OMG!
Anyway.... nimeipenda signature yako
MLA HULIWA!
We ushaliwa? Si wala bamia weye?
kumbe mume? haya! kuanzia mnaanzana ilikuwa ndio hivyo? kama ndio hivyo endelea tu coz ulishamzoesha hivyo, kama haikuwa hivyo sema alipata tabu kati hapo kwenye mambo fulani fulani bac sio mbaya ukimuwezesha( maarifa ya ki shughuli/biznec) ili nae aweze kujikimu kwa moja au mbili.
Kushughuli anacho japokuwa asiteaste kinaleta kimshiko chote kinaishia SH ila ndo depandant kupita maelezo
Dah...aliliandika kwenya karatasi zetu zile za kijani? pole sana...hujamuuliza za nini? labda anaenda kumalizia kibanda alichokwisha kukujengea kwa jina lako?
lol....
Wakati mwingine ina kera sana kuona mkaka anamwomba pesa mdada.
kuna kaka ameomba urafiki nami juzijuzi tu, kabla sijamkubalia tayari kashaleta dokezo la kumkopesha laki 5. Sijui ananitega/nipima kama nitaweza kumpa au la?
Kwakuwa naichukia sana tabia hiyo amesababisha nimchukie sana na wala sitaki tena mahusiano naye.
hahah wewe acha uwoga bwanaJamani katka watu nawaogopa humu jamvini hawa wanaongoza maana wanavyowachana kina me cjui waliwafanya nini
1- Rose 1980
2- Matty
3- Mama Big-- hapa ni mwisho mwisho kabisa
4 Preta- havumi lakini yumo.
njoo basi leo tutaptia shell na credoo juu unasemaje?
usiniogopo bwana..........plsssss n plsssssssssss apa jf asi unajua tena apa ni sehemu ya kupunguza stress na ivi HAUONEKAN ndo raha kabisa yan unajimwagaaaaaaaaa vya kutosha pumba zote unazitolea apa.....USIFANYE IVI BWANA ASI UNAJUA TENA unajifanya BAUNSA KIBODI...km yule jamaa yetu anayejifanya MWALIMU WA MWANDIKO NA SPELLING WA JF...labda ukimwona si lolote mchovu tu lakin apa anavyojitia smat unaweza kukimbia....apa ni mikwara tu hakuna lolote
karibu lunch ma love....idd wap sasa?nikakoge mie uje untoe......!!!!!
Dah...aliliandika kwenya karatasi zetu zile za kijani? pole sana...hujamuuliza za nini? labda anaenda kumalizia kibanda alichokwisha kukujengea kwa jina lako?
lol....
Kushughuli anacho japokuwa asiteaste kinaleta kimshiko chote kinaishia SH ila ndo depandant kupita maelezo
bac huyo ndio mwanao wa kwanza....lol, gangamala nae tu na kumsaidia kimawazo wapi/nn afanye aongeze kipato kidogo au afanye nn nje ya hicho kipato chake ili mueze kuendelea kujikomboa, usaidizi wko kwenye hili utamsaidia pia na yeye.
Mdogo wangu, ulimaliza ile kazi niliyokutuma?Kaka zangu pamoja na yote tunayozungumza humu wadada kwamba hatupendi mariooo, mara kibamia hitimisho ni kwamba mdada akikupenda kwa dhati hayo yote huwa hayajali kabisa kama huna pesa utapewa na kama una kibamia (ila kinachosimama) atakwambia tu nifanye hv na vile tukae staili hii ili mradi anajua hapa ndio atafika na taratibu mbaba utazoea na mtakuta mnaridhishana kikubwa mdada akupende na wewe ujiamini
Si umeona eh? Waweza ringa na kilaki tano chako kumbe unajinyima nyumba ya milioni 50. Wanawake bana!
Kaizer? ujenge nyumba ushindwe laki tano ya kumalizia ukakope kwa mwanamke hata hamjdo wewe acha kabisa!!! Wizi mtupu! Mkeo sawa
hahahaha hommie wacha kabisa hii kitu mie juzi kati tu hapo kucheka na mtu kidogo tu kosa....kinachofuata eti nimuongezee mtaji lol..dunia ya miaka hii mh!!hahaha,,,,kisa cha kusema ivo Dena, ni kutaka kujua je, alizihitaji za NINI? maana kama alitaka kumkopesha, lazima kuna sababu, je aaliiulizia au aliishia tu kukasirika na kumtosa mazima?
kwa nili alifikiria kumkopa laki 5? alienda anatingisha funguo za gari? au?
