Pamoja na vivutio vya utalii, Rungwe hakuna hoteli ya maana

Hilo ni kweli kabisa.
 
Hiyo picha kwenye utambulisho wako inakuvua nguo....ibadilishe[emoji1]
 
Pole mkuu

Wakati mwingine ni kutojua tu.kuna waday wamewekeza tena kwa kulipa kwa dola. Jaribu hapa AVO HOUSE. Ipo Busokelo. Insta page.
Ukichek tu kwa picha nadhan utanielewa
 
Asante sana mkuu, Mashamba yangu yapo nditu, nikienda hapa patanifaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…