Pamoja na usomi wangu siachi matambiko na mila ng'oo

Big one walahi
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
uliposema chini ya Yesu kuna Mungu wa warumi...nimeacha kusoma. Ni wazi umekurupuka tu...kwa sababu hata hiyo nine dimension unayosema ipo katika kitabu cha tatu cha Henoko ambacho bado ni debatable inaonekana masadukayo na mafarisayo ndiyo waliokiandika. The real Henoko ni kitabu cha kwanza kinachoeleza dimension sababu kama Biblia inavyosema.

anyway...do more research
 
Mf. Ile altare ya Wakristu ni sawa tu na kilinge cha asili cha kuabudu.Sasa kilinge kineachwa na kufuata altare iliyobuniwa na wamisionari. Je huu ni uungwana? Kamwe usiache jadi yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe sio muislam, short and clear. Uliyoyaandika kuhusu uislam na pamoja na kusifia ushirikina inaonyesha hujui lolote kuhusu uislam
Kila imani ni ushirikina kwa imami nyingine,hakuna imani iliyosahihi kwa watu wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…