Pamoja na umaarufu alio nao Alikiba kwa nini Bado Maskini na Diamond platnumz ni mwanamuziki tajiri?

Pamoja na umaarufu alio nao Alikiba kwa nini Bado Maskini na Diamond platnumz ni mwanamuziki tajiri?

Kuna uwezekano mkubwa mtu mwenye milion 1 akafanya matanuzi makubwa kuliko mtu mwenye milion 10

Nakumbuka enzi diamond anajitanabaisha kuwa kanunua nyumba south Africa (japo sijajua sheria za south dhidi ya umiliki wa nyumba kwa watu wa nje ya south km ni rahisi hivyo) aliwafata SHILAWADU na kuanza kujisifu ambapo alidai hyo nyumba kwa idadi ya rand ambazo ukiconvert kwa pesa ya kibongo ni kama milion 450,sawa na kununua nyumba ya kawaida kinondoni studio yenye ukubwa wa nusu heka, hapo utaona kuwa mond siku zote hafanyi kitu bila kujitangaza, whether ni chake au sio chake, mfano hizo perfume anazodai ni zake kumbe za kusaga, karanga pia kasema ni zake kumbe za muhindi, magari ya kina ustadh juma namusoma inanipelekea kusema kuwa utajiri mnaodhani ni wa diamond huenda 60% sio wake, sema anatumiwa kupromote na kwa uswahili wa mond na misifa yake anatangaza kuwa ni vyake, na kwakuwa mashabiki wengi wa mondi wana historia sawa na life status za kitandale wanaamini moja kwa moja asemalo mswahili mwenzao


Ukija kwa kiba ambaye kwanza hana lundo la wapambe, ana meneja mmoja tuu, kafanya shows ndani ya miez miwili shows km 40 hv ambazo kila show kapata not less than 25,000 usd, ambayo kwa show 40 ni km 1milion usd, bisheni siwazuii, kiba ana longterm plan, hana plan ya leo tuu, anataka siku akiamua kuachia mambo zake awafunge watu midomo, nakumbuka Shilawadu walimuuliza kuhusu nyumba yake anayojenga tabata, aliwajibu kwa kuwauliza ni lini yeye aliwafata akawaambia anajenga nyumba? Hii ikimaanisha kuwa wasimtoe alipo kwani muda wake wa kufanya hvy bado, siku zote mwanaume tajiri wanaofanya show off huwa ni wake zao na watoto

Kiba kujiita king na mond kuitwa malkia wa nguvu inareflect what kiba said baada ya hizo rumours kutoka kwa Shilawadu

Game ndio imeanza, mond alikuwa 10 step ahead na anapanda kwa 1 step but kiba anapanda by 5 steps, ili kushindana na aliyekuzidi steps ni kutompa mwanga wa speed yko, acha mond ajione yupo mbele ya kiba, but cku akiujua ukweli atajiona bonge la fala....
 
Kuna uwezekano mkubwa mtu mwenye milion 1 akafanya matanuzi makubwa kuliko mtu mwenye milion 10

Nakumbuka enzi diamond anajitanabaisha kuwa kanunua nyumba south Africa (japo sijajua sheria za south dhidi ya umiliki wa nyumba kwa watu wa nje ya south km ni rahisi hivyo) aliwafata SHILAWADU na kuanza kujisifu ambapo alidai hyo nyumba kwa idadi ya rand ambazo ukiconvert kwa pesa ya kibongo ni kama milion 450,sawa na kununua nyumba ya kawaida kinondoni studio yenye ukubwa wa nusu heka, hapo utaona kuwa mond siku zote hafanyi kitu bila kujitangaza, whether ni chake au sio chake, mfano hizo perfume anazodai ni zake kumbe za kusaga, karanga pia kasema ni zake kumbe za muhindi, magari ya kina ustadh juma namusoma inanipelekea kusema kuwa utajiri mnaodhani ni wa diamond huenda 60% sio wake, sema anatumiwa kupromote na kwa uswahili wa mond na misifa yake anatangaza kuwa ni vyake, na kwakuwa mashabiki wengi wa mondi wana historia sawa na life status za kitandale wanaamini moja kwa moja asemalo mswahili mwenzao


