Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutajuaje Kama ametubu madhambi yake!? usiionje sumu kwa kuilamba !!!PElections 2015 - Nani hatari zaidi kati ya malaika aliyegeuka shetani, Au shetani aliyegeuka malaika?!
Wanabodi, Leo tena naendelea na zile makala zangu za malaika na shetani. Kwa wasomaji wapya katika kukumbushana tuu, hapo hapo mwanzo, shetani alikuwa malaika kabla hajawa shetani, tena ndio alikuwa malaika Mkuu! . Kwenye himaya ya mashetani shetani hayuko peke yake, yuko na wale malaika...www.jamiiforums.com
Iam a very good stupid for thisNaheshimu mawazo yako, na huu ndio uzuri wa mitandao ya jamii, sisi jf tukiwemo, you might be arguing with a fool without noticing, hivyo comments za namna zinatusaidia sana kubaini the stupidity among us. Thanks.
P
Exactly!!This is the man to watch very closely this week !.
P
Kwani kuna nan msafi kati ya wale anaokusudia kwenda kuwaongoza?Tutajuaje Kama ametubu madhambi yake!? usiionje sumu kwa kuilamba !!!
Naomba nisimtaje nisije nikaonekana kama nampigia mtu kampeni.Yupi huyo?
Best brain bila maadili kuna kitu hapo? Tukifanya hivi tutakuwa tunatengeneza bomu la kiuongozi na kimaadili.Mhe, Andrew Change, japo kweli ni fisadi, lakini kwenye tasnia ya sheria, he is one of the best legal draftsmen we have kwenye Bunge letu