Pandikizi la Urusi, Crimea laponea kuuawa, mwendo wa kuishi kwa uwoga na kugeuza geuza kichwa

Pandikizi la Urusi, Crimea laponea kuuawa, mwendo wa kuishi kwa uwoga na kugeuza geuza kichwa

Eti leo,unajua hiyo picha ya lini?Angalia baada ya Coup kufeli,mwamba akaingia kitaa,full kujichanganya na raia!
Wewe unaleta porojo gani?Punguza utoto!


Hehehe asante kwa hii video inatia huruma hata kuzidi picha niliyokupa, hivi umeitazama hiyo video sheikh, jamaa kazingirwa na wapambe hapati pa kupumulia, itazame mpaka mwisho, ni fupi, jamaa wanazuia watoto hata kumgusa rais wa supapawa.
Kweli jamaa anateseka, tena kwenye nchi yake aisei...hehehe
 
Hehehe asante kwa hii video inatia huruma hata kuzidi picha niliyokupa, hivi umeitazama hiyo video sheikh, jamaa kazingirwa na wapambe hapati pa kupumulia, itazame mpaka mwisho, ni fupi, jamaa wanazuia watoto hata kumgusa rais wa supapawa.
Kweli jamaa anateseka, tena kwenye nchi yake aisei...hehehe
We jamaa akili yako unaijua mwenyewe!U r full of crap!
Watu wanapiga selfie na Putin,wewe unaleta ngonjera!Putin anajiamini sana,ingekuwa mtu mwingine kwanza angeogopa kujichanganya hivyo ukizingatia maadui alionao!
By the way,huyo ni Rais wa taifa kubwa!Ulinzi ofcoz lazima uwepo!
 
We jamaa akili yako unaijua mwenyewe!U r full of crap!
Watu wanapiga selfie na Putin,wewe unaleta ngonjera!Putin anajiamini sana,ingekuwa mtu mwingine kwanza angeogopa kujichanganya hivyo ukizingatia maadui alionao!
By the way,huyo ni Rais wa taifa kubwa!Ulinzi ofcoz lazima uwepo!

Wewe ndiye umeshikiliwa akili kama wavaa kobaz wenzio, unajua maana ya selfie wewe, kama huna MBs azima utazame hako ka-short clip ambapo Klemrin inasambaza kote, jamaa wako desperate sana.
 
Wewe ndiye umeshikiliwa akili kama wavaa kobaz wenzio, unajua maana ya selfie wewe, kama huna MBs azima utazame hako ka-short clip ambapo Klemrin inasambaza kote, jamaa wako desperate sana.
Video nimeleta mwenyewe halafu unaleta mbwembwe hapa!
Putin inaonekana amekuvuruga sana!
Wewe unateseka nini Putin kwenda kitaa kuwapa hai raia wake?
Utapata pressure bure,kunywa maji utulie!
 
Video nimeleta mwenyewe halafu unaleta mbwembwe hapa!
Putin inaonekana amekuvuruga sana!
Wewe unateseka nini Putin kwenda kitaa kuwapa hai raia wake?
Utapata pressure bure,kunywa maji utulie!

Hehehe umeleta bila kuitazama maana mnapokezana huko baada ya kusambazwa na Klemrin, sasa ukiitazama utaona namna huyo mtume wenu anatia huruma, kaazime MBs...hehehe takbir.
 
Hehehe umeleta bila kuitazama maana mnapokezana huko baada ya kusambazwa na Klemrin, sasa ukiitazama utaona namna huyo mtume wenu anatia huruma, kaazime MBs...hehehe takbir.
Una shida wewe,mimi kabla hata sijaleta hapa nilikuwa nimeshaiona yote Aljazeera!
Mwamba anajiamini,anawafuata watu anashikana nao mikono kiroho safi tu!
Sasa kama unaumia,pole sana!
Hebu njooni na hoja za maana za kujadili sio kuleta utoto,maneno ya kanga na kujichekeshachekesha!
 
Una shida wewe,mimi kabla hata sijaleta hapa nilikuwa nimeshaiona yote Aljazeera!
Mwamba anajiamini,anawafuata watu anashikana nao mikono kiroho safi tu!
Sasa kama unaumia,pole sana!
Hebu njooni na hoja za maana za kujadili sio kuleta utoto,maneno ya kanga na kujichekeshachekesha!