Ukija kwa kiba ambaye kwanza hana lundo la wapambe, ana meneja mmoja tuu, kafanya shows ndani ya miez miwili shows km 40 hv ambazo kila show kapata not less than 25,000 usd, ambayo kwa show 40 ni km 1milion usd, bisheni siwazuii, kiba ana longterm plan, hana plan ya leo tuu, anataka siku akiamua kuachia mambo zake awafunge watu midomo, nakumbuka Shilawadu walimuuliza kuhusu nyumba yake anayojenga tabata, aliwajibu kwa kuwauliza ni lini yeye aliwafata akawaambia anajenga nyumba? Hii ikimaanisha kuwa wasimtoe alipo kwani muda wake wa kufanya hvy bado, siku zote mwanaume tajiri wanaofanya show off huwa ni wake zao na watoto

Kiba kujiita king na mond kuitwa malkia wa nguvu inareflect what kiba said baada ya hizo rumours kutoka kwa Shilawadu

Game ndio imeanza, mond alikuwa 10 step ahead na anapanda kwa 1 step but kiba anapanda by 5 steps, ili kushindana na aliyekuzidi steps ni kutompa mwanga wa speed yko, acha mond ajione yupo mbele ya kiba, but cku akiujua ukweli atajiona bonge la fala....
Hahahahaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuishi uingereza sio tatizo tatizo hapa tunaangalia maendeleo yake kama king yapo vipi...msanii mkubwa kama kiba hatastudio yake mwenyewe kashindwa kununua vifaa? Msanii mkubwa hata ofisi yake hana alafu mnamuita king?



Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia google kisha nitafutie studio aliyokuwa akimiliki marehemu tupac shakur au hata notorious BIG....ukiipata jibu hapa kisha nifuate private andika namba yako ya simu ndani ya dk 5 utakuwa unasoma ongezeko la salio la tshs 1mil.

kuwa msanii mkubwa sio lazima uwe na studio...hata hiyo ya domo bado ipo kwenye category ya home recording studio na sio professional studio.

elewa kijana acha kubwabwaja hapa.

kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
 
Ningetamani kelele zote za mashabiki WA king Kiba angalau nao wangetupia hata kagari au nyumba kama alivyosem yule aneishi Jirani ya Kiba. Sijui kakatazwa hata kupiga Picha hilo jumba aliolonalo Kiba
Kama ni rahisi kiivyo bila idhini ya mwenye mali basi na wewe TUPIA PICHA ZA UBALOZI WA MAREKANI maana kila siku unapita hapo getini kwao kwenda kwenu msasani maandazi road na bonde la mpunga.

kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
 
Kuna uwezekano mkubwa mtu mwenye milion 1 akafanya matanuzi makubwa kuliko mtu mwenye milion 10

Nakumbuka enzi diamond anajitanabaisha kuwa kanunua nyumba south Africa (japo sijajua sheria za south dhidi ya umiliki wa nyumba kwa watu wa nje ya south km ni rahisi hivyo) aliwafata SHILAWADU na kuanza kujisifu ambapo alidai hyo nyumba kwa idadi ya rand ambazo ukiconvert kwa pesa ya kibongo ni kama milion 450,sawa na kununua nyumba ya kawaida kinondoni studio yenye ukubwa wa nusu heka, hapo utaona kuwa mond siku zote hafanyi kitu bila kujitangaza, whether ni chake au sio chake, mfano hizo perfume anazodai ni zake kumbe za kusaga, karanga pia kasema ni zake kumbe za muhindi, magari ya kina ustadh juma namusoma inanipelekea kusema kuwa utajiri mnaodhani ni wa diamond huenda 60% sio wake, sema anatumiwa kupromote na kwa uswahili wa mond na misifa yake anatangaza kuwa ni vyake, na kwakuwa mashabiki wengi wa mondi wana historia sawa na life status za kitandale wanaamini moja kwa moja asemalo mswahili mwenzao


