Orait, unamaanisha mandazi yaliyotobolewa katikati na kupewa jina la donati? hivi wale kina mama wanaopika mandazi pale mtaani kwetu nao si wanabeba box pia?
hahahah hahahahh!!!!!1
raha kweli kweli!!!!
boks ni boks tu liwe la mandaz au la tv na sony radio...
leo nina ukoo mamaa ya Mtakatifu.
Orait, Orait, njoo hongera ukamate laki mbili za fasta. usimwambie rr, hapo naonyesha nia ya kupigwa mizinga.
eti umecchagua KM ngapi kati ya 20 na 500:tape::tape:
Kha yaani huyo umfukuze bila hata kumuangalia uson shwain mkubwa lol natamani angekutana na mimi wenzie wanatoaga toaga angalau viofa huyo amekuzarauje (mtanisamehe lol)
hivi kibamia na kisichokibamia kipimo chake ni nini? kama mwanamke alizoea miguu ya watoto, akienda kwenye mkuu wa kichanga lazima itakuwa ni bamia kwake...mwenye tatizo hapo ni nani? mwenye tatizo hapo si huyo aliyejichezea mwenyewe ikapata kuwa loose, yaani BANZOKA?...lepalepa.....can you imagine kuna mdada mmoja namfahamu amesafishwa kizazi mara nne kwasababu ya kutoa mimba...wanavyosafisha kizazi wanaingiza mkono mzima, mkono wa mwanaume mzima unaingia, au ikishindikana wanaingiza ile mipira yenye mfano wa mkono kwa mashona afu inafanya kazi..mtu kama huyo ameshaharibu mashine yake, haifai hata kama atakuwa na sura nzuri..sasa akienda kwa mwanaume yeyote anakuwa si tight tena na kisingizio chake anasema ni kibamia cha mwanaume..kumbe yeye ni bwawa la mtera au ziwa victoria....WADADA, jitunzeni, jilindeni..miili yenu ni tofauti na miili ya wanaume,..mwanaume hata kama atakuwa malaya sana, maumbile yake hayabadiliki, ila nyie maumbile yenu yanabadilika na hayana repair...jitunzeni ili msiishi maisha ya mifadhaiko kama hayo.
Hao wa hivyo ni wachache sana siku hizi sijui lakini inawezekana
Wadada siku hizi wapo kimasirahi zaidi maswala ooh NAKUPENDAGA sana ni zuga tu
inawezekana eeeeeeee mpenzi, agh watu wengine wanakera bana
Vp tena naomba siri ya hii thread
Habari za siku nyingi Mkubwa? Bora tumekuona tena...we can count kwamba umerudi salama Dom!
hivi kibamia na kisichokibamia kipimo chake ni nini? kama mwanamke alizoea miguu ya watoto, akienda kwenye mkuu wa kichanga lazima itakuwa ni bamia kwake...mwenye tatizo hapo ni nani? mwenye tatizo hapo si huyo aliyejichezea mwenyewe ikapata kuwa loose, yaani BANZOKA?...lepalepa.....can you imagine kuna mdada mmoja namfahamu amesafishwa kizazi mara nne kwasababu ya kutoa mimba...wanavyosafisha kizazi wanaingiza mkono mzima, mkono wa mwanaume mzima unaingia, au ikishindikana wanaingiza ile mipira yenye mfano wa mkono kwa mashona afu inafanya kazi..mtu kama huyo ameshaharibu mashine yake, haifai hata kama atakuwa na sura nzuri..sasa akienda kwa mwanaume yeyote anakuwa si tight tena na kisingizio chake anasema ni kibamia cha mwanaume..kumbe yeye ni bwawa la mtera au ziwa victoria....WADADA, jitunzeni, jilindeni..miili yenu ni tofauti na miili ya wanaume,..mwanaume hata kama atakuwa malaya sana, maumbile yake hayabadiliki, ila nyie maumbile yenu yanabadilika na hayana repair...jitunzeni ili msiishi maisha ya mifadhaiko kama hayo.
Na wewe umeona? Nilimwuliza mdogo wangu Maty akanipotezea..Ila mhhh hakuna kitu kinaweza kumwagika hivi hiv toka hewani!
Wadada siku hizi wapo kimasirahi zaidi maswala ooh NAKUPENDAGA sana ni zuga tu
haaaaa maty ulosema ni kweli kabisa halafu wanaume huwa hawajui tu mwanamke akikupenda kwa dhati kabisa na ukagundua huyu ananipenda nakwambia huwa tunakuwa vipofu wala hatuoni na suala la kusalitiwa huwa ndo halipo kabisa coz huwa tuaamini huyu anayenitaka hawezi kufanana na mpenzi wang,lakini wanaume kwani wanayajua haya?tabu tupu tena ukimuonyesha unampenda ndo vitimbi vitazidi atakuonyesha hana hata time na ww.
Mmmmhhh Mkuu mbona umekwenda mbali sana? Hivi wewe ni Dokta ama? Una uzoefu wa kutoa mimba? Ahhh jamani mweehh nimecheka sana hizi comment zako
Hapa kwa watu walio tangulia kuona jua mnaelewa kuna kitu nyuma ya pazia bila shaka.
Sasa inabidi tumsaidie
Hapo kwenye red Mwasu ni kweli kabisa