mambo mazuri kama haya?

Kwamba uzuri wa kiongozi ni mafanikio yake na si degree, haiba au kipara kinachong'ara.

Degree za Havard za Chenge zimemsaidiaje mwananchi ukilingaisha na degree ya MA ya Nyerere?

Na mwisho, hebu tueleze, ni kwanini unadhani Chenge bado anastahili kusogelea kitu kinachoitwa katiba katika moral decay, devilish thinking aliyo nayo?

Leo mtu asiye na huruma na wanaosihi kwa dola 1 kwa siku, atapataje huruma ya kuandika mwelekeo wa taifa lao kwa miaka 50 ijayo?

Mkuu haitoshi tu kutuambia Chenge ni bingwa, hata Daktari Bingwa anayetumia ubingwa wake kunyofoa kende za watu kwa ksingizio cha mabusha ili apate pesa naye ni msomi.

Je, matumizi ya degree zake yanampa moral authority katika jamii?
Ethically mtu huyo anapaswa hata kutajwa achilia mbali kuhuumia jamii!
 
Mkuu Pasco
Katika uzi 'original' nilifafanua hiviNingeomba unitendee haki, kipande hiki nacho kipandishe hapo juu ulipoweka kingine. Kinyume chake utakuwa umenyofoa sehemu ya mjadala na kuufanya kama wote.

Unapochukua kipande kutoka uzi mmoja, unaanzisha mwingine ni kupoteza mtiririko wa mjadiliano na pengine kushawishi watu tofauti na ilivyo.

Ukishaweka kipande hapo juu, nitarudi kufafanua kuhusu ignorance yangu.
Hilo si tusi ni neno zuri tu, ningependa watu waone kwanini ni ignorant ili wajifunze kutokana na makosa yangu
.
Mkuu Nguruvi3, saa hizi mimi mwenzio tayari!, hivyo utanisamehe bure!, jf sasa tumeanzisha darasa la kulazimishana namna ya ku quote?!, yaani uki quote, lazima u quote post nzima?. Nahisi ama sijakuelewa, au labda zimezidia!, ninavyo fahamu mimi, mtu uki quote, sio lazima u quote posti yote, una quote kile tuu unachohitaji kujibu au to help you drive your point home!. Jee lazima ni quote yote?!.

Pasco
 
Mkuu Nguruvi3, saa hizi mimi tayari, hivyo utanisamehe bure!, jf sasa tumeanzisha darasa la kulazimishana namna ya ku quote?!, yaani uki quote, lazima u quote post nzima?. Nahisi ama sijakuelewa, au zimezidia!.

Pasco
Kama hukunielewa hakijaharibika kitu. Tuendelee tu na mjadala.

Nadhani unakumbuka mtu anaitwa Thomas Zangira. Huyu alikuwa anaiba siri za nchi na kuzipeleka nchi za nje.
Katika hali ya kuonyesha amekasirishwa na jambo hilo, Mwalimu Nyerere aliwahi kulizungumzia tukio hilo na kuita washiriki kama Zangira kuwa ni malaya wakubwa.

Katika mazingira ya Chenge na hasara alizolisababishia taifa, tena akijua kuwa kazi anayofanya ni kujuhumu taifa, hivi nini kinamshinda kutoa siri za nchi endapo ataahidiwa 1.6B nyingine?

Tuonyeshe u-legal darftman wa Chenge umetusaidiaje kama taifa?

Nadhani hapo ndipo tunapaswa kujibu pamoja na hoja nyingine nilizoeleza.
Hayo ya quote tuyaache maana yanaonekana kutuondoa katika hoja na kuanza kujibu usichoulizwa. Turudi kwenye hoja.

Tulitendea jamvi haki, sisi wengine ni ignorant lakini JF inatupa fursa ya kujieleza. Tunafanya hivyo bila kutumika au hutumiwa.
 
Pasco samahani.....
Wewe ni mpuuzi mkubwa unaandika alimuradi kalamu yako ina wino.

