Huwa anaongea kwa kuchekesha na kisauti chake kile ila kesho utamuona White House akiwa anatia saini karatasi hapo ndipo utajua alikuwa hachekeshiSpeech za jamaa zinakuwaga na ladha flani ya kipekee...kama utani hivi alafu wakati wa utekelezwaji ni kilio.
Germany kuna vuguvugu la kundi kubwa la watu kutaka kujitoa EU na kuanza kuangalia zaidi maslahi ya Germany.France imesema itawasaidia Denmark kuilinda Greenland dhidi ya U.S incase kikinuka anytime
Amesema atawalima ushuru mzito Taiwan muda sio mrefuNa leo kaipiga tarriffs canada na mexico kwa 25% na canada wamejibu pia.
Ulaya sijui kairoga. Kwa mambo yalivyo ni bora Ulaya ijiweke karibu na china kuliko Marekani maana hata wao hawajui nini kitawakuta. Ni bora wawahi watafte mbinu mbadala ikiwemo kuanza kutumia mifumo mpya ya malipo maana hakuna picha wataacha ona.
Huyu jamaa ni kama hajali chochote kuhusu allies wa U.S labda mtoto pendwa pekee Israel lakini hawa wengine kazi wanayo.Germany kuna vuguvugu la kundi kubwa la watu kutaka kujitoa EU na kuanza kuangalia zaidi maslahi ya Germany.
Baada ya miaka 5 huenda Marekani itakuwa imepoteza ushawishi mkubwa maana ni kama vile sasa inawageuka allies wake na kuwatisha.
Sasa Taiwan wamebaki bila msaada china naichukua kiulaini.Amesema atawalima ushuru mzito Taiwan muda sio mrefu
Hivi kumbe hawezi kuongeza muda kwa sababu hakuunga vipindi viwili.Huyu jamaa ni kama hajali chochote kuhusu allies wa U.S labda mtoto pendwa pekee Israel lakini hawa wengine kazi wanayo.
Maana anavurugana na washirika wake bila hata kujali maybe kwa sababu ni term ya mwisho hivyo hajali kuhusu maamuzi yake.
NATO na mashaka nao sana kitakacho kuja kuwakuta members wakae mkao wa kula
Rwanda akichukua goma mnapiga keleleAlafu Tanzania tukiichukua Rwanda kuna watu watanuna
Tanganyika ipi tena? hii si ilishachukuliwa na wanzanzibar na ndio maana hata ndani ya muungano haionekaniHalafu Russia wakichukua Crimea watu wanabana pua, Israel akichukua Judea watu wanabana pua Tanganyika wakiichukua Zanzibar watu wanabana pua moroco wakichukua west sahara watu wana bana pua, iran akichukua kisiwa kile cha UAE watu wanabana pua. Hii dunia ni ubabe ubaben. Ndio maisha
Haionekani lakin wanolia ni kina nani sheikh. Huu ni mchezo wa karata unaliwa huku unachekewaTanganyika ipi tena? hii si ilishachukuliwa na wanzanzibar na ndio maana hata ndani ya muungano haionekani
Yaani wanavurugana wenyewe kwa wenyewe.Sasa Taiwan wamebaki bila msaada china naichukua kiulaini.
Jana nimecheka Germany walizima vinu vya nuclear enzi za Markel, wakategemea gas ya Urusi ambayo kwa sababu ya vita wakaisusa na Marekanii anauwauziia gas ya LNG kwa gharama kweli kitu ambacho viwanda vinashindwa kupata faida kwa sababu ya gharama za uendeshaji.
AfD wanasema wao watawasha tena hivyo vinu na kuiondoa Germany EU kwa sababu kanuni za EU si za kidemokrasia maana zinaua uchumi wa Germany na viwanda vyao.
Halafu watu wanadai kuna propaganda Ulaya kwa vyama vinavyopinga American interests kuwa labelled as extremists
Na sasa anafukuza wahamiaji sijui nani atafanya kazi katika mashamba na viwanda vya wamarekani katika namna ilivyokuwa awaliHivi kumbe hawezi kuongeza muda kwa sababu hakuunga vipindi viwili.
Nasoma comments za watu wanasema gharama za maisha Marekani ziko juu na watu wanashindwa kuziafford. Hizi tarriffs zitaongeza bei ya bidhaa na kuzidi kufanya maisha yawe magumu zaidi.
Mwisho wa siku nachojua vita hii ya China, USA na hao wengine, atakayeibuka kidedea ni China. Influence ya China kwenye nchi za South America itaongezeka. Kumbuka anajenga na viwanda vya magari huko.
Huwezi linganisha ishu ya Taiwan na hii ya Panama canal, ni vitu viwili tofauti.China akichukua jimbo lake la Taiwan wanadai ni uvamizi
Madereva wa malori kazi zimeanza kudoda,hakuna matunda ya kubeba sababu wavunaji wameingia mitini kukwepa kurudishwaNa sasa anafukuza wahamiaji sijui nani atafanya kazi katika mashamba na viwanda vya wamarekani katika namna ilivyokuwa awali
Canal iko panama,ni mali ya wa panama,ni sawa na leo wajerumani waje kuchukua reli ya Kati, trump ni chiziHuwezi linganisha ishu ya Taiwan na hii ya Panama canal, ni vitu viwili tofauti.
Ufaransa hawawezi kufanya loloteFrance imesema itawasaidia Denmark kuilinda Greenland dhidi ya U.S incase kikinuka anytime
Tepetepe dunia !Speech za jamaa zinakuwaga na ladha flani ya kipekee...kama utani hivi alafu wakati wa utekelezwaji ni kilio.
Kweli banyamulenge wamejaa humu, we sema nani anataka rubbish km watutsi vinginevyo it's a matter of one day.Huo uwezo hamna.