Pamoja na yote kaka zangu


Mhhh Maty,

Leo umeamka salama mdogo wangu?
 

huko kujiamini ndio mwenzio anatake advantage
 
 
Enhe, Mh. M'kiti ulijazilizia hiyo ada 'mdogo mtu' aende shule kama ulivyosoundishwa ama ulimtupa kuleee, teh teh!


nilitupa kuleeeeeeeee mi upuuzi huo wa nini mkuu...yaani wengine wanadhani ndo HAUTUELEWAGI sijui body language?
 


Dena Mpenzi,,

Hapo naomba nitofautiane na wewe kabisa..hivi si wabeijing walidai usawa....? gharama yake ndo hiyo au niseme Opportunity Cost yake ndo hiyo sasa....kama wanawake wanatafuta mshiko, maana yake ni kwamba lazima wawe tayari kushiriki shughuli za ujenzi wa familia kwa usawa...

Kisa cha mimi kutoa huo mfano apo juu ndo kujaribu kusema kuwa sio wanaume tu wanapiga mizinga au kwa maneno mengine, wanawake pia kupiga mizinga pasipo na sababu ya kueleweka siku hizi haikubaliki kama ambavyo malaria haikubaliki!
 
huko kujiamini ndio mwenzio anatake advantage

Ukiona hivyo huyo hakupendi kama anakupenda atakueleza tu kwa upole na mtaelewana tafuta anaekupenda kwa dhati mshirikishe mungu
 
tatizo la wadada wa kibongo ni kutokuwa wawazi hasa pale anapotokewa na mtu ambaye hamfahamu.Kama jamaa anayemtokea yupo vizuri kimaisha na kwa wakati huo anaonekana hivyo basi mdada wa kibongo atamwambia "nipe muda", au "hata mimi nakupenda" lakini kama jamaa haonekani kuwa settled kimaisha basi atamwambia "nina mtu wangu", "sijakupenda" n.k. kwa nini wadada wa kibongo wakitokewa wanapenda sana kwanza amchunguze jamaa ndio aseme kuwa anampenda. JE UPENDO UNAKUJA BAADA YA KUCHUNGUZANA NA KUJUANA HALI ZENU ZA KIMAISHA AU PALE UNAPOMUONA MTU KWA MARA YA KWANZA NA MKAONGEA?TAFADHALI NAOMBA KUJIBIWA.
 

wanawake kupiga mizinga babu inakubalika saaaaaaaaana tu
lakin aibu kwa eti rr anipige mzinga ahhhhhhhhhhh ntamkimbizaaaaaaaaaaa!!!!!!
 
Mmmmhh kumbe wako wengi. Yaani huyo kiboka hata hajapata kitu tayari wanaume jamani aaakkkhhh Hii kali bora wengine tuna miaka kibao nao

Huyo atakuwa mpuuzi sana ..au anatokea kwenye machimbo ya pesa? Mwanaume wa kweli hawezi kuanza kuhangaika na pesa. Kuna vitu vingine vya muhimu vinavyomnyima usingizi lakini siyo pesa?
 
 
wanawake kupiga mizinga babu inakubalika saaaaaaaaana tu
lakin aibu kwa eti rr anipige mzinga ahhhhhhhhhhh ntamkimbizaaaaaaaaaaa!!!!!!


eti umecchagua KM ngapi kati ya 20 na 500:tape::tape:
 
wanawake kupiga mizinga babu inakubalika saaaaaaaaana tu
lakin aibu kwa eti rr anipige mzinga ahhhhhhhhhhh ntamkimbizaaaaaaaaaaa!!!!!!
Orait, Orait, njoo hongera ukamate laki mbili za fasta. usimwambie rr, hapo naonyesha nia ya kupigwa mizinga.
 
Liberalism imeleta mambo mengi ikiwemo uhuru wa mtu kujifurahia. Hapa inategemea mwanamke unayemzungumzia ameathirika vipi na liberal thinking, na pia asilimia ya matendo yake inayotokana na fikra na hisia zake mwenyewe. Dunia ya siku hizi watu wanajijali kwanza kabla ya kujali wengine. Enzi zetu sisi wa mwaka 47 ni sisi wanaume ndio tulikuwa na tabia ya kuonja kwanza kabla ya kuchukua jumla, lakini siku hizi wanawake nao wameichukua haki hiyo, wanaonja kwanza. Kama mojawapo ya anayohitaji ni saizi kubwa lakini akakuta huna, basi mnaachana na hakuna ugomvi, na si lazima akuambie kwa nini hataki mwendelee. Jirani yangu hapa Lemara kaoa chotara wa kijerumani na ana mabinti watatu wazuri sana. Yule wa pili alichumbiwa, wahusika wakaja nyumbani kujieleza na majirani tukaalikwa tukala na kunywa. Lakini tukashangaa muda unasonga hatusikii mipango ya harusi na binti hatumwoni kwao. Nikamwuliza jirani imekuwaje? Akaniambia bintiye ameomba apewe muda akaishi na yule bwana nyumba moja ili naye apime kama anamfaa kweli kabla hajafanya uamuzi wa kudumu naye, na wazazi wameona ni sawa kwa hiyo wamemruhusu binti yao akaonje kwanza akiridhika atakuja kutaka harusi.

Early this year binti karudi nyumbani, kamaliza probation yake na mwenzie na amepitisha uamuzi kuwa hamtaki bwana yule, atatafuta mchumba mwingine. Sijui kitu gani hajapenda huko, siri yake. Uhuru kamili. Hakuna sababu ya kuvumilia na kuendelea kukwazika maisha yako yote, ilhali upo uwezekano wa kupata kilicho bora zaidi. Liberalism and opportunism. Na wazazi wameridhika and are very happy kuwa binti knows how to get what she wants.
 
maty wacha usicheke naona hii beijin inataka kutokea masikioni sasa. watu mnakimbizana huelewi tena baba yuko wapi na mama ni yupi
 

Tatizo kama ambavyo tumekuwa tunasema ni kuwa hawa viumbe wawili wanapendana sana, wanafurahishana sana na kufanyiana kila kitu..kizuri na kibaya lakini ni bahati mbaya kuwa hawafahamiani kabisa (au hata ukisema kuwa hawajuani). Laiti tungewajua wanawake na wao wakatujua basi tungepunguza matatizo na hizi vuvuzela zinazotaka kutuharibia masikio.

"WHEN A WOMAN SAYS I LOVE, IT MEANS I WANT TO MARRY OR I WANT YOU TO BE IN MY HEART...BUT WHEN MAN SAYS I LOVE YOU, IT MEANS I WANT TO HAVE SEX (tena haraka sana iwezekanavyo)"
 
hapa JOEL naona unachanganya mambo ivi kweli ukampenda mtu sababu ya hali yake ya maisha utaita huu ni upendo au tamaa ivo vitu vikiondoka ina maana na upendo umeyeyuka au tuiwekeje hii sentesi yakoJE UPENDO UNAKUJA BAADA YA KUCHUNGUZANA NA KUJUANA HALI ZENU ZA KIMAISHA AU PALE UNAPOMUONA MTU KWA MARA YA KWANZA NA MKAONGEA?TAFADHALI NAOMBA KUJIBIWA.[/QUOTE]
 
Kha yaani huyo umfukuze bila hata kumuangalia uson shwain mkubwa lol natamani angekutana na mimi wenzie wanatoaga toaga angalau viofa huyo amekuzarauje (mtanisamehe lol)


maty hapo hujawa emotional kweli?:tape::tape::doh:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…