Peleka upuuzi wako tbccemu
 
Mkuu Pasco


  1. Nadhani unakumbu kumbu wakati wa Rais Mkapa na Kikwete kulikuwa na mikataba mibovu. Moja ya mambo aliyosema Kikwete ni Tanzania kutokuwa na wataalam wa kupitia na kudurusu mikataba.
  2. Alitoa ahadi ya kwenda kuwasomesha nchi Sweden.
  3. Ukiwa mwandishi unapaswa kulikumbuka hilo vema pengine kuliko sisi ignorant
  4. Wakati hayo yakisemwa Chenge amekuwa mwanasheria mkuu wa serikali. Mikataba yote mibovu iliyopelekea vijisenti ilikuwa na mkono wa Chenge.
  5. Sasa kama ni ‘best legal draftsman'' kwa mujibu wako, huo u-best ni katika kutuandikia upuuzi unaolitia taifa hasara?.
  6. Hatuna tatizo na Chenge kutumia uwezo wake kujipatia kipato. Swali ni kuwa, uwezo huo ameutumia kwa manufaa ya taifa pia katika nafasi alizopewa kama kiongozi? Kumbuka anapokuwa mtumishi wa umma ni tofauti na mfanyabiashara.
  7. Tumekuuliza katika matumizi ya elimu yake, mwananchi wa kawaida amenufaika vipi na elimu yake ya Havard ikiwa kila aliposimama ni hasara kwa mlipa kodi?.
  8. Rais Obama alikuwa na General Mcrystal aliyesadia sana vita ya Iraq. Gen anaheshimika na yupo katika 5 star kule US. Mcrystal alinukuliwa na gazeti moja akimkashifu Obama. Bila kujali uwezo wake katika medani za vita, Obama alituma ndege na Mccrytal akapoteza kazi katika kipindi cha masaa 36 tangu kashfa iibuliwe kikamilifu.
  9. Hivi huoni tuna sababu za kuiga mambo mazuri kama haya? .
  10. Kwamba uzuri wa kiongozi ni mafanikio yake na si degree, haiba au kipara kinachong'ara.
  11. Degree za Havard za Chenge zimemsaidiaje mwananchi ukilingaisha na degree ya MA ya Nyerere?.
  12. Na mwisho, hebu tueleze, ni kwanini unadhani Chenge bado anastahili kusogelea kitu kinachoitwa katiba katika moral decay, devilish thinking aliyo nayo?.
  13. Leo mtu asiye na huruma na wanaosihi kwa dola 1 kwa siku, atapataje huruma ya kuandika mwelekeo wa taifa lao kwa miaka 50 ijayo?.
  14. Mkuu haitoshi tu kutuambia Chenge ni bingwa, hata Daktari Bingwa anayetumia ubingwa wake kunyofoa kende za watu kwa ksingizio cha mabusha ili apate pesa naye ni msomi.
  15. Je, matumizi ya degree zake yanampa moral authority katika jamii?, Ethically mtu huyo anapaswa hata kutajwa achilia mbali kuhuumia jamii!
Mkuu Nguruvi3, nitakurudia!.
Pasco
 
Pasco samahani.....
Wewe ni mpuuzi mkubwa unaandika alimuradi kalamu yako ina wino.

Peleka upuuzi wako tbccemu
Mkuu Hercule Poiroti, hili la uppuzi nalikubali, japo sio kwa kutumia kalamu wala wino, but what does upuuzi wangu has to do with TBC?!, kwa kukusaidia tuu, mimi sio mtumishi wa TBC tangu mwaka 2002!, sasa kwenye upuuzi wangu unaiingiza TBC ya nini?!.

Pasco
 
Wanabodi,

Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali, kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda maneno makali kama haya, yatasaidia, to change for the better!.

We are ignorants, na wabunge wetu ni ignorants!.

Mnyonge Mnyongeni, haki yake mpeni, Mhe, Andrew Change, ni one of the best legal draftsmen we have kwenye Bunge letu, ila kufuati wengi wa wabunge wetu ni ignorants, wazo alilopendekeza jana, kuhusu drafting ya azimio la bunge, kumepelekea kikao muhimu sana cha bunge kuvunjika kwa ujinga tuu wa wabunge wetu!.

Naomba kukiri wazi, wazo la kuandika thread hii, limekuwa inspired na post ya Nguruvi3

Mkuu Nguruvi3,

Naomba kuanza kwa kudeclare my interest, Pasco wa jf ni ignorant, na anajijua ni ignorant, ndio maana ana comment ignorance kwenye public ya jf ili kila mtu ajue Pasco ni ignorant!.

