Pamoja na yote kaka zangu

Wachache sana siku hizi ambao akiona unaweza kumsaidia akaendelea kujisaidia na yeye

Wapo mpenzi omba tu mungu akuletee umtakae na utaja niambia cku moja ila kumbuka mungu anatenda kwa wakati wake jitahidi tu kuomba na uckate tamaa halafu sahau cku atakayokuletea utashangaa
 
Wapo mpenzi omba tu mungu akuletee umtakae na utaja niambia cku moja ila kumbuka mungu anatenda kwa wakati wake jitahidi tu kuomba na uckate tamaa halafu sahau cku atakayokuletea utashangaa

Ninaye tayari mwaya! LAkini mmmmhhhh siri yangu
 


watu pipooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo................................atlast wamelonga wenyeweee, et ooh! anakibamia, mnakosoa uumbaji wa Subhana bure kumbe ni matatizo ya nafsi zenu
 

Maty mwanangu, kibamia ulikuwa unamaanisha nini? Kama hizi tunazolima huku Bunju?:smile-big::smile-big::smile-big:
 
 
 
Maty mwanangu, kibamia ulikuwa unamaanisha nini? Kama hizi tunazolima huku Bunju?:smile-big::smile-big::smile-big:

hahaha baba mi nilikuwa namaanisha kibamia ambacho bado hakijapikwa kile kibichi kilichotoka chumwa kinakuwa bado kigumu gumu ingawa kidogo
 

Eeh Mungu, tusaidie na sisi tununue magari!
 
 
hahaha baba mi nilikuwa namaanisha kibamia ambacho bado hakijapikwa kile kibichi kilichotoka chumwa kinakuwa bado kigumu gumu ingawa kidogo

baba Asprin kama ulivyojiita, nadhani unakosea kumwita matty mwanao maana jinsi anavyojieleza ktk thread hii basi umri wake ni wa kuona mengi c machache aliyokutana nayo, na ndiomaana amekichambua kibamia vizuri hadi umeachwa tutani
 
baba Asprin kama ulivyojiita, nadhani unakosea kumwita matty mwanao maana jinsi anavyojieleza ktk thread hii basi umri wake ni wa kuona mengi c machache aliyokutana nayo, na ndiomaana amekichambua kibamia vizuri hadi umeachwa tutani

hahaha Ferds achipirini ananisaa kabisa walah mi nna miaka kumi na nane tu na watoto watatu toka baba tafauti nitshindwaje kukachambua kabamia kwi kwi kwi
 
 
 
hahahaaaaaaaa baba kwani ile toyo yako c inaingiaga sheli au
Tangu lile li STAUTI la urithi lilipokatika spring, sijawahi kuingia sheli.

hahaha Ferds achipirini ananisaa kabisa walah mi nna miaka kumi na nane tu na watoto watatu toka baba tafauti nitshindwaje kukachambua kabamia kwi kwi kwi
Thats name calling, you have been warned!
 
 
 
nashukuru Maty umesema ukweli wanawake ni wavumilivu sana akikupenda kweli hata ufanye nini au unakasoro gani anauwezo wa kukuvumilia tu hayo yote kwao ni vitu vidogo sana mwanaume amuonyeshe kumjali tu na amuheshimu hata mambo ya kucheat naamini kabisa wanaume ndo waliogeuza mioyo yetu wengi hawatimizi wajibu wao kama wanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…