Pamoja na yote kaka zangu

wanawake wa aina hiyo wachache sana katika 100 labda 1 akikusaidia pesa basi inakuwa kama amlipaye mpiga zeze lazima achague wimbo ata taka ufanye analotaka amri kwa kwenda mbele nakukuzodoa mbele ya washikaji zako
 
Wajua bila hivyo jua lisingekucha.... hapendwi mtu hapa mfuko tuu.....wanasema uje na full tanki babu......

Sishangai wewe na Da Sophy ndo mnawachuna kweli kweli mavuvuzela
 
Mh mbona sijaielewa mada!! Sijui nimezidisha nyagi??...... nway nimewezakuelewa nyamayao kasema asiwe mariooo kwa asilimia 100%........... mh hapa mie nawezajaza fulusikepu 5 Iv been there once.............ah sasa hivi nikikumbuka najicheka
 
Mh mbona sijaielewa mada!! Sijui nimezidisha nyagi??...... nway nimewezakuelewa nyamayao kasema asiwe mariooo kwa asilimia 100%........... mh hapa mie nawezajaza fulusikepu 5 Iv been there once.............ah sasa hivi nikikumbuka najicheka

Mamaiiii uje kwa kikao leo
 
Mh mbona sijaielewa mada!! Sijui nimezidisha nyagi??...... nway nimewezakuelewa nyamayao kasema asiwe mariooo kwa asilimia 100%........... mh hapa mie nawezajaza fulusikepu 5 Iv been there once.............ah sasa hivi nikikumbuka najicheka

Hebu basi tengeneza abstract tu ili na wengine wapate ladha!
 
Mh mbona sijaielewa mada!! Sijui nimezidisha nyagi??...... nway nimewezakuelewa nyamayao kasema asiwe mariooo kwa asilimia 100%........... mh hapa mie nawezajaza fulusikepu 5 Iv been there once.............ah sasa hivi nikikumbuka najicheka

Angalia sasa umesha chakachua tayari
 
FP

Hiyo ndiyo tofauti kubwa kati ya mwanamume na mwanamke.. Hata siku moja mwanamume hatoi moyo wake katika mahusiano. Anatoa hisia kidogo tu. You will be luck to get up to 50%

Usinitishe DC, yaani nimeshaanza kupata kizunguzungu! yaani na juhudi zote hizi! du! hiyo 50% ni ndogo sana, ipandishe kidogo basi
 
Usinitishe DC, yaani nimeshaanza kupata kizunguzungu! yaani na juhudi zote hizi! du! hiyo 50% ni ndogo sana, ipandishe kidogo basi

Wapo wabarikiwa na labda unaweza kuwa mmoja wao ukajibebea hata zaidi ya 90%. Ila naomba uniamini, moyo wa mwanamume si rahisi kuupenya kama ulivyo wa akina mama! It's rock!
 
Wapo wabarikiwa na labda unaweza kuwa mmoja wao ukajibebea hata zaidi ya 90%. Ila naomba uniamini, moyo wa mwanamume si rahisi kuupenya kama ulivyo wa akina mama! It's rock!

angalau sasa nina nafuu, kumbe kuna wachacheeeeeeeeeee, te te teeeeeeeee, basi mimi nimebahatika sana; ngoja nizidishe mashambulizi ili % zisije zikashuka, h aaaaaaaaaaaaaaaa
 
angalau sasa nina nafuu, kumbe kuna wachacheeeeeeeeeee, te te teeeeeeeee, basi mimi nimebahatika sana; ngoja nizidishe mashambulizi ili % zisije zikashuka, h aaaaaaaaaaaaaaaa

Ila wakati huo ujue unadeal na mtu ambaye moyo wake ni mwamba (Rock, Petro etc). Kwa hiyo check ur steps!
 
ha haaaaaaaaaaa. mambo ya kucheza kwa step........... ntajitahidi my dear

Hii dunia ni kizunguzungu sana...Wakati wanawake wanahaha kupandisha hizo asilimia kuna wanaume wanalizwa ki-bushoke bushoke na wengine wanahangaika kutafuta dawa kwa wamasai ili heshima irudi.

Ni taabu tupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…