Tanzania tuna ignorants, wengi, wengine wanajijua ni ignorants ila wanaamua kunyamaza bila kucoment ili hiyo ignorance yao, isijulikane, wengine ni ignorants ila hawajajijua kuwa ni ignorants, na kwa vile wako kimya, one can not tell na wenyewe hawajijui!, ila wengine ni iginorants, hawajijui kuwa ni ignorants, hivyo wanapofanya vitendo vya ignorance kama jana pale bungeni, wakitoka nje wanapongezana kwa ushujaa wa ignorance ile!, hawa wanahitaji kusaidiwa kujulishwa they are ignorants!, ili angalau sasa watumie brain zao to think kabla ya kusema na kutenda na sio kutumia feelings.

Watanzania tuna problem ya Ignorance!, ambayo hata wabunge wetu wetu ni ignorants tuu!, sasa huyu Chenge pamoja na ma ufisadi yake yote, ni mmoja wa watu sensible mule bungeni!, pendekezo lake la phrasing azimio lile was the best!. Chenge sio tuu ni mwanasheria wa Havard, bali kwenye sheria kuna maeneo mengi sana ya specialization inayohitaji kipaji fulani on top of being just a lawyer, moja ya enero gumu kabisa ni legal drafting!, ndio maana tulipota uhuru, sheria zetu zote tulicopy and paster "para materiale" (neno kwa neno) kutoka India, simpy because hatuna legal drafting people mule bungeni!, tukubali tukatae, Andrew Chenge is the best!, ametoa pendekezo ambalo ndio the best, lakini kwa vile bunge letu limejaa ma ignorants, ma ignorants hawa wakakataa pendekezo la Change, simply because Chenge ni fisadi, na pendekezo lake limeungwa mkono na Mwenyekiti wa PAC, Mhe. Zitto Kabwe!.

Kiukweli kilichofanywa jana na wale ma ignorants kule bungeni, ni display ya ignorance at the top level!, na kwa vile sisi Watanzania pia ni ignorants, tunashangilia ile ignorance!.

Naomba Chenge ahukumiwe kwa ugfisadi wake, which has nothing to do with uwezo wake wa the best legal drafting!.
Kila siku tunasisitiza humu, mnyonge, mnyongeni!, haki yake mpeni!.

Kuhusu Watanzania na Ignorance, nimeizungumzia hapa.

Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!.

Nasisitiza nimesema we are ignorants, sijasema we are stupid!.

Pasco

Mara nyingi wanaopata access ya kusoma Havard wanaishia kuwa ma agent wa unyonyaji wa America. Wanafundishwa kutokuwa wazalendo. Na wanajua kucheza na akili za watu. Anaweza kuwafanya muamini kuwa mko safari moja kumbe mwenzenu ana malengo yake. Akina Chenge et al ni wa kuangalia kwa macho mawili. Kwa hilo nakibaliana na wewe Pasco.
 
Kama hukunielewa hakijaharibika kitu. Tuendelee tu na mjadala.

Nadhani unakumbuka mtu anaitwa Thomas Zangira. Huyu alikuwa anaiba siri za nchi na kuzipeleka nchi za nje.
Katika hali ya kuonyesha amekasirishwa na jambo hilo, Mwalimu Nyerere aliwahi kulizungumzia tukio hilo na kuita washiriki kama Zangira kuwa ni malaya wakubwa.
Issue ya Juma Thomas Zangira naikumbuka vizuri, bahati mbaya aligundulika kufanya uhaini, Mwalimu kumuita Malaya ni hasira dhidi ya uhaini huo, ila kama ni umalaya huo, tunao malalaya hao kibao, tena very high ranking officials you can never imagine!.

Bahati nzuri nimefanya kazi na wenzetu hawa (wazungu) ndani na nje!. Wenzetu wana kitu kinachoitwa "stake holders mapping", kila awamu mpya ikiingia madarakani, wanatayarisha chart ya "who is who" na kuanza ku take "a good care" ya who matters most!"