Ukija kwa kiba ambaye kwanza hana lundo la wapambe, ana meneja mmoja tuu, kafanya shows ndani ya miez miwili shows km 40 hv ambazo kila show kapata not less than 25,000 usd, ambayo kwa show 40 ni km 1milion usd, bisheni siwazuii, kiba ana longterm plan, hana plan ya leo tuu, anataka siku akiamua kuachia mambo zake awafunge watu midomo, nakumbuka Shilawadu walimuuliza kuhusu nyumba yake anayojenga tabata, aliwajibu kwa kuwauliza ni lini yeye aliwafata akawaambia anajenga nyumba? Hii ikimaanisha kuwa wasimtoe alipo kwani muda wake wa kufanya hvy bado, siku zote mwanaume tajiri wanaofanya show off huwa ni wake zao na watoto

Kiba kujiita king na mond kuitwa malkia wa nguvu inareflect what kiba said baada ya hizo rumours kutoka kwa Shilawadu

Game ndio imeanza, mond alikuwa 10 step ahead na anapanda kwa 1 step but kiba anapanda by 5 steps, ili kushindana na aliyekuzidi steps ni kutompa mwanga wa speed yko, acha mond ajione yupo mbele ya kiba, but cku akiujua ukweli atajiona bonge la fala....
Hela inajitangaza yenyewe hata kama hujitangazi usituletee porojo apa.

Rostam aziz ushawahi msikia kny media wala kwny mamitandao ya kijamii akijitanabaisha au bakhresa kama wanavofanya akina mengi, manji na mo dewj....lkn ulimwengu unatambua kuwa jamaa wana utajri wa kutisha so usituletee simulizi za sungura na fisi apa. Hata kama hupndi show off lkn kma una mkwanja jamii itajua tu.

Na kuhusu sijui nyumba ya tabata shilawad washaenda pale na ni ya kawaida sana.

Na usijaribu kufananisha mtu anaefanya show zake kwny viwanja na anaefanya kwny mi grocery uko ulaya.
 
Habari zenu wana jf

Naombeni uzii huu usichukuliwe kiushabiki bali uchukuliwe kama haki ya kila mtu kutoa ya moyoni pasipo kuvunja sheria

Kwa mda mrefu msanii Alikiba amekuwa yupo kwenye game la mziki na amejizolea umaarufu mkubwa kwa kazi zake nzuri na kujipatia mashabiki wengi huku wengine wakimuita "KING" wa bongofleva.

Lakini pamoja na umaarufu wake alionao na mashabiki wengi aliojizolea lakini bado Alikiba ni mtu mwenye maisha ya ya chini tu ambayo hayafanani kabisa na umaarufu wake

Tukija upande wa pili wa mwanamuziki Naseeb Abdul ~Diamond Platnumz yeye si wazamani sana kwenye game kama alikiba lakini nayeye ametokea kufanya kazi nzuri na kujizolea mashabiki wengi na umaarufu lakini hajaweza kufikia record ya The king himself Alikiba

Lakini ukija kwenye maswala ya maendeleo ambayo ndio kipimo cha kazi anayofanya msanii utagundua kuwa Diamond platnumz amejizolea utajiri wa kutisha zaidi ya King himself Alikiba.

Kutokana na kazi ya mziki Diamond platnumz ameweza kujipatia utajiri mkubwa ikiwemo kuachia mijengo mingi ya maana hapa town na mengine South Africa. Diamond amefunguka zaidi kwa kuanzisha biashara zake za Chibu perfume na Diamond karanga ambazo zinafanya vizuri nzuri sokoni bila kusahau mikataba yake ya matangazo na makampuni makubwa wakati king Kiba hana biashara ya maana wala maendeleo yoyote kumzidi Naseeb
1b6a914765dee10191206877f27f3872.jpg

baf5eac734a10fe7a1c795f1258ae853.jpg

b78bdcea38f9fd2b03a2e54e403d5d2b.jpg

dd124671bdcf3d7cdf0e1120c15cafce.jpg


Diamond platnumz amejenga ofisi yake ya kisasa na kufungua studio yake ya wasafi records ambayo inahusika kutengeneza ngoma zote za wasafi na wasanii wengine kutoka nnje kitu ambacho Alikiba hadi leo hana ofisi wala studio yake binafsi
9b5bab3186e9b0ab5b1ec5a21fbd0ab0.jpg

