Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Kweli kabisaTufanye yetu
Muda we ndo unajua kuna watu mpk muda huu hawajui kua j4 ya Leo haitarudi tena km ya leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisaTufanye yetu
Muda we ndo unajua kuna watu mpk muda huu hawajui kua j4 ya Leo haitarudi tena km ya leo
Kwendraaaaa ulitumwa uje uniquote mimi ungeendelea na mambo zakoWewe nimekwambia hizo sijui team unazijua wewe labda,mimi nimekushauri kama wewe unavyomshauri huyo Wema,
Usitafute pakutokea kujifanya anayekushauri sijui ni team gani,try to mind your own business,don't waste ur time looking faults of others,spend ur time to correct ur own.
Ana 25[emoji23]Anasema yeye bado mdogo sana atiii
Hii ni open forums kila mtu anachangia acha kua na akili zilizolala usingizi.Shangaa na wewe halafu jitu linakuja hata hujui lilipotokea linakuquote kama yeye ndio mleta thread mfyuuuu zake
kilichokuleta kwenye thread ya kumsema Wema ni nini?Wewe nimekwambia hizo sijui team unazijua wewe labda,mimi nimekushauri kama wewe unavyomshauri huyo Wema,
Usitafute pakutokea kujifanya anayekushauri sijui ni team gani,try to mind your own business,don't waste ur time looking faults of others,spend ur time to correct ur own.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mi najipitiaga tu kimya kimya naangalia teams zinavyopambana,wengine wanaponda,wengine wanasifia[emoji23]Ananifurahishaga tu akivaa nguo mpya anavyopost na vile team yake inavyompamba mi ht sionagi cha ajabu kiukweli aliyekua ananikosha Lulu tu[emoji769]!!
Kweli kabisaWema anajirahisi mno!
wema hakuwa mtu wa kutoka na akina Bashite! wengine wana nuksi hasa Bashite.
sasa usiku umeshaingia aendelee kuzoazoa.
Ni vizuri kumpa ushauri[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mi najipitiaga tu kimya kimya naangalia teams zinavyopambana,wengine wanaponda,wengine wanasifia[emoji23]
Wewe ulitumwa umshauri huyo Wema? Si na wewe ungeendelea tu na mambo yako! Kumbe jibu unalo ila unahangaika bure tu! Wewe ni wakuhurumiwa tu aisee!!Kwendraaaaa ulitumwa uje uniquote mimi ungeendelea na mambo zako
Kaka mbona unakuwa mkaliWewe ulitumwa umshauri huyo Wema? Si na wewe ungeendelea tu na mambo yako! Kumbe jibu unalo ila unahangaika bure tu! Wewe ni wakuhurumiwa tu aisee!!
Nini wolper,aunty ezekiel nae namkubali siku hizi ni kazi kazi naona kama amepunguza dramaHashauriki muone Wolper sasa hivi
KabisaaNini wolper,aunty ezekiel nae namkubali siku hizi ni kazi kazi naona kama amepunguza drama
YaaaniMwenzie kashavuna nyumba kasepa
Mastar wengine wameamua kutulia tu kutengeneza maisha,ila dada etu wa taifa sasa[emoji124][emoji125] wanamuita Tz sweetheartMada Genny, wolper now anatumia vizuri brand yake kuingiza pesa, anajenga kila kukicha pia biashara ya nguo anaitumia vizuri
Yaani Wema mashoga zake hawataki awe na business maana ataiteka haswaa so wanaogopa wakimshauri positive things atawanyang'anya Wateja wao[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mi najipitiaga tu kimya kimya naangalia teams zinavyopambana,wengine wanaponda,wengine wanasifia[emoji23]
Mkuu sio mkali,nimemshauri tu huyo mpuuzi ila akajifanya mjuaji,tena nilitumia lugha nzuri tu.Kaka mbona unakuwa mkali