Kwa kukusaidia tuu, mpaka hii leo, miaka 50 ya uhuru, Tanzania hatufundishi hansard reportes, hansard reportes wote wanafundishiwa kwa "wenzetu", kikitokea kitu chochote kwenye bunge letu kinachowahusu, kile kipande cha "hansard hiyo" kinatangulia kufika "kule" kabla ya kumfikia mkuu wa hansard wa bunge letu!.

Wale mabosi wananene who matters most, wakiingia tuu madarakani, kitu cha kwanza ni kupewa "study tour" kwenye nchi za "wenzetu" wao na familia zao!, kwenye exotic places, 5 stars hotels, allowances nene!, watoto wao kutafutiwa shule huko hata kama ni vilaza!, fanya simple research watoto wa "the people" who matters wa nchi hii, wanasoma wapi, and why?!. Ni ma ignorants tuu kama sisi ndio tunajua kuwa tunafanyiwa "wema" na wenzetu hawa!, na kwa taarifa yako, tule tujisenti wanazo waingizia kwenye hizo kwenye hizo accounts zao za inje kwa kufanya u zangira, accounts hizo wanawafungulia wao, kule "Credit Sussie" kwa kutumia code names only, na hiyo code haiandikwi popote zaidi ya kichwani kwa mtoaji na mpewaji, hivyo hata bank manager hajui jina la account holder!.

Katika mazingira ya Chenge na hasara alizolisababishia taifa, tena akijua kuwa kazi anayofanya ni kujuhumu taifa, hivi nini kinamshinda kutoa siri za nchi endapo ataahidiwa 1.6B nyingine?
Kama Chenge angekuwa ni mmoja wa "mazangira hawa!" Waingereza wasingemsumbua kivile kwa huyu angekuwa ni mtu muhimu kwao hata kama services zake hazihitajiki tena kwa sasa!.

Tuonyeshe u-legal darftman wa Chenge umetusaidiaje kama taifa?
Hii ndio central theme ya uzi wangu, u legal draftsman wa Chenge ni uwezo and has nothing to do with tuhuma za ufisadi wake!, kwa kuutambua uwezo huo, BMK likampa katiba yetu mpya tunayoipenda kuisimamia!, katiba hiyo imetoka na imeishapitishwa kwa kura za kutosha ndani ya BMK na pia tayari imeishakubaliwa na Watanzania walio wengi!, ile kura ya maoni ni kwa ajili tuu ya kukamilisha taratibu!, tukubali, tukatea, kwenye drafting, Chenge ni mtu muhimu sana!, amelisaidia taifa kupata katiba mpya!, sasa iwe ni "Katiba Bora" au ni "Bora Katiba" its immaterial, the bottom like ni "Watanzania Watapata Katiba!" ambayo imekuwa drafted na Chenge!, na draft yenyewe ilianzia CCM ndio wakaireplace ile draft ya Warioba!.

Tulitendea jamvi haki, sisi wengine ni ignorant lakini JF inatupa fursa ya kujieleza. Tunafanya hivyo bila kutumika au hutumiwa.
Nimesoma kidogo "graphology" hivyo ninauwezo wa kunote change of tone kwenye maandishi, hapo nilipo bold, hili nilijua linaweza kutokea kwa mimi kushutumiwa nimewatukana Watanzania ni ignorants, wabunge ni ignorants na wana jf ni ignorants!, hivyo sasa mnakasirika kuambiwa "ignorants!.

Kwenye dhana ya ignorance, naomba unisome tena huku umetulia!.

Wanabodi,

Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali, kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda maneno makali kama haya, yatasaidia, to change for the better!.

We are ignorants, na wabunge wetu ni ignorants!.

Naomba kuanza kwa kudeclare my interest, Pasco wa jf ni ignorant, na anajijua ni ignorant, ndio maana ana comment ignorance kwenye public ya jf ili kila mtu ajue Pasco ni ignorant!.

Tanzania tuna ignorants, wengi, wengine wanajijua ni ignorants ila wanaamua kunyamaza bila kucoment ili hiyo ignorance yao, isijulikane, wengine ni ignorants ila hawajajijua kuwa ni ignorants, na kwa vile wako kimya, one can not tell if they are ignorants or not!, na wenyewe hawajijui!, kuwa ni ignorants, hivyo wanapofanya vitendo vya ignorance kama jana pale bungeni, wakitoka nje wanapongezana kwa ushujaa wa ignorance ile!, hawa wanahitaji kusaidiwa kujulishwa they are ignorants!, ili angalau sasa watumie brain zao to think kabla ya kusema na kutenda na sio kutumia feelings.

