Pamoja na umaarufu alionao Wema Sepetu kwanini hana maendeleo yoyote, Anakwama wapi?

Umshauri ili afanikiwe kama ulivyofanikiwa wewe?
 
Kama umaarufu ndio kujenga nyumba, Le Mutuz, Mangi Kimambe na Harmorapa wangekuwa na mahekalu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Ananifurahishaga tu akivaa nguo mpya anavyopost na vile team yake inavyompamba mi ht sionagi cha ajabu kiukweli aliyekua ananikosha Lulu tu[emoji769]!!
General mangi elileta uzi humu kuwa alikutana na wema lakini alichokiona nk tofauti na picha zake za insta yani full michirizi kwenye ngozi[emoji23][emoji23]
 
shida huyu dada hana mipango ya muda wa kati na muda mrefu. pili nadhani anapsychological problem la kukosa mtoto. hivyo anaapoteza muda mwiiiiiiiingi kudhani kuna mtu ataweza kumpa.

Bora angejifunza kwa mtu kama Lady JD namna ya kuweka mikakati mbali mbali. lakini pia nahisi happendi kutumia wataalamu na kama anawatumia basi hafuati ushauri wao kwenye mambo fulani fulani.

Pia inawezekana anazungukwa na watu wengi wanaojinufaisha kuwa nae lakini hawampi changamoto za kimaendeleo hivyo kundi kubwa linalomzunguka ni kikwazo kwake.

Mwisho: Ushauri akitaka kutoka na aendelee kuwa na jina aje na wazo jipya la kwake ambalo linaweza kuwa la kijamii, kibiashara, n.k

zaidi awasiliane na hawa jamaa zangu hapo Dar ni super think tank info@gmconsultz.com
 
Watu km ninyi wala hawatakii
 
Fact
 
Mkuu umeongea ukweli yeye anaoshinda nao wakina aggrey shoga ebu niambie atamshauri ninii sana sana wema ndio anamtafutia mwanaume wakina junaither na joan wana maduka yao wanamtumia yeye wamtangazie biashara zao
 
Shangaa na wewe halafu jitu linakuja hata hujui lilipotokea linakuquote kama yeye ndio mleta thread mfyuuuu zake
Wewe nimekwambia hizo sijui team unazijua wewe labda,mimi nimekushauri kama wewe unavyomshauri huyo Wema,

Usitafute pakutokea kujifanya anayekushauri sijui ni team gani,try to mind your own business,don't waste ur time looking faults of others,spend ur time to correct ur own.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…