ophthalmic doctor
Senior Member
- Feb 12, 2017
- 191
- 249
Lazima tuzifatilie cuz wanayaanika maisha yaoWewe ndio nakushauri uangalie maisha yako na uache kufuatilia life za watu hazitokufaa lolote.
99% amepunguza yuko busy na Bar yake habari hapati!!Nini wolper,aunty ezekiel nae namkubali siku hizi ni kazi kazi naona kama amepunguza drama
Yeye anavuna dedication ya singles anazotungiwa!!Mwenzie kashavuna nyumba kasepa
Ingekuwa wanaume wanahitaji utamu tu basi kusingekuwa na warembo ambao hawajaolewa na hawataolewa kamwe labda na wenzao wa Bongo movie na ubongo wa fleva.Ila Wema anaonekana mtamu sana.
Nenda wewe ambaye jua halijakuchwa ukawe host wa hao wasafi.
Umefanya nimecheka kwa saut[emoji23]Karidhika na kujiita Tzsweet akiimbwa kwenye miziki + mama huruma
kamaliza!!! ana shida gani nyumbu[emoji23][emoji23]
Pole sana uelewa wako ni sawa na mtoto wa darasa la pili nadhani,i told u this is an open forums kila mtu anachangia,kama hupendi hilo piga kimya au kaanzishe forum yako na wakwenu huko.Sasa ungechangia usingeniquote mm uache kuwashwa washwa siku nyingine ufanye mambo zako
Huyu naona alikuwa na hamu ya kuniquote naona ana hasira na mm mnooooMbona unaumia ndugu majazba meeengi wakati hata huyo hakujui nini tatizo kijana??
Hebu na wewe acha double standard,huyo aliyenijibu kifedhuli hukumuona? Au ndio kujipendekeza kwenyewe huku?Kaka mbona unakuwa mkali
[emoji23][emoji23][emoji23] mbona povuuu hahaHebu na wewe acha double standard,huyo aliyenijibu kifedhuli hukumuona? Au ndio kujipendekeza kwenyewe huku?
RealHana plan ya maisha anayoyataka,anapenda kuishi kwa ajili ya kuonekana na watu
Naona nimekupa ukweli kua unajipendekeza kijinga ukaishia kujichekesha hovyo tu! Nimekuuliza hukuona huyo uliyekuja kumtetea wakati aliponijibu kifedhuli? Jibu swali acha double standard zisizo na maana.[emoji23][emoji23][emoji23] mbona povuuu haha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani shida ipo wapi kakaNaona nimekupa ukweli kua unajipendekeza kijinga ukaishia kujichekesha hovyo tu! Nimekuuliza hukuona huyo uliyekuja kumtetea wakati aliponijibu kifedhuli? Jibu swali acha double standard zisizo na maana.
[emoji23][emoji23]From ceo to mfanyakazi wa wasafi