Watanzania tuna problem ya Ignorance!, ambayo hata wabunge wetu wetu ni ignorants tuu!,

Kiukweli kilichofanywa jana na wale ma ignorants kule bungeni, ni display ya ignorance at the top level!, na kwa vile sisi Watanzania pia ni ignorants, tunashangilia ile ignorance!.

Naomba Chenge ahukumiwe kwa ugfisadi wake, which has nothing to do with uwezo wake wa the best legal drafting!.
Kila siku tunasisitiza humu, mnyonge, mnyongeni!, haki yake mpeni!.

Kuhusu Watanzania na Ignorance, nimeizungumzia hapa.

Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!.

Nasisitiza nimesema we are ignorants, sijasema we are stupid!.

Pasco
Pasco
 
Chenge its true ni kichwa/but some how naweza kusema no sababu kubwa ya kumuona awe kichwa ni UZOEFU wa miaka mingi alionao ktk bunge,/ ANATUMIA UZOEFU KUWARUBUNI WATU DHAIFU KTK KUJIWEKEA KINGA DHIDI YA MALI ZAKE/FOR THE FUTURE COMFORT OF THE FEW kupiti katiba yake!
 
Tatizo lako kaka ni moja tu, unajua mbivu na mbichi ila hutaki kuchagua kundi moja!!!!
Mkuu Olesa, asante kwa kunieleza ukweli, kwanza nakiri wazi kabisa kuwa mimi Pasco wa jf, ni mtu mwenye matatizo!, na tatizo langu kubwa kabisa siku zote ni kuueleza ukweli vile ulivyo na sio ukweli ambao watu wanautaka uwe!, siku zote kuna ukweli mmoja tuu na ambao ndio unasimama!, hivyo mpaka ndani ya moyo wangu na nafsi yangu, sina upande kabisa!.

Tanzania tuko kwenye vita vya ukombozi wa pili wa nchi yetu!. Kwenye vita hii, tuna wapiganaji mashujaa walioko mstari wa mbele, ambao wao kazi yao ni kupigana tuu, no matter what!. Na kuna wapiganaji makini ambao hawaamua kupigana hadi wawe na uhakika wa kushinda vita!.

Wapiganaji Shujaa!.
Ndani ya vita hii kuna wapiganaji shupavu, waliodhamiria kuingia vitani, kupigana kufa na kupona, "motto" yao ni "fight figh fight no matter what!", "no retreat!, no surrender!", hawa watapigana hadi risasi ya mwisho na tone la mwisho la damu limwagike, hata kama wanajua watashindwa vita, wataendelea kupigana tuu, na mwisho wa siku, all will be wiped!, ila watakuwa declared "mashujaa wa taifa" na majina yao, yatakumbukwa milele!.

Wapiganaji Makini!.
Wapiganaji makini, hawaingii vitani mpaka kwanza wajue nguvu ya jeshi la adui!, na wakijipima na nguvu yao, wanaamua kutopeleka kwanza majeshi vitani ili kuepuka a loosing battle!, hawa formula yao ni "never fight a loosing battle", na wakiwa kwenye uwanja wa mapambano, wakiona dalili za kushindwa, kuliko kuendelea ku fight na kuwa wiped out, wata retreat kwenda kujijenga upya, mpaka wawe na nguvu to hit back and win, vinginevyo baada ya majaribio kadhaa ya kushindwa, then wanaamua "if you can't beat them, join them" and learn their secrets of battlefields" kinachowafanya washinde!. That is me!.

Wengi wa wapinzani ni wapiganaji mashujaa so does wengi wa wana jf, mimi ni miongoni mwa wale tunaosema ukweli huu mchungu bila kumung'unya maneno, ili angalau watusikie, sometimes tunalazimika kutumia maneno makali kama hili la "ignorants!' tunaowaambia kuwa hata kwenye urais ni 2015 ni CCM tena!, simply kwa sababu wapinzani bado hawajawa tayari!. Wakiambiwa ukweli huu, wanakasirika!.

Pasco.
 
Back
Top Bottom