Ungekua umeiona usingekua na kiherehere cha kuitumia maana inatia aibu, au labda umeona hiyo thumbnail yake ikakupotosha, azima MBs utizame yote sheikh.
 
Wemngekua umeiona usingekua na kiherehere cha kuitumia maana inatia aibu, au labda umeona hiyo thumbnail yake ikakupotosha, azima MBs utizame yote sheikh.
We jamaa vipi?Putin atakutoa roho,sio kwa obsession hiyo!
Relax,Putin akili kubwa!
 
Kweli kabisa,utoto mwingi na maneno ya kanga plus kujichekeshachekesha!
Kuna mwalimu wangu alikuwa anatunfudisha O-Level mara nyingi alikuwa na msemo wake kuhusu vijana waliokuwa wanaji chekesha chesha ovyo dararasani, alikuwa anasema kucheka cheka ovyo ni dalali za Umalaya na ukiwa pwani bila Shaka wataku - sodomise!!
 
Kiongozi aliyesimikwa na Urusi walipoiba ardhi ya Crimea ameponea kuuawa na jasusi la Ukraine, kwa sasa kila pandikizi anaishi kwa uwoga na kuangalia angalia nyuma na kugeuza geuza kichwa maana hakuna aliye salama, ukizingatia Putin mwenyewe drones zimewahi kumkuta ikulu.....
Haya yote yataisha siku wazalendo wa Ukraine wataichukua Crimea yao, safari imeanza tayari na mapambano makali yanaendelea, supapawa Urusi inasogezwa nyuma hatua kwa hatua licha ya kutumia nguvu nyingi kujichimbia...........
Yaani kainchi kadogo ila kanajituma zaidi ya balaa....Hii Urusi ndio ilikua inajisifia uwezo wa kupigana na NATO, inavyotiwa aibu na ka-Ukraine.

Russia's Federal Security Service (FSB) said on July 3 it had thwarted an assassination attempt on Sergei Aksyonov, the Russian-backed head of Crimea, the Interfax news agency reported. The FSB said it had detained a Russian man who had been hired and trained by Ukraine's security services to kill Aksyonov by blowing up his car. There was no immediate comment from Ukraine. Russia annexed Crimea, where it bases its Black Sea Fleet, from Ukraine in 2014.
Jasusi hauwawi na Alshabau waSomalia hapo westgate Nairobi😅😅😅😅
 
Hehehe ni kama kupiga drones ambazo hufika hadi kwenye paa la ikulu ya Putin, huwa zimetoka kote huko bila kuwa detected na mifumo yote ya ulinzi, zinamsababishia Putin anakosa usingizi.
Intelijensia ya kweli na ya uhakika ni ile inafanya shughuli kimya kimya, rais au kiongozi analala kwa amani bila kujua kuna watu wamefinywa kadhaa ambao walikua na ni ya kumdhuru.
Sasa huyu wa kwenu hapo Crimea, yaani mpaka jamaa amefika kuchomoa bomu ndio anakamatwa, tayari imesababisha tension kwa kiongozi.
Waulize Mosad namna wao huwafanya wale waarabu wenu.
Hata Bush amewai rushiwa kiatu live, so intelligence sio inafanya kazi 100% Muda wote.
Fails zipo.
 
Hata Bush amewai rushiwa kiatu live, so intelligence sio inafanya kazi 100% Muda wote.
Fails zipo.

Kurusha kiatu au hata penseli au hata camera inawezekana kwa rais yeyote duniani, lakini bomu, mtu anakuja na bomu mpaka anamnusia rais mnamkamata wakati anataka kulichomoa, hamna bomb detection tools, jameni ingekua yale mazombi yenu ya kidini ya kujilipua hata asingehitaji kulichomoa, angebonyeza tu na afie hapo akawahi mabikira....
 
Kurusha kiatu au hata penseli au hata camera inawezekana kwa rais yeyote duniani, lakini bomu, mtu anakuja na bomu mpaka anamnusia rais mnamkamata wakati anataka kulichomoa, hamna bomb detection tools, jameni ingekua yale mazombi yenu ya kidini ya kujilipua hata asingehitaji kulichomoa, angebonyeza tu na afie hapo akawahi mabikira....
Aisee
 
Back
Top Bottom