5aba10ffde33e51db20eafe3807c4f89.jpg

a5eefc9f96dbbd47fefa3f02627c4c3f.jpg

0b191687eb9d1141279775010bc4e08f.jpg


Diamond ameanzisha Label yake mwenyewe ya Wasafi records ambayo inawasimamia wasanii wakali kama
~Rich Mavoko
~Harmonize
~Rayvanny
~lavalava
Na mtandao wa wasafi.com ambao anauza nyimbo zake na za wasanii wengine online. Label ya wasafi imekuwa ni chanzo kikubwa cha kupiga mkwanja mrefu kwa Diamond platnumz hadi ilifika kipindi TRA wakamkadiria kodi hadi swala hilo likatinga bungeni

Huku Diamond platnumz ni msanii pekee anaeilipa kodi kubwa serikali kuliko msanii yeyote hapa tz, Akiwapiku wasanii wengi wakongwe na wapya ambao wamekuwa wakimchukia lakini wengi wao hata mlango wa TRA hawaujui nikimaanisha wanaendesha kazi zao kiujanja ujanja lakini Diamond platnumz ameonyesha mfano kwa kuilipa kodi serikali kwa kazi zake zote
81226d28e38578c6244eb8ea6449258c.jpg


Wakati upande wa pili wa Alikiba yeye bado amesainiwa na Sony music na hana label yake mwenyewe wala wasanii anaowasimamia,Na wala sina uhakika kama anailipa kodi serikali kama anavyofanya Platnumz

Ukiingia katika account zao za youtube alikiba ana followers 60,000 na Platnumz anao followers 650,000 na kupitia account zao za youtube Diamond anavuta pesa ndefu kutoka youtube kutokana na video zake nyingi anazoweka kwenye account yake na followers wengi alionao

Diamond platnumz ameweza kutoa ajira kwa
~Mameneja 2
~Madancer 5
~producer 1
~Bodyguard 1
~Photographer 1
~Mtu wa IT 1
~Mbunifu 1
~Muhasibu 1
~wasanii chini ya label yake 5
Jumla 19

eab9b5e89f9bc0fee68573deed497799.jpg

kipiga hesabu hapo Diamond platnumz anaspend zaidi ya 100 millions kwa ajili ya kulipa mishahara tu kwa crew yake au wafanyakazi wa label yake ya wasafi kwa kila mwezi[colour=black
],huku mshahara mkubwa ukienda kwa wasanii walio chini ya lebel yake kulingana na mikataba yao

Ukija upande wa pili wa alikiba yeye ni mwajiriwa tu wa sonny music hamlipi mtu mshahara lakini maisha yake hayafanani kabisa na misifa anayopewa na mashabiki wake Mwisho wa siku utagundua kuwa alikiba anaambulia sifa tu kutoka kwa mashabiki zake mitandaoni kakini Diamond ni real money maker nikimaanisha mashabiki wanaompaka sifa Alikiba mchana ndio hao hao Wanaomtajirisha Diamond platnumz wenyewe

Na wapo watakaokuja kusema hapa kuwa alikiba sio mtu wa show off lakini msema ukweli ni mpenzi wa mungu pesa na maisha aliyokuwa nayo Alikiba hata aizidishe mara 10 hamfikii Diamond platnumz japo watu hao hao wanampaka mafuta mwa mgongo wa chupa alikiba kwa sifa ndio hao hao wanaomtajirisha Platnumz

mziki duniani kote sasa hivi ni pesa ndio mpango mzima lakini najiuliza mziki wa alikiba ni wa kuingiza pesa kutokana na kazi nzuri au ni mziki wa sifa mbona hana maendeleo yoyote?

