Dini ni mfumo.
Mfumo wa kumtafuta Mwenyezi Mungu.
Mungu ni mmoja hakuna Mungu tofauti na yule alieumba ulimwengu tunaoishi.
Na pia shetani yupo, anaishi ndani ya kila mmoja kama ilivyo Mungu anaishi ndani yetu (Twin souls), a very complicated phenomenon na inahitaji kujifunza ili kuweza kulithibitisha hilo.
Na pia katika kujifunza nimefahamu ya kuwa kifo sio mwisho wa safari, kwamba.. sasa ndio unaenda kukutana na Mungu kama wengi wanavyo amninishwa. Ukifa unaingia kwenye dimension ya juu na unakuwa na nguvu kubwa za kiroho, na utaweza ku interact na dimension ya chini uliyotoka kama ulikuwa na uwezo mkubwa wa kiroho wakati unakufa. So hii inatoa maleezo juu ya lile swala la kuwaomba ma babu/wazee wa jadi waliotangulia ili waweze kutoa hint/muongozo juu ya jambo fulani, lakini haimaanishi kuwa ndio tunatakiwa tuwaabudu wao.
Kila jamii ilikuwa na mfumo waliouamini katika kumuomba Mungu. Waafrika tulikuwa na dini zetu, wazungu dini zao, wachina, wahindi etc. Kilichotokea ni kwamba tuliaminishwa na walio tutawala kuwa dini zetu sio sahihi, tuliaminishwa kuwa mababu zetu na wazee wetu wa jadi walikuwa wakiabudu miungu/mashetani. Isingekuwa rahisi kututawala kama wasingefuta kile tunachokiamini.
Kuhusu Jesus Christ:
Kuna kitu watu wanachanganya sana. Na kuna ambao mpaka leo hudhani ya kwamba 'Jesus Christ' ni jina la myuda aliyeishi nyakati hizo kama ilivyo kawaida ya mtu kutambulika kwa majia mwili.
Uhalisia ni kwamba 'Christ' is not a person, 'Jesus' was a person. Christ ni jina lingine la God Christos, likimaanisha the Fire God.
Jesus-Iesus-Zeus aliitwa 'Jesus Christ' baada ya ku_incarnate the cosmic christ.
Christic principle ipo kwenye kila dini ingawa wengi hawalifahamu hilo, na ndio maana tunasema wote tuna muabudu Mungu mmoja.
Hakuna tofauti kati ya Chriatian priest na Mohammedan priest, wote wapo kwenye kapu moja. Vivyo hivyo kwa waafrika, wachina, wahindi, wagiriki, egyptians etc. Christ is cosmic and universal!
Kwa
Egyptians, Christ alikuwa Osiris.
Hindus, Chrishna ni Christ.
Chinese, Fu Hsi ni Christ.
Greeks, Christ anaitwa Zeus, Jupiter the father of Gods.
Germanic edda, Christ ni Balder.
Afrika pia naskia tulikuwa tuna black Christ ingawa sijafanikiwa kufahamu alifahamika kwa ma/jina gani. Na hapa ndipo naiona nguvu ya wakoloni walio tutawala, walipambana kuhakikisha wanatuacha wakavu! Wakavu kiuchumi, wakavu kimaarifa na mbaya zaidi wakavu kiimani!
That's why utakuta mpaka leo tunajifunza maarifa ambayo yanakuwa ni magumu kuendana na uhalisia wetu. Utakuta leo mtu anajifunza chinese meditation kesho kutwa ana recite krisha mantra yaani inakuwa ni vurugu tupu. Sipingani na watu kujifunza maarifa tofauti yenye manufaa, ila nadhani kuna tofauti kubwa ya matokeo kwa wewe utakaye recite 'krisna mantra for success' na yule atakaye enda kijiji kwa babu zake kuomba msaada pale alipo kwama.
All in all we have free will, kila binadamu ana uhuru wa kuchagua kipi kinamfaa.
Hiyo hapo juu ni image pekee yenye uhalisia kuhusu muonekano wa Jesus Christ kwa wale wanaoamini katika Yesu alietokea kwenye kabila la Yuda, na ilipatikana baada ya Sultani wa uturuki kuikabidhi kwa pope Innocent VIII kama ransom ili kaka yake aliyekamatwa na wakristu wa miaka hiyo aweze kuachiwa.