Nikupe mfano, the opposite:
Majuzi kati hapa katika harakati za Inf nikaenda na marafiki zangu kweny pub moja ivi, kulikuwa na msichana AKO peke YAKE...tukamwita atujoin, na washkaji, katika maongezi haya na yale, tukapeana contact......ivi na hici after 3 days huwezi amini ananipigia simu, ana dharura,anaomba tuonane, kibinadamu nikasema sawa. Kusikiliza shida yenyewe, eti inatakiwa kumjazilizia kamshiko kidogo, 'mdogo wake' aende shule (kumbuka pozi lake mwanzoni lilikuwa la mtu mwenye uwezo,) sasa hapo unalizungumziaje jambo kama hilo?
jinsi Nyadhiwa alivomshangaa huyo ndivyo na mi nilivyomshangaa huyu, tofauti ni kwamba walau mimi nilimsikiliza kujua msingi hasa wa shida yake nini?
hahaha,,,,kisa cha kusema ivo Dena, ni kutaka kujua je, alizihitaji za NINI? maana kama alitaka kumkopesha, lazima kuna sababu, je aaliiulizia au aliishia tu kukasirika na kumtosa mazima?
kwa nili alifikiria kumkopa laki 5? alienda anatingisha funguo za gari? au?
Nikupe mfano, the opposite:
Majuzi kati hapa katika harakati za Inf nikaenda na marafiki zangu kweny pub moja ivi, kulikuwa na msichana AKO peke YAKE...tukamwita atujoin, na washkaji, katika maongezi haya na yale, tukapeana contact......ivi na hici after 3 days huwezi amini ananipigia simu, ana dharura,anaomba tuonane, kibinadamu nikasema sawa. Kusikiliza shida yenyewe, eti inatakiwa kumjazilizia kamshiko kidogo, 'mdogo wake' aende shule (kumbuka pozi lake mwanzoni lilikuwa la mtu mwenye uwezo,) sasa hapo unalizungumziaje jambo kama hilo?
jinsi Nyadhiwa alivomshangaa huyo ndivyo na mi nilivyomshangaa huyu, tofauti ni kwamba walau mimi nilimsikiliza kujua msingi hasa wa shida yake nini?
ni bora uwe na wakukusaidida japo kidogo kuliko ambae hasaidii kabisa, awe hata anajitambua jamani, sio kaishiwa credoo ana beep unapiga, plz swity nimeishiwa credoo, unatuma, mara cjui ana hamu ya kinywaji umeshamtumia credoo lakini ana beep tena ukical anakuambia ana kiu...huo ni msalaba...awe na kamsaada kwa namna moja au nyingine, vinginevyo labda muwe na makubalaino yeye wa nyumbani wewe ukatafute pesa, sio utoke job mbio ukapike wakati yeye katundika miguu juu ya freezer anakunywa wine,ukirudi home shughuli zote zimekamilika na yeye ndio kazikamilisha, asiwe mariooo 100% jamani.
Yaani nyamayao umemaliza kabisa maana naona wengi huwa hawaelewagi mi nazungumzia nini yaani kile kidubwashika cha sanks naomba invisible aweke cha kawaida cha kati na kikubwa ningekugongea sanks kubwa zaidi yaani i salute you umeusemea moyo wangu
Ukielekea kwa kaizer upitie kwangu. NASISITIZA. unaweza kuamua kufupisha safari. ya nini kwenda 500km wakati 20km zatosha?ahhhh tembo anjaniboa tu kesho ntatangaza tenda kwa vidig dig....stay tuned!!!!!!!
Ukielekea kwa kaizer upitie kwangu. NASISITIZA. unaweza kuamua kufupisha safari. ya nini kwenda 500km wakati 20km zatosha?
kwa maelezo yako hayo DA naona bado wanawake mna tatizo la kuwafahamu vizuri wanaume!nasisitiza bado hamjatujua vizuri!poleni........
Wakati mwingine ina kera sana kuona mkaka anamwomba pesa mdada.
kuna kaka ameomba urafiki nami juzijuzi tu, kabla sijamkubalia tayari kashaleta dokezo la kumkopesha laki 5. Sijui ananitega/nipima kama nitaweza kumpa au la?
Kwakuwa naichukia sana tabia hiyo amesababisha nimchukie sana na wala sitaki tena mahusiano naye.