---------------------------------------------------------------------------------------

USHAURI WANGU KWA PLATNUMZ D

Nakuomba uachane na hili bifu ulilojiwekea na alikiba kwani sio saizi yako kabisa umemzidi kimaendeleo kwa asilimia kubwa na unafanya kazi ya kumpromote tu na sikingine

Diamond platnumz level zako ni za akina Davido yaani ilibidi uweke bifu na mtu ambaye ni saizi yako Nakusihi achana nae na wala usishindane nae kwani yeye ndio anafaidika zaidi na hili bifu na anapenda liendelee. Alikiba saizi yake ni akina Dully sykes,TID,Q CHIEF,Bobjunior ndio wa kuekeana bifu lakini sio wewe

Wewe ni boss wa label kubwa ya WCB na umetoa ajira kwa vijana wengi hivyo huwezi kulingana wala kushindana na msanii Local anayefanya kazi chini ya label asiye na brand yake anayetegemea media kumpromote, hana studio wala ofisi yani yupo yupo tu,huko ni kujiaibisha tu




Mmmhh hyo m100 unaitamka kirahisi tuu. So kwa mwaka 1.2b???? Embu npishe miee
 
Siku Alikiba atakapofikia mafanikio ya Chibu ataanza show-off kwa sasa inabidi apige kimya maana hana cha kumzidi. Yaani ananikumbusha enzi zangu nipo school pepa ikija nimepata namba za viatu nilikuwa naficha, sasa subiri siku nipige banda darasa zima watajua
 
Inabidi ifike kipindi,Kiba akubali Mond kamzidi na apambane kufika level alofika mond.Ili bongo kuwe angalau na wasanii wawili watatu wa kimataifa.

Kupambana kumshusha mmoja ili mwingine awe juu ni ulofa

ushauri wa bure
Mond muuza sura yule..kila kitu anajionesha mitandaoni. Kiba level ingine ile. Kiba inajitambua
 
Kuna uwezekano mkubwa mtu mwenye milion 1 akafanya matanuzi makubwa kuliko mtu mwenye milion 10

Nakumbuka enzi diamond anajitanabaisha kuwa kanunua nyumba south Africa (japo sijajua sheria za south dhidi ya umiliki wa nyumba kwa watu wa nje ya south km ni rahisi hivyo) aliwafata SHILAWADU na kuanza kujisifu ambapo alidai hyo nyumba kwa idadi ya rand ambazo ukiconvert kwa pesa ya kibongo ni kama milion 450,sawa na kununua nyumba ya kawaida kinondoni studio yenye ukubwa wa nusu heka, hapo utaona kuwa mond siku zote hafanyi kitu bila kujitangaza, whether ni chake au sio chake, mfano hizo perfume anazodai ni zake kumbe za kusaga, karanga pia kasema ni zake kumbe za muhindi, magari ya kina ustadh juma namusoma inanipelekea kusema kuwa utajiri mnaodhani ni wa diamond huenda 60% sio wake, sema anatumiwa kupromote na kwa uswahili wa mond na misifa yake anatangaza kuwa ni vyake, na kwakuwa mashabiki wengi wa mondi wana historia sawa na life status za kitandale wanaamini moja kwa moja asemalo mswahili mwenzao


Ukija kwa kiba ambaye kwanza hana lundo la wapambe, ana meneja mmoja tuu, kafanya shows ndani ya miez miwili shows km 40 hv ambazo kila show kapata not less than 25,000 usd, ambayo kwa show 40 ni km 1milion usd, bisheni siwazuii, kiba ana longterm plan, hana plan ya leo tuu, anataka siku akiamua kuachia mambo zake awafunge watu midomo, nakumbuka Shilawadu walimuuliza kuhusu nyumba yake anayojenga tabata, aliwajibu kwa kuwauliza ni lini yeye aliwafata akawaambia anajenga nyumba? Hii ikimaanisha kuwa wasimtoe alipo kwani muda wake wa kufanya hvy bado, siku zote mwanaume tajiri wanaofanya show off huwa ni wake zao na watoto

Kiba kujiita king na mond kuitwa malkia wa nguvu inareflect what kiba said baada ya hizo rumours kutoka kwa Shilawadu

Game ndio imeanza, mond alikuwa 10 step ahead na anapanda kwa 1 step but kiba anapanda by 5 steps, ili kushindana na aliyekuzidi steps ni kutompa mwanga wa speed yko, acha mond ajione yupo mbele ya kiba, but cku akiujua ukweli atajiona bonge la fala....
Mkuu hebu kajipange harafu urudi tena
 
kiba pesa zote anavutiya bangi na kula mirungi na kuhonga mademu
 
Back
Top Bottom